Zaburi 100 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 100:1-5

Zaburi 100

Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu

Zaburi ya shukrani.

1100:1 Za 98:6Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.

2100:2 Kum 10:12; Za 95:2Mwabuduni Bwana kwa furaha;

njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.

3100:3 1Fal 18:21; Za 74:1; 46:10; 79:13; Isa 19:25; 63:8, 17-19; 64:9; Ay 10:3, 8, 9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.

Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;

sisi tu watu wake,

kondoo wa malisho yake.

4100:4 Za 42:4; 96:8; 116:17Ingieni malangoni mwake kwa shukrani

na katika nyua zake kwa kusifu,

mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

5100:5 1Nya 16:34; Ezr 3:11; Za 106:1; 108:4; 119:90Kwa maana Bwana ni mwema

na upendo wake wadumu milele;

uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

New International Version

Psalms 100:1-5

Psalm 100

A psalm. For giving grateful praise.

1Shout for joy to the Lord, all the earth.

2Worship the Lord with gladness;

come before him with joyful songs.

3Know that the Lord is God.

It is he who made us, and we are his100:3 Or and not we ourselves;

we are his people, the sheep of his pasture.

4Enter his gates with thanksgiving

and his courts with praise;

give thanks to him and praise his name.

5For the Lord is good and his love endures forever;

his faithfulness continues through all generations.