Zaburi 100
Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu
Zaburi ya shukrani.
1100:1 Za 98:6Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2100:2 Kum 10:12; Za 95:2Mwabuduni Bwana kwa furaha;
njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3100:3 1Fal 18:21; Za 74:1; 46:10; 79:13; Isa 19:25; 63:8, 17-19; 64:9; Ay 10:3, 8, 9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.
Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;
sisi tu watu wake,
kondoo wa malisho yake.
4100:4 Za 42:4; 96:8; 116:17Ingieni malangoni mwake kwa shukrani
na katika nyua zake kwa kusifu,
mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5100:5 1Nya 16:34; Ezr 3:11; Za 106:1; 108:4; 119:90Kwa maana Bwana ni mwema
na upendo wake wadumu milele;
uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.
Psalm 100
A psalm. For giving grateful praise.
1Shout for joy to the Lord, all the earth.
2Worship the Lord with gladness;
come before him with joyful songs.
3Know that the Lord is God.
It is he who made us, and we are his100:3 Or and not we ourselves;
we are his people, the sheep of his pasture.
4Enter his gates with thanksgiving
and his courts with praise;
give thanks to him and praise his name.
5For the Lord is good and his love endures forever;
his faithfulness continues through all generations.