Zaburi 100 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 100:1-5

Zaburi 100

Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu

Zaburi ya shukrani.

1100:1 Za 98:6Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.

2100:2 Kum 10:12; Za 95:2Mwabuduni Bwana kwa furaha;

njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.

3100:3 1Fal 18:21; Za 74:1; 46:10; 79:13; Isa 19:25; 63:8, 17-19; 64:9; Ay 10:3, 8, 9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.

Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;

sisi tu watu wake,

kondoo wa malisho yake.

4100:4 Za 42:4; 96:8; 116:17Ingieni malangoni mwake kwa shukrani

na katika nyua zake kwa kusifu,

mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

5100:5 1Nya 16:34; Ezr 3:11; Za 106:1; 108:4; 119:90Kwa maana Bwana ni mwema

na upendo wake wadumu milele;

uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

Hoffnung für Alle

Psalm 100:1-5

Ein fröhliches Danklied

1Ein Lied für den Dankgottesdienst.

Jubelt dem Herrn zu, ihr Völker der Erde!

2Dient ihm voll Freude,

kommt zu ihm mit fröhlichen Liedern!

3Erkennt, dass der Herr allein Gott ist!

Er hat uns geschaffen, wir gehören ihm100,3 Oder: wir haben nichts dazu getan.!

Wir sind sein Volk, das er umsorgt wie ein Hirte seine Herde.

4Geht durch die Tempeltore ein mit Dank,

betretet die Vorhöfe mit Lobgesang!

Preist ihn und rühmt seinen Namen!

5Denn der Herr ist gut zu uns, seine Gnade hört niemals auf,

für alle Zeiten hält er uns die Treue.