Zaburi 11
Kumtumaini Bwana
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
111:1 Za 7:1; 50:11; Mwa 14:10Kwa Bwana ninakimbilia,
unawezaje basi kuniambia:
“Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
211:2 Za 7:10, 13; 10:8; 58:7; 2Sam 22:35; Ay 33:3Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao,
huweka mishale kwenye uzi wake,
wakiwa gizani ili kuwapiga
wale wanyofu wa moyo.
311:3 Za 18:15; 82:5; Isa 24:18Wakati misingi imeharibiwa,
mwenye haki anaweza kufanya nini?”
411:4 1Fal 8:48; Za 18:6; 27:4; 33:18; 66:7; Yon 2:7; Mik 1:2; Hab 2:20; Ufu 4:2; Mt 5:34; 23:22; Mit 15:3; Efe 5:13; Ebr 4:13Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;
Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.
Huwaangalia wana wa watu,
macho yake yanawajaribu.
511:5 Ay 5:17; 23:10; 28:28; Za 94:12; 5:5; 45:7; Isa 1:14; Kum 7:13Bwana huwajaribu wenye haki,
lakini waovu na wanaopenda jeuri,
nafsi yake huwachukia.
611:6 Ufu 9:17; Ay 1:19; Mwa 9:24; 41:6Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali
na kiberiti kinachowaka,
upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
711:7 2Nya 12:6; Ezr 9:15; Za 9:8; 33:5; 99:4; 17:15; 140:13; 2Tim 4:8; Yer 9:24; Isa 28:17; 30:18; 56:1; 61:8; Ay 1:1; Lk 23:50Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki,
yeye hupenda haki.
Wanyofu watauona uso wake.
Psalm 11
Förtröstan på Herren
1För körledaren. Av David.
Till Herren tar jag min tillflykt.
Hur kan ni då säga till mig:
”Fly som en fågel upp till bergen?”
2Se, de gudlösa spänner bågen,
de lägger sina pilar mot strängen
för att i mörkret skjuta de rättsinniga.
3När grundvalarna bryter samman,
vad kan den rättfärdige göra?
4Herren är i sitt heliga tempel,
hans tron är i himlen.
Han betraktar människobarn,
hans ögon granskar dem.
5Han prövar de rättfärdiga,
men den gudlöse och våldsmannen hatar han.
6Han ska låta eldkol och svavel regna ner över de gudlösa,
och en glödande vind ska bli deras lott.
7Herren är rättfärdig
och älskar rättfärdighet.
De rättsinniga ska få se hans ansikte.