Yoshua 8 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 8:1-35

Mji Wa Ai Waangamizwa

18:1 Mwa 26:24; Kum 31:6; Hes 14:9; Kum 1:21; Yos 10:7; 7:2; 9:3; 10:1; 12:9; 6:2Ndipo Bwana akamwambia Yoshua, “Usiogope, wala usivunjike moyo. Chukua jeshi lote la vita uende pamoja nalo kuishambulia Ai. Kwa kuwa nimeshamweka mikononi mwako mfalme wa Ai, pamoja na watu wake, mji wake na nchi yake. 28:2 Mwa 49:27; Kum 20:14; Amu 9:43; 20:29; Yos 6:21Utafanya Ai na mfalme wake kama ulivyofanya kwa mji wa Yeriko na mfalme wake, isipokuwa mnaweza kuchukua mateka wake na mifugo wake, kwa ajili yenu. Weka waviziaji upande wa nyuma ya mji.”

3Basi Yoshua na jeshi lote wakainuka kushambulia Ai. Akachagua watu mashujaa elfu thelathini walio bora miongoni mwa wapiganaji wake, akawapeleka wakati wa usiku 48:4 Amu 20:29; 2Nya 13:13akiwaagiza: “Sikilizeni kwa makini. Mtavizia nyuma ya mji. Msiende mbali sana na mji. Wote kuweni macho. 58:5 Amu 20:35Mimi na watu walio pamoja nami, tutaukabili mji, kisha itakuwa hapo watu watakapotoka nje kupigana nasi, kama walivyofanya hapo kwanza, sisi tutawakimbia. 6Watatufuatilia mpaka tutakapokuwa tumewavuta mbali na mji kwa kuwa watasema, ‘Wanatukimbia, kama walivyofanya hapo awali.’ Hivyo tutakapowakimbia, 78:7 Amu 7:7; 1Sam 23:4ninyi inawapasa mwinuke mtoke huko mafichoni na kuuteka mji. Bwana Mungu wenu atautia mkononi mwenu. 88:8 Amu 20:29-38; 2Sam 13:28; Yos 1:16Mtakapokuwa mmeuteka mji, uteketezeni kwa moto. Fanyeni kama vile Bwana alivyoamuru. Angalieni, nimewaagiza.”

98:9 2Nya 13:13Ndipo Yoshua akawatuma watu, nao wakaenda mahali pa kujificha, wakawa wanavizia kati ya Betheli na Ai, kuelekea upande wa magharibi wa Ai, lakini Yoshua akalala miongoni mwa watu usiku huo.

108:10 Mwa 22:3; Yos 7:6; 6:12; Za 101:8; 119:60; Mhu 9:10; Yer 21:12Asubuhi na mapema siku iliyofuatia, Yoshua akawakutanisha watu wake, na yeye na viongozi wa Israeli wakawa mbele ya watu kwenda Ai. 11Watu wote wa vita waliokuwa pamoja naye walipanda, wakakaribia na kufika mbele ya mji. Wakapiga kambi kaskazini mwa Ai, pakiwa na bonde kati yao na huo mji. 128:12 Mwa 12:8; 28:19Yoshua alikuwa amewachukua watu wapatao elfu tano, akawaweka katika uavizi kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa mji. 13Wakawaweka askari katika maeneo yao: wale wote waliokuwa kambini wakawa kaskazini ya mji na wale waliokuwa wakivizia wakawa upande wa magharibi. Usiku huo Yoshua akaenda katika lile bonde.

148:14 Kum 1:1; Amu 20:34; Mt 24:39; 1The 5:1-3; 2Pet 2:3Mfalme wa Ai alipoona jambo hili, yeye pamoja na watu wote wa mji wakatoka kwa haraka asubuhi na mapema, ili kukutana na Israeli katika vita mahali fulani panapotazamana na Araba. Lakini hakujua kwamba kulikuwa kumewekwa waviziaji dhidi yake nyuma ya mji. 158:15 Amu 20:36; Yos 15:61; 18:12Yoshua na Israeli wote wakaruhusu kurudishwa nyuma mbele yao, na kuelekea jangwani. 168:16 Amu 20:31; Kut 14:3-4; Za 9:16Watu wote wa Ai wakaitwa ili kuwafuatia, nao wakavutwa kumfuatia Yoshua mbali na mji. 17Hakuna hata mwanaume mmoja aliyebakia Ai wala Betheli ambaye hakufuatia Israeli. Wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli.

188:18 Ay 41:26; Za 35:3; Kut 4:2; 17:9-12; 14:16; Kum 7:23-24; 9:3; Yos 1:5; Yer 49:3Ndipo Bwana akamwambia Yoshua, “Inua huo mkuki ulio mkononi mwako kuuelekeza Ai, kwa kuwa nitautia huo mji mkononi mwako.” Hivyo Yoshua akauelekeza mkuki wake Ai. 198:19 Amu 20:33Mara tu alipofanya hivi, wale watu waliokuwa mavizioni wakaondoka upesi kutoka mahali pao na kukimbilia mbele. Wakaingia ndani ya mji, wakauteka na kuutia moto kwa haraka.

208:20 Amu 20:40Watu wa Ai wakaangalia nyuma, wakauona moshi wa huo mji ukielekea angani lakini hawakuwa na nafasi ya kutoroka kwa upande wowote, kwa kuwa wale Waisraeli waliokuwa wanawakimbia kuelekea jangwani walikuwa wamegeuka nyuma kuwakabili wakimbizaji wao. 21Basi Yoshua na Israeli wote walipoona kwamba waviziaji wameshauteka mji na moshi ulikuwa unapaa juu kutoka kwenye mji, wakawageukia watu wa Ai na kuwashambulia. 228:22 Kum 7:2; Yos 10:1; Law 27:29; Ay 20:5; Lk 17:26-30Wale waviziaji nao pia wakatoka nje ya mji dhidi yao, hivi kwamba wakashikiwa katikati, Waisraeli wakiwa pande zote mbili. Israeli wakawaua, bila kuwaachia yeyote aliyenusurika wala aliyetoroka. 238:23 1Sam 15:8Lakini wakamchukua mfalme wa Ai akiwa hai na kumleta kwa Yoshua.

24Israeli ilipomaliza kuwaua wanaume wote wa Ai katika mashamba na jangwani walipokuwa wamewafukuzia, na baada ya kila mmoja wao kuuawa kwa upanga, Waisraeli wote wakarudi Ai na kuwaua wale waliokuwa wamebakia mjini. 258:25 Kum 20:16-18Watu kumi na mbili elfu, waume kwa wake, waliangamia siku ile, yaani watu wote wa Ai. 268:26 Hes 21:2; 17:12Kwa maana Yoshua hakuurudisha ule mkono wake uliokuwa umeuinua mkuki hadi alipomaliza kuwaangamiza wote walioishi Ai. 278:27 Hes 31:22, 26; Mt 20:15Lakini Israeli wakajichukulia mifugo na nyara za mji huu, kama vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Yoshua.

288:28 Hes 31:10; Yos 7:2; Yer 49:3; Kum 13:16; Yos 10:1; Mwa 35:20; 2Fal 19:25; Isa 17:1; 25:2; Yer 9:11Kwa hiyo Yoshua akauchoma moto mji wa Ai na kuufanya kuwa lundo la magofu la kudumu, mahali pa ukiwa hadi leo. 298:29 Kum 21:23; Yn 19:31; 2Sam 18:17; Yos 10:26, 27; Za 107:40; 110:5; Yos 7:26; 10:27Akamwangika mfalme wa Ai kwenye mti na kumwacha hapo mpaka jioni. Wakati wa jua kutua, Yoshua akawaamuru wautoe mwili wake kwenye mti na kuutupa kwenye ingilio la lango la mji. Kisha wakalundika mawe makubwa mengi juu yake, ambayo yamesalia mpaka leo.

Agano Linafanywa Upya Katika Mlima Ebali

308:30 Kum 11:29; Kut 20:24; Mwa 8:20; 12:7-8Kisha Yoshua akajenga madhabahu ya Bwana, Mungu wa Israeli, katika Mlima wa Ebali, 318:31 Kut 20:24-25; Kum 27:6-7kama Mose mtumishi wa Bwana alivyokuwa amewaamuru Waisraeli. Akaijenga sawasawa na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Sheria ya Mose: madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo juu yake hakuna chombo cha chuma kilichotumika. Hapo juu yake wakamtolea Bwana sadaka za kuteketezwa na kutoa sadaka za amani.8:31 Sadaka za ushirika. 328:32 Kum 27:8Pale, mbele ya Waisraeli Yoshua akanakili juu ya hayo mawe sheria ya Mose, aliyokuwa ameiandika. 338:33 Law 16:29; Kum 31:12; 11:29; Yn 4:20; 1Nya 15:11-13; Law 24:22; Hes 15:16Israeli yote, wageni na wazawa sawasawa, wakiwa na wazee wao, maafisa na waamuzi, walikuwa wamesimama pande zote mbili za Sanduku la Agano la Bwana, wakiwaelekea wale waliokuwa wamelichukua, yaani makuhani, ambao ni Walawi. Nusu ya watu ilisimama mbele ya Mlima Gerizimu na nusu hiyo ingine ikasimama mbele ya Mlima Ebali, kama vile Mose mtumishi wa Bwana alivyokuwa ameamuru hapo mwanzo alipotoa maagizo ya kuwabariki watu wa Israeli.

348:34 Kum 28:61; 31:11; Neh 8:3; Kum 29:20-21Hatimaye, Yoshua akasoma maneno yote ya sheria, yaani baraka na laana, kama vile ilivyoandikwa katika Kitabu cha Sheria. 358:35 Kut 12:38; Kum 31:12; Yos 1:8Hakuna neno lolote katika yale yote ambayo Mose alikuwa ameamuru ambalo Yoshua hakulisomea kusanyiko lote la Israeli, ikiwa ni pamoja na wanawake na watoto, na wageni walioishi miongoni mwao.

Священное Писание

Иешуа 8:1-35

Взятие и разрушение Гая

1Вечный сказал Иешуа:

– Не бойся и не теряй присутствия духа. Возьми с собой всё своё войско, иди и напади на Гай. Ведь я отдал в твои руки царя Гая, его народ, его город и его землю. 2Сделай с Гаем и его царём то же, что ты сделал с Иерихоном и его царём, разве что добычу и скот вы можете взять себе. Сделай засаду позади города.

3Иешуа со всем войском пошёл на Гай. Он отобрал тридцать тысяч лучших воинов и отослал их ночью, 4приказав:

– Слушайте внимательно! Вы должны устроить засаду позади города. Не отходите от него слишком далеко. Все будьте наготове. 5Я и все, кто со мной, подойдём к городу, и когда они выйдут против нас, как и раньше, мы побежим от них. 6Они будут преследовать нас, и так мы отвлечём их от города. Они скажут: «Они бегут от нас, как и раньше». Поэтому, когда мы побежим от них, 7выйдите из засады и завладейте городом. Вечный, ваш Бог, отдаст его в ваши руки. 8Когда вы захватите город, подожгите его. Исполните всё, что повелел Вечный. Это мой приказ вам!

9Иешуа отослал их, и они, отправившись на место засады, засели между Вефилем и Гаем, к западу от Гая, а Иешуа провёл ту ночь с народом.

10Наутро Иешуа встал рано, осмотрел народ и вместе со старейшинами Исраила пошёл впереди народа к Гаю. 11Все воины, которые были с ним, приблизились к городу и остановились. Они разбили лагерь к северу от Гая, а от города их отделяла долина. 12(Иешуа взял около пяти тысяч человек и посадил их в засаду между Вефилем и Гаем, к западу от города. 13Его войско расположилось так, что основной стан был к северу от города, а засада – к западу.)

Той ночью Иешуа вошёл в долину. 14Когда царь Гая увидел это, он и все люди города поспешили рано утром выйти на назначенное место перед Иорданской долиной, чтобы сразиться с Исраилом. Но он не знал, что против него позади города была поставлена засада. 15Иешуа и весь Исраил, притворившись будто они разбиты людьми Гая, побежали к пустыне. 16А те позвали весь народ, который был в городе, в погоню и, преследуя Иешуа, отдалились от города. 17Ни в Гае, ни в Вефиле не осталось ни одного воина, который не погнался бы вслед за Исраилом. Они пустились в погоню за Исраилом, не заперев городских ворот.

18Тогда Вечный сказал Иешуа:

– Протяни к Гаю копьё, что у тебя в руке, Я отдам город в твои руки.

И Иешуа протянул своё копьё к Гаю. 19Как только он сделал это, люди в засаде немедленно поднялись со своего места и ринулись вперёд. Они вошли в город, взяли его и тотчас же подожгли. 20Воины Гая оглянулись и увидели, как дым от города поднимается к небу, но не могли никуда бежать, потому что исраильтяне, которые бежали к пустыне, обратились на своих преследователей. 21Ведь когда Иешуа и весь Исраил увидели, что засада захватила город и из него поднимается дым, они повернули назад и атаковали людей Гая. 22Люди из засады также вышли против них из города, так что они оказались зажатыми с обеих сторон исраильтянами. Исраил разил их, не оставляя ни одного из них в живых, ни уцелевших, ни убежавших. 23Но царя Гая они взяли живым и привели его к Иешуа.

24Когда Исраил закончил убивать всех жителей Гая в полях и в пустыне, куда они их загнали, и когда каждый из них был предан мечу, все исраильтяне вернулись в Гай и перебили тех, кто оставался в нём. 25В тот день пало двенадцать тысяч мужчин и женщин – всё население Гая. 26Иешуа не опускал руку с копьём, пока полностью не истребил всех жителей Гая. 27Исраильтяне взяли себе лишь скот и добычу из этого города, как Вечный повелел Иешуа.

28Иешуа сжёг Гай и навеки сделал его грудой развалин, опустошённым местом и до сегодняшнего дня. 29Он повесил царя Гая на дереве и оставил его висеть там до вечера. На закате Иешуа приказал, и тело царя сняли с дерева и бросили у входа перед городскими воротами. Люди набросали над ним большую груду камней, которая возвышается там и до сих пор.

Обновление священного соглашения на горе Гевал

30Иешуа построил на горе Гевал жертвенник Вечному, Богу Исраила, 31как велел исраильтянам Муса, раб Вечного. Он построил его в соответствии с написанным в книге Закона, переданного через Мусу, – жертвенник из нетёсаных камней, которые не обрабатывали никаким железным орудием. На нём исраильтяне принесли Вечному жертвы всесожжения и жертвы примирения. 32Там, в присутствии исраильтян, Иешуа переписал на камни Закон Мусы. 33Весь Исраил – и чужеземцы, и уроженцы страны, со своими старейшинами, вождями и судьями, – стоял по обе стороны от сундука соглашения с Вечным напротив священнослужителей-левитов, нёсших его. Одна половина народа стояла напротив горы Геризим, а другая половина – напротив горы Гевал, как велел прежде Муса, раб Вечного, когда давал наставления как благословлять народ Исраила.

34Потом Иешуа прочитал все слова Закона – благословения и проклятия – точно так, как записаны они в книге Закона. 35Из всего, что велел Муса, не было ни одного слова, которое Иешуа не прочитал бы всему собранию Исраила, включая женщин, детей и чужеземцев, которые жили среди них.