Zaburi 112112 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Baraka Za Mwenye Haki
1112:1 Za 33:2; 103:1; 150:1; 1:1, 2; Ay 1:8; Za 103:11; 115:13; 128:1; 1:2; 119:14, 16, 47, 92Msifuni Bwana.
Heri mtu yule amchaye Bwana,
mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2112:2 Za 25:13; 37:26; 128:2-4Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,
kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3112:3 Kum 8:18; Za 37:6; 111:3Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,
haki yake hudumu milele.
4112:4 Za 18:28; 5:12Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,
yule mwenye rehema, huruma na haki.
5112:5 Za 37:21, 26; Lk 6:35Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,
anayefanya mambo yake kwa haki.
6112:6 Za 15:5; 55:22; Mit 10:7; Mhu 2:16Hakika hatatikisika kamwe,
mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
7112:7 Za 57:7; 108:1; 28:7; 56:3-4; Isa 12:2Hataogopa habari mbaya,
moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8112:8 Za 3:6; 27:1; 54:7; 56:11; Mit 1:33; Isa 12:2Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,
mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9112:9 Lk 19:8; Mdo 9:36; 2Kor 9:9; Za 111:3; 75:10Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;
haki yake hudumu milele;
pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10112:10 Za 86:17; 34:21; 37:12; Mt 8:12; Ay 8:13Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,
atasaga meno yake na kutoweka,
kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Псалом 112
1Аллилуйя!
Воздайте хвалу Господу, слуги Господни,
воздайте хвалу имени Господа!
2Да будет прославлено имя Господне
отныне и вовеки!
3От востока и до запада112:3 Букв.: «От восхода солнца и до заката».
да будет прославлено имя Господне!
4Господь превознесен над всеми народами,
и слава Его выше небес.
5Кто подобен Господу, нашему Богу,
восседающему на троне в вышине?
6Он склоняется, чтобы взирать
на происходящее на небе и на земле.
7Он поднимает бедного из праха
и возвышает нищего из грязи,
8чтобы посадить их с вождями,
с вождями их народа.
9Бесплодную женщину вселяет в дом
счастливой матерью.
Аллилуйя!