Zaburi 113 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 113:1-9

Zaburi 113

Kumsifu Bwana Kwa Wema Wake

1113:1 Za 22:23; 34:22; 103:21; 134:1Msifuni Bwana.

Enyi watumishi wa Bwana msifuni,

lisifuni jina la Bwana.

2113:2 Za 30:4; 48:10; 145:21; 148:13; 149:3; 115:18; 131:3; Isa 12:4; Dan 2:20Jina la Bwana na lisifiwe,

sasa na hata milele.

3113:3 Isa 24:15; 45:6; 59:19; Mal 1:11Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,

jina la Bwana linapaswa kusifiwa.

4113:4 Za 99:2; 8:1; 57:11Bwana ametukuka juu ya mataifa yote,

utukufu wake juu ya mbingu.

5113:5 Kut 8:10; Ay 16:19; Za 35:10; 103:19Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu,

Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,

6113:6 Za 11:4; 138:6; Isa 57:15ambaye huinama atazame chini

aone mbingu na nchi?

7113:7 1Sam 2:8; Za 35:10; 68:10; 140:12; 107:41Huwainua maskini kutoka mavumbini,

na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,

8113:8 2Sam 9:11huwaketisha pamoja na wakuu,

pamoja na wakuu wa watu wake.

9113:9 1Sam 2:5Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,

akiwa mama watoto mwenye furaha.

Msifuni Bwana.

Het Boek

Psalmen 113:1-9

1Prijs de Here!

Dienaars van de Here,

loof en prijs zijn naam!

2Laat de naam van de Here

worden geprezen en geëerd,

nu en tot in eeuwigheid.

3Over de hele aarde

moet de naam van de Here worden geprezen.

4De Here staat boven alle mensen en volken.

Hoog boven de hemelen troont zijn heerlijkheid.

5Is iemand te vergelijken met de Here?

Met onze God, die zo onmeetbaar hoog woont?

6Met onze God, die zo heel laag moet neerzien

om te zien wat in de hemel en op aarde gebeurt?

7Hij helpt kleine mensen opstaan uit het stof

en armen tilt Hij op uit de modder.

8Hij laat hen zitten bij de vooraanstaanden uit het volk.

9Onvruchtbare vrouwen verandert Hij in gelukkige moeders.

Prijs de Here!