Zaburi 102
Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu
Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana.
1102:1 Za 4:1; Kut 2:23Ee Bwana, usikie maombi yangu,
kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.
2102:2 Za 22:24; 31:2; 88:2; 2Fal 19:16Usinifiche uso wako
ninapokuwa katika shida.
Unitegee sikio lako,
ninapoita, unijibu kwa upesi.
3Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,
mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.
4102:4 Za 37:2; 90:5-6; 1Sam 1:7; Ezr 10:6; Ay 33:26Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,
ninasahau kula chakula changu.
5102:5 Za 6:6Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,
nimebakia ngozi na mifupa.
6102:6 Isa 34:11; Sef 2:14; Kum 14:15-17; Ay 30:29Nimekuwa kama bundi wa jangwani,
kama bundi kwenye magofu.
7102:7 Za 77:4; 38:11Nilalapo sipati usingizi,
nimekuwa kama ndege mpweke
kwenye paa la nyumba.
8102:8 Za 31:11; 42:10; Mdo 23:12Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,
wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.
9102:9 Isa 44:20; Za 6:6; 42:3; 80:5Ninakula majivu kama chakula changu
na nimechanganya kinywaji changu na machozi
10102:10 Za 7:11; 38:3; 30:7kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,
kwa maana umeniinua na kunitupa kando.
11102:11 1Nya 29:15; Ay 14:2; 8:12; Za 39:6; Yak 1:10Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,
ninanyauka kama jani.
12102:12 Kut 15:18; 3:15; Isa 55:13; 63:12; 40:2; Za 135:13Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,
sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.
13102:13 Za 119:126; 44:26; 77:7; Kum 32:36; 1Fal 3:26; Isa 54:8; 60:10; 40:2; Zek 10:6; Kut 13:10; Dan 8:19; Mdo 1:7Utainuka na kuihurumia Sayuni,
kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema;
wakati uliokubalika umewadia.
14102:14 Dan 9:2Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,
vumbi lake lenyewe hulionea huruma.
15102:15 1Fal 8:43; Isa 2:2; Za 67:7; 76:12; 138:4; 148:11Mataifa wataogopa jina la Bwana,
wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.
16102:16 Za 51:18; 8:1; Isa 60:1, 2Kwa maana Bwana ataijenga tena Sayuni
na kutokea katika utukufu wake.
17102:17 Neh 2:8; 1Fal 8:29; Za 4:1; 6:9Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,
wala hatadharau hoja yao.
18102:18 Rum 4:24; 15:4; Za 22:31; 1Kor 10:1; Isa 43:21Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,
ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu Bwana:
19102:19 Kum 26:15; Za 14:2; 53:2“Bwana alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,
kutoka mbinguni alitazama dunia,
20102:20 Za 68:6; Lk 4:19kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa
na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”
21102:21 Za 22:22; 9:14Kwa hiyo jina la Bwana latangazwa huko Sayuni
na sifa zake katika Yerusalemu,
22102:22 Hos 1:11; Za 22:27; Isa 49:22, 23; Zek 8:20-23wakati mataifa na falme zitakapokusanyika
ili kumwabudu Bwana.
23102:23 Za 39:5Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,
akafupisha siku zangu.
24102:24 Mwa 21:33; Ay 36:26; Za 90:2; Hab 1:12; Ufu 1:4, 8Ndipo niliposema:
“Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu;
miaka yako inaendelea vizazi vyote.
25102:25 Mwa 1:1; Ebr 1:10; 2Nya 2:12; Za 8:3; Kut 20:11; Ay 38:4-7Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,
nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
26102:26 Rum 8:20; Isa 51:6; 13:10, 13; 66:21; 34:4; Mt 24:35; Yoe 2:10; Eze 32:8; 2Pet 3:7-10; Ufu 20:11Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,
zote zitachakaa kama vazi.
Utazibadilisha kama nguo
nazo zitaondoshwa.
27102:27 Hes 23:19; Ebr 13:8; Mal 3:6; Yak 1:17; Za 9:7Lakini wewe, U yeye yule,
nayo miaka yako haikomi kamwe.
28102:28 Za 69:36; 25:13; 89:4Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;
wazao wao wataimarishwa mbele zako.”
여호와의 영원한 사랑
(고통당하는 자가 마음이 상하여 근심을 여호와께 털어놓는 기도)
1여호와여,
내 기도를 들으시고
나의 부르짖는 소리에
귀를 기울이소서.
2내가 고통당할 때
주의 얼굴을 숨기지 마소서.
나에게 귀를 기울이시고
내가 부르짖을 때 속히 응답하소서.
3내 인생이 연기같이 사라지며
내 뼈가 숯불처럼 타고 있습니다.
4내 마음이 풀처럼 쇠잔하여
내가 음식 먹는 것도 잊어버렸으며
5내가 탄식하므로
뼈와 가죽만 남았습니다.
6나는 광야의 사다새처럼 되었고
황폐한 곳의 부엉이처럼
되었습니다.
7내가 뜬 눈으로 밤을 새우니
지붕 위의 외로운 새와 같습니다.
8내 원수들이 하루 종일
나를 모욕하고
나를 조롱하는 자들이 내 이름을
저주의 대명사로 쓰고 있습니다.
9내가 재를 음식처럼 먹고
눈물을 음료수처럼 마십니다.
10이것은 주께서 크게 노하셔서
나를 들어 던지셨기 때문입니다.
11내 인생이 저녁 그림자 같고
시들어 가는 풀처럼 되었습니다.
12그러나 여호와여,
주는 영원히 계시는 왕이시므로
모든 세대가
주의 이름을 기억할 것입니다.
13주는 일어나
예루살렘에 자비를 베푸소서.
정한 때가 왔으니
지금은 시온을
불쌍히 여길 때입니다.
14주의 종들이 시온의
돌 하나하나를 사랑하며
그 거리의 먼지 하나하나에도
연민의 정을 느낍니다.
15온 세계가 여호와를 두려워하고
세상의 모든 왕들이
그의 영광스러운
능력을 무서워하리라.
16여호와께서 시온을 건설하시고
그 영광 가운데 나타나셨다.
17여호와께서 가난한 자의
기도를 들으시고
그들의 간구를 무시하지 않으셨다.
18이 일이 앞으로 올 세대를 위해
기록될 것이니
아직 태어나지 않은 백성이
그를 찬양하리라.
19여호와께서 높은 성소에서
내려다보시며
하늘에서 땅을 굽어살피시고
20감옥에 갇힌 자들의
탄식을 들으시며
사형 선고를 받은 자들을
해방하셨다.
21그러므로 그의 이름이
시온에서 선포되고
예루살렘에서 그가
찬양을 받으리라.
22그때 세계의 모든 민족이 함께 모여
여호와께 경배할 것이다.
23여호와께서 내 힘을 중도에서 꺾고
내 수명을 단축하셨으므로
24나는 이렇게 말하였다.
“나의 하나님이시여,
나를 중년에 데려가지 마소서.
주는 영원히 사시는 분이십니다.
25옛날 옛적에 주께서
땅의 기초를 놓으셨고
하늘도 주의 손으로
만드셨습니다.
26하늘과 땅은 없어질 것이나
주는 영원히 살아 계실 것입니다.
그것들이 옷처럼 낡아
주께서 버리시면 사라질지라도
27주는 변함없이 한결같으시고
주의 연대는 끝이 없을 것입니다.
28그러나 우리 자손들은
항상 주 앞에서 살고
대대로 주의 보호를 받아
안전할 것입니다.”