Zaburi 1 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 1:1-6

KITABU CHA KWANZA

(Zaburi 1–41)

Zaburi 1

Furaha Ya Kweli

11:1 Kum 33:29; Za 40:4; 26:9; 37:38; 51:13; 104:35; 26:4; 10:2-11; 128:4; 89:15; 81:12; Mwa 49:6; Isa 28:14; Hos 7:5; Ay 21:16; 11:3; 31:5; Mit 1:22; 4:14Heri mtu yule ambaye

haendi katika shauri la watu waovu,

wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,

au kuketi katika baraza la wenye mizaha.

21:2 Za 19:7; 119:1, 16, 35; 112:1; Rum 7:22; Eze 11:20; 18:17; Mwa 24:63Bali huifurahia sheria ya Bwana,

naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

31:3 Za 46:4; 65:9; 52:8; 92:12, 14; 128:2, 3; Yer 11:16; Zek 4:3; Hes 24:6; Ay 14:9; Eze 17:5; 47:12; Isa 1:30; 64:6; Mwa 39:3Mtu huyo ni kama mti uliopandwa

kando ya vijito vya maji,

ambao huzaa matunda kwa majira yake

na majani yake hayanyauki.

Lolote afanyalo hufanikiwa.

Huzuni Ya Waovu

41:4 Ay 13:25; Isa 40:24; Yer 13:24Sivyo walivyo waovu!

Wao ni kama makapi

yapeperushwayo na upepo.

51:5 Za 5:5; 26:12; 35:28; 82:1; 89:5; 107:32; 111:1; 149:1; Ay 19:29; 1:6; Za 37:18; 121:5; 145:20; 9:6; Nah 1:7; Law 26:38; Yn 1:41Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,

wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.

6Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,

bali njia ya waovu itaangamia.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 1:1-6

卷一: 詩篇1—41

第 1 篇

有福之人

1-2不從惡人的計謀,

不與罪人為伍,

不和輕慢上帝的人同流合污,

只喜愛耶和華的律法,

晝夜默誦,

這樣的人有福了!

3他就像溪水旁的樹木——

按時結果子,

葉子也不凋零。

他必凡事亨通。

4惡人的光景卻截然不同!

他們就像被風吹散的糠秕。

5惡人在審判之日必無法逃脫,

罪人在義人的聚會中必站不住腳。

6因為耶和華看顧義人的腳步,

惡人的道路必通向滅亡。