Zaburi 104
Kumsifu Muumba
1104:1 Za 103:22; Ay 40:10Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana,
umejivika utukufu na enzi.
2104:2 Yer 43:12; 51:15; 1Tim 6:16; Ay 9:8; 37:18; Isa 44:24; 49:18, 22; 42:5; 40:22; Zek 12:1; Za 18:12; 19:4Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi,
amezitandaza mbingu kama hema
3104:3 Amo 9:6; Za 18:10; 24:2; Kum 33:26; Isa 19:1; Nah 1:3; 2Fal 12:11na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji.
Huyafanya mawingu kuwa gari lake,
na hupanda kwenye mbawa za upepo.
4104:4 Za 148:8; Mwa 3:24; 2Fal 2:11; Ebr 1:7Huzifanya pepo kuwa wajumbe104:4 Au: malaika. wake,
miali ya moto watumishi wake.
5104:5 Kut 31:17; Ay 26:7; Za 24:1, 2; 121:2; 102:25; 1Sam 2:8Ameiweka dunia kwenye misingi yake,
haiwezi kamwe kuondoshwa.
6104:6 Mwa 7:19; 1:2; 2Pet 3:6Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi,
maji yalisimama juu ya milima.
7104:7 Za 18:15; 29:3; Kut 9:23Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia,
kwa sauti ya radi yako yakatoroka,
8104:8 Za 33:7; Ay 38:10yakapanda milima, yakateremka mabondeni,
hadi mahali pale ulipoyakusudia.
9104:9 Yer 5:22; Za 16:6; 33:7; Ay 26:10; Mwa 1:9; 9:11Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka,
kamwe hayataifunika dunia tena.
10104:10 Za 107:33; Isa 41:16Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni,
hutiririka kati ya milima.
11104:11 Za 104:13; Mwa 16:12; Isa 32:14; Yer 14:6Huwapa maji wanyama wote wa kondeni,
punda-mwitu huzima kiu yao.
12104:12 Za 104:17; Mt 8:20; 13:32Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji,
huimba katikati ya matawi.
13104:13 Za 135:7; 147:8; Yer 10:13Huinyeshea milima kutoka orofa zake,
dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
14104:14 Ay 38:27; 28:5; Mwa 1:30; Za 147:8; 136:25Huyafanya majani ya mifugo yaote,
na mimea kwa watu kulima,
wajipatie chakula kutoka ardhini:
15104:15 Mwa 14:18; Amu 9:13; Za 23:5; 92:10; Lk 7:46; Kum 8:3; Mit 31:6, 7; Yer 12:12; Mk 14:23; Mhu 10:19; Yn 2:9, 10divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu,
mafuta kwa ajili ya kungʼarisha uso wake,
na mkate wa kutia mwili nguvu.
16104:16 Mwa 1:11; Za 29:5; 72:16; Hes 24:6Miti ya Bwana inanyeshewa vizuri,
mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.
17104:17 Za 104:12Humo ndege hufanya viota vyao,
korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.
18104:18 Mit 30:26; Kum 14:5Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu,
majabali ni kimbilio la pelele.
19104:19 Mwa 1:14; Za 19:6; Ay 38:12Mwezi hugawanya majira,
na jua hutambua wakati wake wa kutua.
20104:20 Isa 45:7; Amo 5:8; Za 74:16; 50:10Unaleta giza, kunakuwa usiku,
wanyama wote wa mwituni huzurura.
21104:21 Amo 3:4; Za 145:15; Mt 6:26; Yoe 1:20Simba hunguruma kwa mawindo yao,
na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.
22104:22 Za 37:8Jua huchomoza, nao huondoka,
hurudi na kulala katika mapango yao.
23104:23 Mwa 3:19; Amu 19:16Kisha mwanadamu huenda kazini mwake,
katika kazi yake mpaka jioni.
24104:24 Mwa 1:31; 1:20-22; Za 40:5; 24:1; 50:10, 11Ee Bwana, jinsi matendo yako yalivyo mengi!
Kwa hekima ulizifanya zote,
dunia imejaa viumbe vyako.
25104:25 Za 69:34; Eze 47:10Pale kuna bahari, kubwa na yenye nafasi tele,
imejaa viumbe visivyo na idadi,
vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
26104:26 Za 107:23; Eze 27:9; Yon 1:3; Ay 41:1; 40:20; Mwa 1:21Huko meli huenda na kurudi,
pia Lewiathani,104:26 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. uliyemuumba acheze ndani yake.
27104:27 Ay 36:31; Za 147:9; 145:15; Rum 11:36Hawa wote wanakutazamia wewe,
uwape chakula chao kwa wakati wake.
28104:28 Isa 58:11; Za 103:5; 145:16Wakati unapowapa,
wanakikusanya,
unapofumbua mkono wako,
wao wanashibishwa mema.
29104:29 Kum 31:17; Ay 7:21; Mhu 12:7Unapoficha uso wako,
wanapata hofu,
unapoondoa pumzi yao,
wanakufa na kurudi mavumbini.
30104:30 Mwa 1:2; Isa 32:15Unapopeleka Roho wako,
wanaumbwa,
nawe huufanya upya uso wa dunia.
31104:31 Kut 40:35; Rum 11:36; Mwa 1:4; Za 8:1Utukufu wa Bwana na udumu milele,
Bwana na azifurahie kazi zake:
32104:32 Kut 19:18; Hab 3:10; Za 97:4; 144:5yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka,
aigusaye milima, nayo ikatoa moshi.
33104:33 Kut 15:1; Za 108:1Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote;
nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
34104:34 Za 2:11; 9:2; 32:11Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye,
ninapofurahi katika Bwana.
35104:35 Ay 7:10; Za 28:6; 37:38; 105:45; 106:48Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia
na waovu wasiwepo tena.
Ee nafsi yangu, msifu Bwana.
Msifuni Bwana.104:35 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
第 104 篇
称颂创造主——上帝
1我的心啊,要称颂耶和华。
我的上帝耶和华啊,
你是多么伟大!
你以尊贵和威严为衣,
2你身披光华如披外袍,
你铺展穹苍如铺幔子。
3你在水中设立自己楼阁的栋梁。
你以云彩为车驾,乘风飞驰。
4风是你的使者,
火焰是你的仆役。
5你奠立大地的根基,
使它永不动摇。
6你以深水为衣覆盖大地,
淹没群山。
7你一声怒叱,众水便奔逃;
你一声雷鸣,众水就奔流,
8漫过山峦,流进山谷,
归到你指定的地方。
9你为众水划定不可逾越的界线,
以免大地再遭淹没。
10耶和华使泉水涌流在谷地,
奔腾在山间,
11让野地的动物有水喝,
野驴可以解渴。
12飞鸟也在溪旁栖息,
在树梢上歌唱。
13祂从天上的楼阁降雨在山间,
大地因祂的作为而丰美富饶。
14祂使绿草如茵,滋养牲畜,
让人种植作物,
享受大地的出产,
15有沁人心怀的醇酒、
滋润容颜的膏油、
增强活力的五谷。
16耶和华种植了黎巴嫩的香柏树,
使它们得到充沛的水源,
17鸟儿在树上筑巢,
鹳鸟在松树上栖息。
18高山是野山羊的住处,
峭壁是石獾的藏身之所。
19你命月亮定节令,
使太阳自知西沉。
20你造黑暗,定为夜晚,
作林中百兽出没的时间。
21壮狮吼叫着觅食,
寻找上帝所赐的食物。
22太阳升起,
百兽便退回自己的洞窟中休息,
23人们外出工作,直到黄昏。
24耶和华啊,你的创造多么繁多!
你用智慧造了这一切,
大地充满了你创造的万物。
25汪洋浩瀚,
充满了无数的大小水族,
26船只往来于海上,
你造的鲸鱼也在水中嬉戏。
27它们都倚靠你按时供应食物。
28它们从你那里得到供应,
你伸手赐下美食,
使它们饱足。
29你若对它们弃而不顾,
它们会惊慌失措。
你一收回它们的气息,
它们便死亡,归于尘土。
30你一吹气便创造了它们,
你使大地更新。
31愿耶和华的荣耀存到永远!
愿耶和华因自己的创造而欢欣!
32祂一看大地,大地就震动;
祂一摸群山,群山就冒烟。
33我要一生一世向耶和华歌唱,
我一息尚存就要赞美上帝。
34愿祂喜悦我的默想,
祂是我喜乐的泉源。
35愿罪人从地上消逝,
愿恶人荡然无存。
我的心啊,要称颂耶和华!
你们要赞美耶和华!