Zaburi 112112 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Baraka Za Mwenye Haki
1112:1 Za 33:2; 103:1; 150:1; 1:1, 2; Ay 1:8; Za 103:11; 115:13; 128:1; 1:2; 119:14, 16, 47, 92Msifuni Bwana.
Heri mtu yule amchaye Bwana,
mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2112:2 Za 25:13; 37:26; 128:2-4Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,
kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3112:3 Kum 8:18; Za 37:6; 111:3Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,
haki yake hudumu milele.
4112:4 Za 18:28; 5:12Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,
yule mwenye rehema, huruma na haki.
5112:5 Za 37:21, 26; Lk 6:35Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,
anayefanya mambo yake kwa haki.
6112:6 Za 15:5; 55:22; Mit 10:7; Mhu 2:16Hakika hatatikisika kamwe,
mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
7112:7 Za 57:7; 108:1; 28:7; 56:3-4; Isa 12:2Hataogopa habari mbaya,
moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8112:8 Za 3:6; 27:1; 54:7; 56:11; Mit 1:33; Isa 12:2Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,
mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9112:9 Lk 19:8; Mdo 9:36; 2Kor 9:9; Za 111:3; 75:10Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;
haki yake hudumu milele;
pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10112:10 Za 86:17; 34:21; 37:12; Mt 8:12; Ay 8:13Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,
atasaga meno yake na kutoweka,
kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Salmo 112
1Louvem o Senhor!
Feliz é aquele que teme e honra o Senhor
e cumpre com alegria os seus mandamentos!
2Os seus descendentes alcançarão prestígio.
Sim, sem dúvida que a descendência daqueles
que pertencem a Deus será muito abençoada!
3Serão ricos e prósperos;
as realizações das suas vidas justas hão de permanecer.
4Ainda que se vejam envolvidos em trevas,
a luz sempre surge para os retos,
para os que são bondosos, misericordiosos e justos.
5Ao homem generoso tudo lhe correrá bem;
os seus negócios decorrem com honestidade.
6Um homem assim não será derrotado;
ninguém esquecerá a honra de uma pessoa justa.
7Não terá receio de notícias súbitas desastrosas;
o seu coração está seguro porque confia no Senhor.
8É por isso que não tem medo,
porque sabe de onde vem o seu auxílio,
até ver que os seus inimigos serão derrotados.
9Reparte liberalmente os seus bens com os necessitados;
a justiça que pratica terá efeitos duradouros.
Tornar-se-á grande e honrado.
10O homem sem Deus, ao ver isto, fica enraivecido;
range os dentes de raiva, consome-se em ódio.
Os seus perversos intentos serão frustrados!