Zaburi 114 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 114:1-8

Zaburi 114

Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri

1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,

nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

Israeli akawa milki yake.

3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,

Yordani ulirudi nyuma,

4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,

vilima kama wana-kondoo.

5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,

6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

enyi vilima, kama wana-kondoo?

7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

mbele za Mungu wa Yakobo,

8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

Hoffnung für Alle

Psalm 114:1-8

Gott macht Geschichte

1Als Israel aus Ägypten zog,

als die Nachkommen von Jakob das Volk verließen,

das in einer fremden Sprache redete,

2da machte Gott das Gebiet Juda zu seinem Heiligtum

und Israel zu seinem Herrschaftsbereich.

3Das Schilfmeer sah ihn kommen und wich zurück,

auch der Jordan hörte auf zu fließen und staute sein Wasser.

4Die Berge sprangen wie die Schafböcke,

und die Hügel hüpften wie die Lämmer.

5Was ist mit dir geschehen, Meer?

Warum bist du so plötzlich zurückgewichen?

Jordan, warum hast du aufgehört zu fließen?

6Ihr Berge, weshalb seid ihr gesprungen wie die Schafböcke,

und ihr Hügel, warum seid ihr wie die Lämmer gehüpft?

7Erde, erbebe, wenn der Herr,

der Gott Jakobs, erscheint!

8Er verwandelte Felsen in Teiche voller Wasser

und ließ Quellen sprudeln, wo vorher nur harter Stein war!