Zaburi 110 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 110:1-7

Zaburi 110

Bwana Na Mfalme Wake Mteule

Zaburi ya Daudi.

1110:1 Mt 22:44; Lk 20:42; Mdo 2:34; Mk 12:36; 16:19; Ebr 1:13; 12:2; Yos 10:24; 1Fal 5:3; 1Kor 15:25; Za 45:6Bwana amwambia Bwana wangu:

“Keti mkono wangu wa kuume,

mpaka nitakapowafanya adui zako

kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”

2110:2 Mwa 49:10; Za 45:6; 2:6; 72:8; Isa 14:5; Yer 48:17Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni;

utatawala katikati ya adui zako.

3110:3 Kut 15:11; Mik 5:7Askari wako watajitolea kwa hiari

katika siku yako ya vita.

Ukiwa umevikwa fahari takatifu,

kutoka tumbo la mapambazuko

utapokea umande wa ujana wako.110:3 Au: vijana wako watakujia kama umande.

4110:4 Hes 23:19; Zek 6:13; Ebr 5:6; 5:10; 7:15-17; 7:21; Mwa 14:18Bwana ameapa,

naye hatabadilisha mawazo yake:

“Wewe ni kuhani milele,

kwa mfano wa Melkizedeki.”

5110:5 Za 16:8; 2:12; 68:21; 76:12; Kum 7:24; Isa 60:12; Dan 2:44; Za 2:5; Rum 2:5; Ufu 6:17; 11:18Bwana yuko mkono wako wa kuume,

atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.

6110:6 Za 9:19; 18:38; Isa 5:25; 34:3; 66:24Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga

na kuwaponda watawala wa dunia nzima.

7110:7 Za 3:3; 27:6Atakunywa maji katika kijito kando ya njia,110:7 Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka.

kwa hiyo atainua kichwa chake juu.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 110:1-7

110

1主は、私の救い主にお告げになりました。

「わたしに代わって、天地を治めなさい。

わたしは敵を服従させ、あなたの前にひれ伏させよう。」

2主は、あなたが敵を支配するために、

エルサレムに強固な王座をお据えになりました。

3あなたのご威光が輝き渡ると、

民はきよい祭服をまとって、

喜んでやって来るでしょう。

あなたは朝露のように、日々新しい力を帯びられます。

4主は、こう誓われました。

「あなたが永遠に

メルキゼデクのような祭司であるという契約は

決して無効にはならない。」

5主はあなたのそばにいて、あなたを守られます。

神はご自身の御怒りの日に、

多くの国々の王を打ち倒されます。

6主は国々を罰し、指導者を全滅させ、

死体でいっぱいにされます。

7しかし、主は道のほとりの泉から水を飲み、

勢いを増されます。