Zaburi 112 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 112:1-10

Zaburi 112112 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Baraka Za Mwenye Haki

1112:1 Za 33:2; 103:1; 150:1; 1:1, 2; Ay 1:8; Za 103:11; 115:13; 128:1; 1:2; 119:14, 16, 47, 92Msifuni Bwana.

Heri mtu yule amchaye Bwana,

mtu yule apendezwaye sana na amri zake.

2112:2 Za 25:13; 37:26; 128:2-4Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,

kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

3112:3 Kum 8:18; Za 37:6; 111:3Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,

haki yake hudumu milele.

4112:4 Za 18:28; 5:12Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,

yule mwenye rehema, huruma na haki.

5112:5 Za 37:21, 26; Lk 6:35Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,

anayefanya mambo yake kwa haki.

6112:6 Za 15:5; 55:22; Mit 10:7; Mhu 2:16Hakika hatatikisika kamwe,

mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

7112:7 Za 57:7; 108:1; 28:7; 56:3-4; Isa 12:2Hataogopa habari mbaya,

moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.

8112:8 Za 3:6; 27:1; 54:7; 56:11; Mit 1:33; Isa 12:2Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,

mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

9112:9 Lk 19:8; Mdo 9:36; 2Kor 9:9; Za 111:3; 75:10Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;

haki yake hudumu milele;

pembe yake itatukuzwa kwa heshima.

10112:10 Za 86:17; 34:21; 37:12; Mt 8:12; Ay 8:13Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,

atasaga meno yake na kutoweka,

kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

O Livro

Salmos 112:1-10

Salmo 112

1Louvem o Senhor!

Feliz é aquele que teme e honra o Senhor

e cumpre com alegria os seus mandamentos!

2Os seus descendentes alcançarão prestígio.

Sim, sem dúvida que a descendência daqueles

que pertencem a Deus será muito abençoada!

3Serão ricos e prósperos;

as realizações das suas vidas justas hão de permanecer.

4Ainda que se vejam envolvidos em trevas,

a luz sempre surge para os retos,

para os que são bondosos, misericordiosos e justos.

5Ao homem generoso tudo lhe correrá bem;

os seus negócios decorrem com honestidade.

6Um homem assim não será derrotado;

ninguém esquecerá a honra de uma pessoa justa.

7Não terá receio de notícias súbitas desastrosas;

o seu coração está seguro porque confia no Senhor.

8É por isso que não tem medo,

porque sabe de onde vem o seu auxílio,

até ver que os seus inimigos serão derrotados.

9Reparte liberalmente os seus bens com os necessitados;

a justiça que pratica terá efeitos duradouros.

Tornar-se-á grande e honrado.

10O homem sem Deus, ao ver isto, fica enraivecido;

range os dentes de raiva, consome-se em ódio.

Os seus perversos intentos serão frustrados!