Yuda 1 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yuda 1:1-25

Salamu

11:1 Yn 14:22; Mdo 1:13; Rum 1:6, 7; Yn 17:12Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo:

Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:

21:2 Rum 1:7; 2Pet 1:2Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.

Dhambi Na Hukumu Ya Watu Wasiomcha Mungu

31:3 Tit 1:4; 1Tim 6:12Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo. 41:4 Gal 2:4; 2Pet 2:1; 1Yn 2:22Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.

Hukumu Kwa Walimu Wa Uongo

51:5 Kum 1:32; 1Kor 10:1-5Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini. 61:6 2Pet 2:4, 9; Mwa 6:1; Yn 8:44; Ufu 20:10Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. 71:7 Kum 29:23; Mt 25:41; Mwa 19:24; 2Pet 2:6, 10; Mt 10:15Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele.

81:8 2Pet 2:10; Kut 22:28Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka. 91:9 Dan 12:1; Ufu 12:7; Zek 3:2Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!” 101:10 2Pet 2:12Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.

111:11 Mwa 4:3-8; 2Pet 2:15; Hes 16:1-3; 31:35Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.

121:12 2Pet 2:13; 1Kor 11:20-22; Mit 25:14; 2Pet 2:17; Efe 4:14; Mt 15:13Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa. 131:13 Isa 57:20; Flp 3:19; 2Pet 2:17Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele.

141:14 Mwa 5:18; 21:24; Kum 33:2; Dan 7:10Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake, 151:15 2Pet 2:6-9; 1Tim 1:9ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.” 161:16 2Pet 2:18; 2:10Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.

Maonyo Na Mausia

171:17 2Pet 3:2; Efe 4:11; Ebr 2:3Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani. 181:18 1Tim 4:1; 2Pet 2:4Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.” 191:19 1Kor 2:14, 15Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.

201:20 Kol 2:7; Efe 6:18Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu. 211:21 Tit 2:13; 2Pet 3:12; Ebr 9:28; Mt 25:46Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele.

22Wahurumieni walio na mashaka; 231:23 Amo 4:11; Zek 3:2-5; Ufu 3:4wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.

Dua Ya Kutakia Heri

241:24 Rum 16:25; 2Kor 4:14; Kol 1:22Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi: 251:25 Yn 5:44kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen.

Knijga O Kristu

Judina 1:1-25

Pozdrav od Jude

1Od Jude, sluge Isusa Krista i Jakovljeva brata.

Pišem svima koji su pozvani živjeti u ljubavi Boga Oca i u skrbi Isusa Krista.

2Želim vam obilje Božje milosti, mira i ljubavi!

Opasnost od lažnih učitelja

3Ljubljeni prijatelji, kanio sam vam pisati o našemu zajedničkom spasenju, ali sada vidim da moram pisati o nečemu drugome: potaknuti vas da se borite za istinu Radosne vijesti.1:3 U grčkome: da se borite za vjeru. Tu nepromjenljivu istinu Bog je zauvijek dao svojemu svetom narodu. 4Kažem to zato što su se među vas uvukli neki bezbožnici koji govore da nam milost Božjega praštanja dopušta živjeti poročnim životom. Propast takvih već je odavno zapisana jer su se okrenuli protiv našega jedinoga Gospodara i Gospodina, Isusa Krista.

5Želim vas podsjetiti na to—iako to i sami dobro znate—da je Gospodin, pošto je iz Egipta izbavio cijeli izraelski narod, poslije uništio one koji mu nisu ostali vjerni. 6Sjetite se anđela koji su pogazili granicu ovlasti koju im je Bog dao te napustili svoje boravište. Bog ih drži okovane u paklenoj tami, gdje čekaju Dan suda. 7Ne zaboravite Sodomu i Gomoru te obližnje gradove u kojima su se ljudi toliko odavali izopačenu bludu da su pošli i za tijelom druge vrste. Ti su gradovi uništeni ognjem kao primjer kazne vječnim ognjem kojim će biti kažnjeni zlikovci.

8Tako i ti lažni učitelji, sanjari, i dalje žive pokvarenim životom, kaljaju svoje tijelo i ne priznaju Božju vlast te vrijeđaju Slavne.1:8 Vjerojatno zla nebeska bića. 9Čak ni arkanđeo Mihael, jedan od najmoćnijih anđela, nije se u prepirci s đavlom za Mojsijevo tijelo usudio izreći uvredljivu osudu, nego je samo rekao: “Gospodin te ukorio!” 10Ali ti se ljudi rugaju i vrijeđaju ono što ne razumiju. Kao nerazumne životinje, čine sve na što ih potiču tjelesni nagoni i tako srljaju u propast. 11Teško njima jer slijede primjer Kajina koji je ubio svojega brata, jer su, kao i Bileam, spremni učiniti sve za novac te će, poput Koraha, propasti zbog svoje pobune.

12Oni kaljaju vaša zajednička blagovanja kojima proslavljate ljubav Gospodnju i opasni su za vas jer na njima bestidno ugađaju sebi. Poput oblaka su koji suhoj zemlji ne donose kišu. Mnogo obećavaju, ali ništa ne daju. Oni su kao voćke koje u jesen ne donesu ploda. Već mrtve, i drugi put umiru kad se s korijenom iščupaju. 13Poput mahnitih su morskih valova što se pjene vlastitim sramotama, poput lutajućih zvijezda koje će završiti u vječitoj, mračnoj tmini.

14Patrijarh Henok, koji je živio sedam naraštaja nakon Adama, prorokovao je o takvim ljudima:

“Gle, Gospodin dolazi

s desettisućama svojih svetih.

15Osudit će bezbožnike za sva zlodjela

koja su počinili u svojoj pobuni i za sve uvrede što su ih bezbožni grešnici

izgovorili protiv njega.”

16Takvi su ljudi nezadovoljnici koji uvijek prigovaraju, a čine što god im se prohtije. Razmetljivi su hvalisavci i drugima laskaju da bi od njih izvukli korist.

Poziv na vjernost

17Dragi moji, sjetite se što su prorekli apostoli našega Gospodina Isusa Krista: 18Na koncu vremena doći će izrugivači koji će živjeti prema svojim bezbožnim požudama. 19Takvi među vama prave razdore. Žive prema tjelesnim nagonima jer nemaju u sebi Božjeg Duha.

20Ali vi, ljubljeni prijatelji, morate izgrađivati svoj život na temelju svoje svete vjere. Molite se kako vas upućuje Sveti Duh.1:20 U grčkome: molite se u Svetome Duhu. 21Očuvajte sebe u Božjoj ljubavi očekujući milosrđe našega Gospodina Isusa Krista za vječni život! 22Budite milosrdni prema onima koji se kolebaju u vjeri. 23Spašavajte ljude jer ih tako otimate iz samoga paklenog ognja. Ima i takvih kojima treba oprezno iskazivati milosrđe pazeći da njihovi grijesi i vas ne okaljaju.1:23 U grčkome: mrzeći i samu haljinu okaljanu njihovim tijelom.

Hvalospjev Bogu

24Sva slava Bogu, koji vas može očuvati da ne posrnete, koji će vas, čiste od grijeha i radosne, dovesti u svoju slavnu nazočnost. 25Sva slava jedinom Bogu Spasitelju kroz našega Gospodina Isusa Krista. Slava, veličanstvo, sila i vlast pripadali su mu prije početka vremena, pa mu tako pripadaju i danas, i zauvijek. Amen.