Zaburi 101
Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki
Zaburi ya Daudi.
1101:1 Za 33:1; 51:14; 89:1; 145:7Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;
kwako wewe, Ee Bwana, nitaimba sifa.
2101:2 Mwa 17:1; 18:10; 1Sam 18:14; Kum 6:7; Flp 1:10; 1Fal 9:4; 3:14Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:
utakuja kwangu lini?
Nitatembea nyumbani mwangu
kwa moyo usio na lawama.
3101:3 Yos 23:6; 1Sam 12:20; Yer 16:18; Eze 11:21; Hos 9:10; Za 5:5Sitaweka mbele ya macho yangu
kitu kiovu.
Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani;
hawatashikamana nami.
4101:4 Mit 3:32; 6:16-19; 11:20; Mt 7:23; 1Kor 5:11; 2Tim 2:19Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;
nitajitenga na kila ubaya.
5101:5 Kut 20:16; Law 19:16; Za 10:5; Mit 6:17; Lk 18:14Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,
huyo nitamnyamazisha;
mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi
huyo sitamvumilia.
6101:6 Za 101:2; 119:1Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,
ili waweze kuishi pamoja nami;
yeye ambaye moyo wake hauna lawama
atanitumikia.
7Mdanganyifu hatakaa
nyumbani mwangu,
yeye asemaye kwa uongo
hatasimama mbele yangu.
8101:8 Za 5:3; 75:10; 118:10-12; 46:4; Yos 21:12; 2Sam 3:39; Hos 9:2Kila asubuhi nitawanyamazisha
waovu wote katika nchi;
nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya
kutoka mji wa Bwana.
A Psalm of David.
1I will sing of mercy and judgment: unto thee, O LORD, will I sing.
2I will behave myself wisely in a perfect way. O when wilt thou come unto me? I will walk within my house with a perfect heart.
3I will set no wicked thing before mine eyes: I hate the work of them that turn aside; it shall not cleave to me.101.3 wicked…: Heb. thing of Belial
4A froward heart shall depart from me: I will not know a wicked person.
5Whoso privily slandereth his neighbour, him will I cut off: him that hath an high look and a proud heart will not I suffer.
6Mine eyes shall be upon the faithful of the land, that they may dwell with me: he that walketh in a perfect way, he shall serve me.101.6 in a…: or, perfect in the way
7He that worketh deceit shall not dwell within my house: he that telleth lies shall not tarry in my sight.101.7 shall not tarry: Heb. shall not be established
8I will early destroy all the wicked of the land; that I may cut off all wicked doers from the city of the LORD.