Zaburi 102 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 102:1-28

Zaburi 102

Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu

Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa Bwana.

1102:1 Za 4:1; Kut 2:23Ee Bwana, usikie maombi yangu,

kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.

2102:2 Za 22:24; 31:2; 88:2; 2Fal 19:16Usinifiche uso wako

ninapokuwa katika shida.

Unitegee sikio lako,

ninapoita, unijibu kwa upesi.

3Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,

mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.

4102:4 Za 37:2; 90:5-6; 1Sam 1:7; Ezr 10:6; Ay 33:26Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,

ninasahau kula chakula changu.

5102:5 Za 6:6Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,

nimebakia ngozi na mifupa.

6102:6 Isa 34:11; Sef 2:14; Kum 14:15-17; Ay 30:29Nimekuwa kama bundi wa jangwani,

kama bundi kwenye magofu.

7102:7 Za 77:4; 38:11Nilalapo sipati usingizi,

nimekuwa kama ndege mpweke

kwenye paa la nyumba.

8102:8 Za 31:11; 42:10; Mdo 23:12Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,

wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.

9102:9 Isa 44:20; Za 6:6; 42:3; 80:5Ninakula majivu kama chakula changu

na nimechanganya kinywaji changu na machozi

10102:10 Za 7:11; 38:3; 30:7kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,

kwa maana umeniinua na kunitupa kando.

11102:11 1Nya 29:15; Ay 14:2; 8:12; Za 39:6; Yak 1:10Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,

ninanyauka kama jani.

12102:12 Kut 15:18; 3:15; Isa 55:13; 63:12; 40:2; Za 135:13Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,

sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.

13102:13 Za 119:126; 44:26; 77:7; Kum 32:36; 1Fal 3:26; Isa 54:8; 60:10; 40:2; Zek 10:6; Kut 13:10; Dan 8:19; Mdo 1:7Utainuka na kuihurumia Sayuni,

kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema;

wakati uliokubalika umewadia.

14102:14 Dan 9:2Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,

vumbi lake lenyewe hulionea huruma.

15102:15 1Fal 8:43; Isa 2:2; Za 67:7; 76:12; 138:4; 148:11Mataifa wataogopa jina la Bwana,

wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.

16102:16 Za 51:18; 8:1; Isa 60:1, 2Kwa maana Bwana ataijenga tena Sayuni

na kutokea katika utukufu wake.

17102:17 Neh 2:8; 1Fal 8:29; Za 4:1; 6:9Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,

wala hatadharau hoja yao.

18102:18 Rum 4:24; 15:4; Za 22:31; 1Kor 10:1; Isa 43:21Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,

ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu Bwana:

19102:19 Kum 26:15; Za 14:2; 53:2Bwana alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,

kutoka mbinguni alitazama dunia,

20102:20 Za 68:6; Lk 4:19kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa

na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”

21102:21 Za 22:22; 9:14Kwa hiyo jina la Bwana latangazwa huko Sayuni

na sifa zake katika Yerusalemu,

22102:22 Hos 1:11; Za 22:27; Isa 49:22, 23; Zek 8:20-23wakati mataifa na falme zitakapokusanyika

ili kumwabudu Bwana.

23102:23 Za 39:5Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,

akafupisha siku zangu.

24102:24 Mwa 21:33; Ay 36:26; Za 90:2; Hab 1:12; Ufu 1:4, 8Ndipo niliposema:

“Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu;

miaka yako inaendelea vizazi vyote.

25102:25 Mwa 1:1; Ebr 1:10; 2Nya 2:12; Za 8:3; Kut 20:11; Ay 38:4-7Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,

nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

26102:26 Rum 8:20; Isa 51:6; 13:10, 13; 66:21; 34:4; Mt 24:35; Yoe 2:10; Eze 32:8; 2Pet 3:7-10; Ufu 20:11Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,

zote zitachakaa kama vazi.

Utazibadilisha kama nguo

nazo zitaondoshwa.

27102:27 Hes 23:19; Ebr 13:8; Mal 3:6; Yak 1:17; Za 9:7Lakini wewe, U yeye yule,

nayo miaka yako haikomi kamwe.

28102:28 Za 69:36; 25:13; 89:4Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;

wazao wao wataimarishwa mbele zako.”

La Bible du Semeur

Psaumes 102:1-29

Prière d’un malheureux

1Prière d’une personne dans l’affliction qui se sent défaillir et qui expose sa plainte devant l’Eternel102.1 Le titre de ce psaume est unique en ce qu’il indique la circonstance de la composition mais non l’auteur du psaume..

2O Eternel, ╵écoute ma prière

et que mon appel au secours ╵parvienne jusqu’à toi !

3Ne te détourne pas de moi ╵en ce jour où je suis dans la détresse,

tends vers moi ton oreille ╵au jour où je t’appelle.

Hâte-toi de répondre !

4Comme une fumée, mes jours passent.

J’ai comme un brasier dans les os.

5Mon cœur est brisé, desséché, ╵comme l’herbe fauchée.

J’en oublie de manger ma nourriture.

6A force de gémir,

je n’ai que la peau sur les os.

7Je suis devenu comparable ╵à la corneille du désert,

je suis pareil au chat-huant ╵qui hante les lieux désolés.

8Je reste privé de sommeil,

je ressemble à un oisillon ╵resté seul sur un toit.

9Mes ennemis ne cessent ╵de m’insulter,

ils se moquent de moi ╵et maudissent les gens ╵en leur souhaitant mon sort.

10Je me nourris de cendre ╵au lieu de pain,

et ma boisson ╵est mêlée de mes larmes102.10 Voir 42.4 ; 80.6..

11Dans ton indignation ╵et ta colère,

tu m’as saisi, ╵et m’as jeté au loin102.11 Comme un tourbillon saisit des feuilles et les jette au loin..

12Tout comme l’ombre102.12 Une ombre qui s’allonge le soir : allusion au soir de la vie. qui s’étire, ╵mes jours déclinent,

et moi, je me dessèche comme l’herbe.

13Mais toi, tu sièges pour toujours, ╵ô Eternel,

et tu interviendras102.13 Ou : ton culte persistera. Litt. souvenir… ╵tout au long des générations.

14Oui, tu te lèveras, ╵et de Sion ╵tu auras compassion !

L’heure est là de lui faire grâce,

le moment est venu :

15tes serviteurs ╵ont ses pierres en affection,

ils restent attachés ╵à cette ville réduite en poussière102.15 Il s’agit des ruines de Jérusalem..

16Alors les autres peuples craindront l’Eternel,

tous les rois de la terre ╵reconnaîtront sa gloire.

17L’Eternel rebâtit Sion

pour y paraître dans sa gloire.

18Il a égard à la prière ╵de ceux qui sont dépossédés,

il ne méprisera pas leur requête.

19Que cela soit mis par écrit ╵pour la génération future,

et le peuple qui sera créé louera Eternel.

20Du haut de sa demeure sainte, ╵l’Eternel s’est penché vers nous.

Du ciel, il regarde la terre,

21et il entend les plaintes des captifs ;

et il rendra la liberté ╵aux condamnés à mort,

22pour que l’on publie en Sion ╵la renommée de l’Eternel,

sa louange à Jérusalem,

23quand se rassembleront les peuples

et les royaumes tous ensemble, ╵afin d’adorer l’Eternel.

24Il a réduit ma force ╵au milieu de ma course,

et abrégé mes jours ;

25c’est pourquoi je m’écrie : ╵« Mon Dieu, ne me fais pas mourir ╵au milieu de mes jours,

toi qui subsistes d’âge en âge !

26Tu as jadis fondé la terre,

le ciel est l’œuvre de tes mains.

27Ils périront, mais tu subsisteras ;

tous s’useront comme un habit ;

comme on remplace un vêtement, ╵tu les remplaceras ╵et ils disparaîtront.

28Mais toi, tu es toujours le même,

tes années ne finiront pas102.28 Les v. 26-28 sont cités en Hé 1.10-12..

29Les enfants de tes serviteurs ╵auront une demeure ;

sous ton regard, leur descendance ╵sera fermement établie. »