Zaburi 11 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 11:1-7

Zaburi 11

Kumtumaini Bwana

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

111:1 Za 7:1; 50:11; Mwa 14:10Kwa Bwana ninakimbilia,

unawezaje basi kuniambia:

“Ruka kama ndege kwenye mlima wako.

211:2 Za 7:10, 13; 10:8; 58:7; 2Sam 22:35; Ay 33:3Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao,

huweka mishale kwenye uzi wake,

wakiwa gizani ili kuwapiga

wale wanyofu wa moyo.

311:3 Za 18:15; 82:5; Isa 24:18Wakati misingi imeharibiwa,

mwenye haki anaweza kufanya nini?”

411:4 1Fal 8:48; Za 18:6; 27:4; 33:18; 66:7; Yon 2:7; Mik 1:2; Hab 2:20; Ufu 4:2; Mt 5:34; 23:22; Mit 15:3; Efe 5:13; Ebr 4:13Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;

Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.

Huwaangalia wana wa watu,

macho yake yanawajaribu.

511:5 Ay 5:17; 23:10; 28:28; Za 94:12; 5:5; 45:7; Isa 1:14; Kum 7:13Bwana huwajaribu wenye haki,

lakini waovu na wanaopenda jeuri,

nafsi yake huwachukia.

611:6 Ufu 9:17; Ay 1:19; Mwa 9:24; 41:6Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali

na kiberiti kinachowaka,

upepo wenye joto kali ndio fungu lao.

711:7 2Nya 12:6; Ezr 9:15; Za 9:8; 33:5; 99:4; 17:15; 140:13; 2Tim 4:8; Yer 9:24; Isa 28:17; 30:18; 56:1; 61:8; Ay 1:1; Lk 23:50Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki,

yeye hupenda haki.

Wanyofu watauona uso wake.

Korean Living Bible

시편 11:1-7

여호와에 대한 신뢰

(다윗의 시. 성가대 지휘자를 따라 부른 노래)

1너희는 여호와를

의지하는 나에게

어떻게 이런 말을 할 수 있느냐?

“너는 새처럼 산으로 도망하라.

2악인들이 활을 당겨

으슥한 곳에서

선한 사람들을 쏘려고 한다.

311:3 원문에는 ‘터가 무너지면’법과 질서가 무너지면

선한 사람인들 별수 있나?”

4여호와께서는

거룩한 성전에 계시고

하늘의 보좌에서 다스리시며

인간을 지켜 보시고

일일이 살피신다.

5여호와는 의로운 사람을 살피시고

악인과 폭력을 좋아하는 자들을

미워하신다.

6그는 악인들에게

불과 유황을 내려

타는 바람으로 벌하실 것이다.

7여호와는 의로우셔서

의로운 일을 좋아하시니

정직한 자가 그의 얼굴을 보리라.