Zaburi 102 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 102:1-28

Zaburi 102

Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu

Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana.

1102:1 Za 4:1; Kut 2:23Ee Bwana, usikie maombi yangu,

kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.

2102:2 Za 22:24; 31:2; 88:2; 2Fal 19:16Usinifiche uso wako

ninapokuwa katika shida.

Unitegee sikio lako,

ninapoita, unijibu kwa upesi.

3Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,

mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.

4102:4 Za 37:2; 90:5-6; 1Sam 1:7; Ezr 10:6; Ay 33:26Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,

ninasahau kula chakula changu.

5102:5 Za 6:6Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,

nimebakia ngozi na mifupa.

6102:6 Isa 34:11; Sef 2:14; Kum 14:15-17; Ay 30:29Nimekuwa kama bundi wa jangwani,

kama bundi kwenye magofu.

7102:7 Za 77:4; 38:11Nilalapo sipati usingizi,

nimekuwa kama ndege mpweke

kwenye paa la nyumba.

8102:8 Za 31:11; 42:10; Mdo 23:12Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,

wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.

9102:9 Isa 44:20; Za 6:6; 42:3; 80:5Ninakula majivu kama chakula changu

na nimechanganya kinywaji changu na machozi

10102:10 Za 7:11; 38:3; 30:7kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,

kwa maana umeniinua na kunitupa kando.

11102:11 1Nya 29:15; Ay 14:2; 8:12; Za 39:6; Yak 1:10Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,

ninanyauka kama jani.

12102:12 Kut 15:18; 3:15; Isa 55:13; 63:12; 40:2; Za 135:13Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,

sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.

13102:13 Za 119:126; 44:26; 77:7; Kum 32:36; 1Fal 3:26; Isa 54:8; 60:10; 40:2; Zek 10:6; Kut 13:10; Dan 8:19; Mdo 1:7Utainuka na kuihurumia Sayuni,

kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema;

wakati uliokubalika umewadia.

14102:14 Dan 9:2Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,

vumbi lake lenyewe hulionea huruma.

15102:15 1Fal 8:43; Isa 2:2; Za 67:7; 76:12; 138:4; 148:11Mataifa wataogopa jina la Bwana,

wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.

16102:16 Za 51:18; 8:1; Isa 60:1, 2Kwa maana Bwana ataijenga tena Sayuni

na kutokea katika utukufu wake.

17102:17 Neh 2:8; 1Fal 8:29; Za 4:1; 6:9Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,

wala hatadharau hoja yao.

18102:18 Rum 4:24; 15:4; Za 22:31; 1Kor 10:1; Isa 43:21Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,

ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu Bwana:

19102:19 Kum 26:15; Za 14:2; 53:2Bwana alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,

kutoka mbinguni alitazama dunia,

20102:20 Za 68:6; Lk 4:19kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa

na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”

21102:21 Za 22:22; 9:14Kwa hiyo jina la Bwana latangazwa huko Sayuni

na sifa zake katika Yerusalemu,

22102:22 Hos 1:11; Za 22:27; Isa 49:22, 23; Zek 8:20-23wakati mataifa na falme zitakapokusanyika

ili kumwabudu Bwana.

23102:23 Za 39:5Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,

akafupisha siku zangu.

24102:24 Mwa 21:33; Ay 36:26; Za 90:2; Hab 1:12; Ufu 1:4, 8Ndipo niliposema:

“Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu;

miaka yako inaendelea vizazi vyote.

25102:25 Mwa 1:1; Ebr 1:10; 2Nya 2:12; Za 8:3; Kut 20:11; Ay 38:4-7Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,

nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

26102:26 Rum 8:20; Isa 51:6; 13:10, 13; 66:21; 34:4; Mt 24:35; Yoe 2:10; Eze 32:8; 2Pet 3:7-10; Ufu 20:11Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,

zote zitachakaa kama vazi.

Utazibadilisha kama nguo

nazo zitaondoshwa.

27102:27 Hes 23:19; Ebr 13:8; Mal 3:6; Yak 1:17; Za 9:7Lakini wewe, U yeye yule,

nayo miaka yako haikomi kamwe.

28102:28 Za 69:36; 25:13; 89:4Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;

wazao wao wataimarishwa mbele zako.”

Nova Versão Internacional

Salmos 102:1-28

Salmo 102

Oração de um aflito que, quase desfalecido, derrama o seu lamento diante do Senhor.

1Ouve a minha oração, Senhor!

Chegue a ti o meu grito de socorro!

2Não escondas de mim o teu rosto

quando estou atribulado.

Inclina para mim os teus ouvidos;

quando eu clamar, responde-me depressa!

3Esvaem-se os meus dias como fumaça;

meus ossos queimam como brasas vivas.

4Como a relva ressequida está o meu coração;

esqueço até de comer!

5De tanto gemer

estou reduzido a pele e osso.

6Sou como a coruja do deserto102.6 Ou pelicano,

como uma coruja entre as ruínas.

7Não consigo dormir;

pareço um pássaro solitário no telhado.

8Os meus inimigos zombam de mim o tempo todo;

os que me insultam usam o meu nome para lançar maldições.

9Cinzas são a minha comida,

e com lágrimas misturo o que bebo,

10por causa da tua indignação e da tua ira,

pois me rejeitaste e me expulsaste para longe de ti.

11Meus dias são como sombras crescentes;

sou como a relva que vai murchando.

12Tu, porém, Senhor, no trono reinarás para sempre;

o teu nome será lembrado de geração em geração.

13Tu te levantarás e terás misericórdia de Sião,

pois é hora de lhe mostrares compaixão;

o tempo certo é chegado.

14Pois as suas pedras são amadas pelos teus servos,

as suas ruínas os enchem de compaixão.

15Então as nações temerão o nome do Senhor

e todos os reis da terra a sua glória.

16Porque o Senhor reconstruirá Sião

e se manifestará na glória que ele tem.

17Responderá à oração dos desamparados;

as suas súplicas não desprezará.

18Escreva-se isto para as futuras gerações,

e um povo que ainda será criado

louvará o Senhor, proclamando:

19“Do seu santuário nas alturas o Senhor olhou;

dos céus observou a terra,

20para ouvir os gemidos dos prisioneiros

e libertar os condenados à morte”.

21Assim o nome do Senhor será anunciado em Sião

e o seu louvor em Jerusalém,

22quando os povos e os reinos

se reunirem para adorar o Senhor.

23No meio da minha vida ele me abateu com sua força;

abreviou os meus dias.

24Então pedi:

“Ó meu Deus, não me leves no meio dos meus dias.

Os teus dias duram por todas as gerações!”

25No princípio firmaste os fundamentos da terra,

e os céus são obras das tuas mãos.

26Eles perecerão, mas tu permanecerás;

envelhecerão como vestimentas.

Como roupas tu os trocarás

e serão jogados fora.

27Mas tu permaneces o mesmo,

e os teus dias jamais terão fim.

28Os filhos dos teus servos terão uma habitação;

os seus descendentes serão estabelecidos na tua presença.