Zaburi 105 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 105:1-45

Zaburi 105

Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli

(1 Nyakati 16:8-22)

1105:1 1Nya 16:34; Za 80:18; 99:6; 116:13; Yoe 2:32; Mdo 2:21; Isa 12:4Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake,

wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.

2105:2 Za 30:4; 146:2; 33:3; 96:1; 7:17; 18:49; 27:6; 59:17; 71:22; 75:1Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,

waambieni matendo yake yote ya ajabu.

3105:3 Za 89:16Lishangilieni jina lake takatifu,

mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.

4105:4 Za 24:6; 27:8Mtafuteni Bwana na nguvu zake,

utafuteni uso wake siku zote.

5105:5 Za 40:5; Kum 7:18; 8:2Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,

miujiza yake na hukumu alizozitamka,

6105:6 Za 105:42; Kum 10:15; Za 106:5enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,

enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

7105:7 Isa 26:8Yeye ndiye Bwana Mungu wetu,

hukumu zake zimo duniani pote.

8105:8 Mwa 9:15; Za 106:45; 111:5; Eze 16:60; Lk 1:72Hulikumbuka agano lake milele,

neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

9105:9 Mwa 22:16-18; 15:18; Ebr 6:17; Lk 1:73; 17:2; 12:7; Gal 3:15-18; Dan 9:4agano alilolifanya na Abrahamu,

kiapo alichomwapia Isaki.

10105:10 Mwa 28:13-15; Isa 55:3Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,

kwa Israeli liwe agano la milele:

11105:11 Mwa 12:7; Hes 34:2“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani

kuwa sehemu utakayoirithi.”

12105:12 Kum 7:7; Ebr 11:9; Mwa 17:8; 23:4; 34:30Walipokuwa wachache kwa idadi,

wachache sana na wageni ndani yake,

13105:13 Mwa 15:13-16; Hes 32:13; 33:3-49walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,

kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

14105:14 Mwa 35:5; 12:17-20; 20:3; Za 9:5Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;

kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

15105:15 Mwa 26:11; 20:7; 1Sam 12:3“Msiwaguse niliowatia mafuta;

msiwadhuru manabii wangu.”

16105:16 Isa 3:1; Law 26:26; Mwa 12:10; 41:54; 2Fal 8:1; Eze 4:16Akaiita njaa juu ya nchi

na kuharibu chakula chao chote,

17105:17 Mwa 45:5; 37:28; Mdo 7:9naye akatuma mtu mbele yao,

Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.

18105:18 Mwa 40:15Walichubua miguu yake kwa minyororo,

shingo yake ilifungwa kwa chuma,

19105:19 Mwa 12:10; 41:40; 40:20-21hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia,

hadi neno la Bwana lilipomthibitisha.

20105:20 Mwa 41:14Mfalme alituma watu wakamfungua,

mtawala wa watu alimwachia huru.

21Alimfanya mkuu wa nyumba yake,

mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,

22105:22 Mwa 41:43-44; 41:40kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo

na kuwafundisha wazee wake hekima.

23105:23 Mdo 7:15; 13:17; Mwa 46:6; 47:28; Za 78:51Kisha Israeli akaingia Misri,

Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.

24105:24 Kut 1:7; Kum 26:7; Mdo 7:17Bwana aliwafanya watu wake kuzaana sana,

akawafanya kuwa wengi sana kuliko adui zao,

25105:25 Kut 4:21; 1:6-10; Mdo 7:19ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake,

wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.

26105:26 Kut 3:10; 4:16; Hes 33:1; 16:5; 17:5-8Akamtuma Mose mtumishi wake,

pamoja na Aroni, aliyemchagua.

27105:27 Za 105:28-37; Kut 7:8; 12:51; 4:17; 10:1; 3:20; Dan 4:3Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,

miujiza yake katika nchi ya Hamu.

28105:28 Mwa 1:4; Za 99:7; Kut 10:22; 7:22Alituma giza na nchi ikajaa giza,

kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?

29105:29 Za 78:44; Kut 7:21Aligeuza maji yao kuwa damu,

ikasababisha samaki wao kufa.

30105:30 Kut 8:2, 6Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia

hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.

31105:31 Za 78:45; 107:25; 148:8; Kut 8:16-18; 8:21-24Alisema, yakaja makundi ya mainzi,

na viroboto katika nchi yao yote.

32105:32 Kut 9:22-25; Ay 38:22; Za 78:47Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,

yenye umeme wa radi nchini yao yote,

33105:33 Za 78:47; Kut 10:5, 12akaharibu mizabibu yao na miti ya tini,

na akaangamiza miti ya nchi yao.

34105:34 Za 107:25; Kut 10:4, 12-15; 1Fal 8:27; Yoe 1:6Alisema, nzige wakaja,

tunutu wasio na idadi,

35wakala kila jani katika nchi yao,

wakala mazao ya ardhi yao.

36105:36 Kut 4:23; 12:12Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao,

matunda ya kwanza ya ujana wao wote.

37105:37 Kut 3:21, 22Akawatoa Israeli katika nchi

wakiwa na fedha na dhahabu nyingi,

wala hakuna hata mmoja

kutoka kabila zao aliyejikwaa.

38105:38 Kut 15:16Misri ilifurahi walipoondoka,

kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.

39105:39 Kut 13:21; 1Kor 10:1; Za 78:14; Neh 9:12Alitandaza wingu kama kifuniko,

na moto kuwamulikia usiku.

40105:40 Za 78:18; Kut 16:4; Yn 6:31; Kut 16:12Waliomba, naye akawaletea kware,

akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.

41105:41 Hes 20:11; 1Kor 10:4; Kut 17:6; Neh 9:15; Isa 48:21Alipasua mwamba, maji yakabubujika,

yakatiririka jangwani kama mto.

42105:42 Mwa 15:1-4, 13-16; 13:14-17Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu,

aliyompa Abrahamu mtumishi wake.

43105:43 Kut 15:1-19; Za 106:12Aliwatoa watu wake kwa furaha,

wateule wake kwa kelele za shangwe,

44105:44 Kum 6:10-11; Za 106:12akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi

wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:

45105:45 Kum 6:14-21; 4:1, 40; Za 105:35; 78:5-7alifanya haya ili wayashike mausia yake

na kuzitii sheria zake.

Msifuni Bwana.105:45 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.

Korean Living Bible

시편 105:1-45

하나님과 그의 백성

1너희는

여호와께 감사하고

그의 이름을 선포하며

그가 행하신 일을

온 세상에 알게 하라.

2그에게 노래하고 그를 찬양하며

그의 신기한 일을 말하라.

3그의 거룩한 이름을 자랑하라.

여호와를 찾는 자에게는

즐거움이 있으리라.

4너희는 여호와를 찾고

그의 능력을 구하며

항상 그를 바라보아라.

5여호와의 종 아브라함의 후손들아,

6하나님이 택하신

이스라엘 자손들아,

너희는 그가 행하신

놀랍고 신기한 일과

그가 내린 심판을 기억하라.

7그는 여호와 우리 하나님이시다.

그가 온 세상을 심판하신다.

8그는 영원한 자기 계약,

곧 천 대에까지 약속하신

그의 말씀을 기억하셨으니

9이것은 그가 아브라함과

맺은 계약이며

이삭에게 하신 맹세요

10야곱에게 하신 약속이며

이스라엘과 맺은

영원한 계약이다.

11이것이 바로

“내가 가나안 땅을 너에게 주어

네 소유가 되게 하겠다” 고

하신 말씀이다.

12이스라엘 백성의 수가 매우 적고

가나안 땅에서

그들이 나그네가 되어

13이 민족 저 민족,

이 나라 저 나라로

방황할 때에도

14하나님은 아무도 그들을

괴롭히지 못하게 하시고

그들을 위해

모든 왕들에게 경고하셨다.

15“나의 택한 종들에게 손대지 말고

나의 예언자들을 해하지 말라.”

16그가 그 땅에 기근을 보내

양식이 다 떨어지게 하셨으나

17한 사람을 앞서 보내셨으니

종으로 팔린 요셉이었다.

18족쇄에 그 발이 상하고

그 몸이 쇠사슬에 묶였으니

19여호와의 말씀이

이루어질 때까지라.

그 말씀이

105:19 또는 ‘저를 단련하였도다’그가 진실함을 입증하였다.

20왕이 사람을 보내

그를 석방하였으니

여러 민족을 통치하는 자가

그를 자유롭게 하였다.

21그가 나라 살림을 그에게 맡겨

그의 모든 소유를 관리하게 하고

22왕의 신하들을

마음대로 다스리게 하며

그의 고문관들을 교훈하게 하였다.

23그때 야곱이 이집트로 들어가

함의 땅에서 살게 되었다.

24여호와께서 자기 백성을

크게 번성하게 하셔서

그들의 대적보다 더 강하게 하시고

25이집트 사람들의 마음을 돌이켜

자기 백성을 미워하게 하고

자기 종들을

교활하게 다루도록 하셨다.

26그가 자기 종 모세와

자기가 택한 아론을 보내시자

27그들이 자기 백성들에게

여호와의 표적을 보이고

함 땅에 기적을 행하였다.

28여호와께서 흑암을 보내

그 땅을 어둡게 하셨으나

이집트 사람들은

그의 명령에 순종하지 않았다.

29그가 강물을 피가 되게 하시고

물고기를 죽이셨다.

30그 땅이 개구리로 뒤덮여

왕의 침실에도 뛰어들었다.

31여호와께서 말씀하시니

파리떼가 나오고

온 땅에 105:31 또는 ‘각다귀’이가 생겼다

32그가 저희 땅에

비 대신 우박과 번개를 보내시고

33포도나무와 무화과나무를 치시며

그 땅의 나무들을 꺾으셨다.

34여호와께서 말씀하시자

수많은 메뚜기떼가 날아와서

35그 땅의 모든 채소와

농작물을 먹어 버렸다.

36여호와께서 이집트 가정의

모든 장남을 죽이시고

37자기 백성을 인도하여

은과 금을 가지고 나오게 하셨으니

그들 가운데

병든 자나 약한 자들이 없었다.

38그들이 떠날 때

이집트 사람들이 기뻐하였으니

그들이 이스라엘 사람들을

두려워하였기 때문이었다.

39여호와께서 구름을 펴셔서

따가운 햇볕을 막는

덮개가 되게 하시고

밤에는 불 기둥으로

그들의 갈 길을 밝혀 주셨으며

40그들이 요구하므로

메추라기를 보내 주시고

하늘의 양식으로

그들을 만족하게 하셨다.

41그가 바위를 가르시자

물이 솟구쳐나와

메마른 땅에 강처럼 흘렀으니

42그의 종 아브라함에게 하신

그의 거룩한 약속을

기억하셨음이라.

43그가 택한 자기 백성을

이끌어내셨으므로

그들이 기뻐서 노래하며 외쳤다.

44그가 이방 나라들의 땅을

그들에게 주시고

다른 민족이 애써 지은 농작물을

그들에게 주셨으니

45자기 백성이 그의 법을 지키고

그의 명령에

순종하도록 하기 위해서였다.

105:45 또는 ‘할렐루야’여호와를 찬양하라!