Zaburi 108 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 108:1-13

Zaburi 108

Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui

(Zaburi 57:7-11; 60:5-12)

Wimbo. Zaburi ya Daudi.

1108:1 Za 112:7; 119:30, 112; 18:49Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

2108:2 Ay 21:12Amka, kinubi na zeze!

Nitayaamsha mapambazuko.

3Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

4108:4 Hes 14:18; Kum 7:9; Kut 34:6; Za 36:5; Mik 7:18-20Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;

uaminifu wako unazifikia anga.

5108:5 Za 8:1; 57:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

utukufu wako na uenee duniani kote.

6108:6 Ay 40:14Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

7108:7 Za 89:35; 68:35; 102:19; Mwa 12:6; 33:17Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

na kulipima Bonde la Sukothi.

8108:8 Za 78:68; Mwa 49:10Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,

Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

9108:9 Mwa 19:37; 2Sam 8:1, 13-14Moabu ni sinia langu la kunawia,

juu ya Edomu natupa kiatu changu;

nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

10108:10 Za 60:9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

11108:11 Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

na hutoki tena na majeshi yetu?

12108:12 Isa 10:3; 30:3, 5; 31:3; Yer 2:36; 17:7; Za 118:8; 146:3Tuletee msaada dhidi ya adui,

kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

13108:13 Za 44:5; Isa 22:5; 63:3, 6; 25:10; Mao 1:15; Mal 4:3; Ufu 14:9Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

naye atawaponda adui zetu.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 108:1-13

108

1ああ神よ。

賛美が私の口からあふれてきます。

心から喜んで、あなたへの歌をささげましょう。

2十弦の琴と竪琴よ、目覚めなさい。

共々に歌って、夜明けを迎えようではないか。

3私は世界のどこでも、主をたたえます。

4あなたの恵みは測り知れず、

その真実は天にまで達します。

5ご栄光は、大空を突き抜くようにそびえています。

6あなたが愛しておられる子、

私の叫びを聞いてください。

あなたの偉大な力で、私を救ってください。

7神が聖なる約束を交わしてくださったので

私はほめたたえます。

神は、シェケムの全土とスコテの谷を下さると

約束してくださいました。

8「ギルアデとマナセは、

おまえたちに与える、わたしの領地だ。

エフライムは、わたしのかぶと、ユダはわたしの笏。

9しかし、モアブとエドムはさげすまされる。

わたしはペリシテ人に向かって、勝ちどきを上げよう。」

10神以外のだれが、こんな要塞で固められた町々を

征服する力を、私に授けてくれるでしょう。

また、エドムまで導いてくれるでしょう。

11神よ、あなたは私たちを見捨て、

その軍勢を置き去りになさったのでしょうか。

12どうか、敵に立ち向かう力を与えてください。

同盟軍の助けなどあてにできません。

13神の助けさえあれば、

勇敢に戦うことができます。

神が敵を踏みにじってくださるからです。