Yoshua 7 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 7:1-26

Dhambi Ya Akani

17:1 Yos 6:18; 1Nya 2:7; Yos 22:20; Hes 1:4; Kut 4:14; 32:20; Law 10:6Lakini Waisraeli hawakuwa waaminifu kuhusu vile vitu vilivyowekwa wakfu; Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alivichukua baadhi ya hivyo vitu. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Israeli.

27:2 Mwa 12:8; Yos 8:1, 28; 18:12; 1Sam 14:23; Hos 4:15; 5:8; 10:5; Mwa 12:8; Yos 12:16; 16:1; Amu 1:22; 1Sam 30:27; 2Fal 23:15; Yer 48:13; Amo 3:14; 4:4; 5:5-6; 7:10, 13; Hes 21:32Basi Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko waende Ai, karibu na Beth-Aveni mashariki ya Betheli, akawaambia, “Pandeni mkaipeleleze nchi.” Basi wale watu wakapanda wakaipeleleza Ai.

3Waliporudi kwa Yoshua, wakasema, “Si lazima watu wote waende kupigana na Ai. Watume watu elfu mbili au tatu wakauteke huo mji. Usiwachoshe watu wote, kwa sababu huko kuna watu wachache tu.” 47:4 Law 26:17; Kum 28:25; 32:30; Isa 30:17; 59:2Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai, 57:5 Yos 22:20; Mwa 42:28; Za 22; 14; Isa 13:7; Eze 21:7; Nah 2:10; Law 26:36ambao waliwaua watu kama thelathini na sita miongoni mwao. Wakawafukuza Waisraeli kutoka lango la mji hadi Shebarimu, nao wakawauwa huko kwenye materemko. Kutokana na hili mioyo ya watu ikayeyuka ikawa kama maji.

67:6 Mwa 37:29; 17:3; 1Nya 21:16; Eze 9:8; Amu 20:23; Yos 8:10; 9:11; 20:4; 23:2; 1Sam 4:12; 2Sam 13:19; 15:32; Neh 9:1; Ay 2:12; Eze 27:30; Ufu 18:19Ndipo Yoshua akayararua mavazi yake, akaanguka kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana, na akabakia hapo mpaka jioni. Wazee wa Israeli nao wakafanya vivyo hivyo wakatia mavumbi vichwani mwao. 77:7 1Sam 4:3; Kut 5:22; Hes 14:16; 2Fal 3:10Yoshua akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, kwa nini umewavusha watu hawa ngʼambo ya Yordani ili kututia mikononi mwa Waamori watuangamize? Laiti tungeliridhika kukaa ngʼambo ile nyingine ya Yordani! 8Ee Bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake? 97:9 Kut 32:12; Kum 9:28; 28:58; 1Sam 12:22; Za 48:10; 106:8; Yer 14:21Wakanaani na watu wengine wa nchi watasikia habari hii, nao watatuzunguka na kutufutilia jina letu duniani. Utafanya nini basi kwa ajili ya jina lako mwenyewe lililo kuu?”

10Bwana akamwambia Yoshua, “Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi? 117:11 Kut 9:27; Kum 29:27; Yos 24:16-27; 2Fal 17:7; Hos 10:9; Yos 6:17-19; 23:16; Amu 2:20; 1Sam 15:24; Za 78:10; Mdo 5:1-2Israeli ametenda dhambi. Wamekiuka agano langu nililowaamuru kulishika. Wamechukua baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu, wameiba, wamesema uongo, wameviweka pamoja na mali zao. 127:12 Law 26:37; Za 18:40; 21:12; Law 26:17; Yos 6:18; Za 44:9; 60:10Ndiyo sababu Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya adui zao. Wanawapa visogo na kukimbia kwa kuwa wanastahili maangamizi. Sitakuwa pamoja nanyi tena mpaka mwangamize kila kitu miongoni mwenu kilichotengwa kwa maangamizi.

137:13 Law 11:44; Yos 3:5; Kut 19:10“Nenda, ukawatakase watu. Waambie, ‘Jitakaseni mjiandae kwa kesho; kwa sababu hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Kitu kilichowekwa wakfu kipo katikati yenu, ee Israeli. Hamwezi kusimama dhidi ya adui zenu mpaka mtakapokiondoa.

147:14 1Sam 10:19; Mit 16:33; 1Sam 14:41-42; Yn 1:7; Mdo 1:24-26“ ‘Asubuhi, mjihudhurishe kabila kwa kabila. Itakuwa kabila lile atakalolitwaa Bwana litakuja mbele ukoo kwa ukoo, ukoo ule atakaoutwaa Bwana utakuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakuja mbele mtu kwa mtu. 157:15 Yos 6:18; Kum 7:25; 2Fal 25:9; 1Nya 14:12; Isa 37:19; Yer 43:12; Eze 30:16; 1Sam 14:39; Mwa 34:7Yule atakayekutwa na vitu vilivyowekwa wakfu, atateketezwa kwa moto, pamoja na vitu vyote alivyo navyo. Kwa kuwa amelivunja agano la Bwana na kufanya kitu cha aibu katika Israeli!’ ”

16Kesho yake asubuhi na mapema Yoshua akawaamuru Israeli kuja mbele kabila kwa kabila; na Yuda akatwaliwa. 177:17 Hes 26:20Koo za Yuda zikaja mbele, naye akawatwaa Wazera. Akaamuru ukoo wa Wazera kuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ya Zabdi ikatwaliwa. 187:18 Yos 7:1; Law 24:11; Yn 1:7; Mdo 5:1-10; Yer 2:26; Mit 13:21; Hes 32:23; Mwa 4:7Yoshua akaamuru watu wa jamaa ya Zabdi kuja mbele mtu kwa mtu, naye Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, akatwaliwa.

197:19 Kut 14:17; 1Sam 6:5; Za 96:8; Isa 42:12; Yer 13:16; Yn 9:24; Law 5:5; 1Sam 14:43Ndipo Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Bwana, Mungu wa Israeli, nawe ukiri kwake. Niambie ni nini ulichotenda; usinifiche.”

20Akani akamjibu Yoshua, “Ni kweli! Nimetenda dhambi dhidi ya Bwana, Mungu wa Israeli. Hili ndilo nililofanya: 217:21 Mwa 34:29; 49:27; Kum 7:25; Efe 5:5; 1Tim 6:10; Kut 20:17; 1Fal 21:1; 2Fal 5:20-27; Mit 15:27; Hab 2:9; Lk 12:15; Rum 7:7, 8Nilipoona katika nyara joho zuri la kutoka Babeli, shekeli mia mbili7:21 Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3. za fedha, na kabari ya dhahabu ya uzito wa shekeli hamsini,7:21 Shekeli 50 ni sawa na gramu 600. nikavitamani na nikavichukua. Tazama, vimefichwa ardhini ndani ya hema langu, pamoja na hiyo fedha chini yake.”

22Kwa hiyo Yoshua akatuma wajumbe, nao wakapiga mbio mpaka hemani, tazama, vile vitu vilikuwa vimefichwa hemani mwake, pamoja na ile fedha chini yake. 23Wakavichukua vile vitu toka mle hemani, wakamletea Yoshua pamoja na Waisraeli wote, na wakavitandaza mbele za Bwana.

247:24 Hes 16:27; Yos 7:26; 15:7; Isa 65:10; Hos 2:15Basi Yoshua, pamoja na Israeli yote, wakamchukua Akani mwana wa Zera, pamoja na ile fedha, lile joho, ile kabari ya dhahabu, wanawe na binti zake, ngʼombe, punda na kondoo wake, hema yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta katika Bonde la Akori. 257:25 Yos 6:18; Law 20:2; Kum 17:5; 1Fal 12:18; 2Nya 10:18; 24:21; Neh 9:26; Mwa 38:24; 1Nya 2:7; Gal 5:12Yoshua akasema, “Kwa nini umeleta taabu hii juu yetu? Bwana ataleta taabu juu yako leo hii.”

Ndipo Israeli yote ikampiga Akani kwa mawe, na baada ya kuwapiga jamaa yake yote kwa mawe, wakawateketeza kwa moto. 267:26 2Sam 18:17; Mwa 35:20; Hes 25:4; Kum 13:17; Isa 65:10; Hos 2:15; Yos 8:29; 2Sam 18:17; Mao 3:53; Kum 13:17; 2Sam 21:14Wakakusanya lundo la mawe juu ya Akani, ambalo lipo mpaka leo. Naye Bwana akageuka kutoka hasira yake kali. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Bonde la Akori7:26 Akori yamaanisha taabu. tangu siku hiyo.

Nueva Versión Internacional

Josué 7:1-26

El pecado de Acán

1Sin embargo, los israelitas desobedecieron al Señor conservando lo que él había decidido que fuera destinado a la destrucción, pues Acán, hijo de Carmí, nieto de Zabdí y bisnieto de Zera, guardó para sí parte del botín que Dios había destinado al exterminio. Este hombre de la tribu de Judá provocó la ira del Señor contra los israelitas.

La derrota en Hai

2Josué envió a unos hombres de Jericó hacia Hai, lugar cercano a Bet Avén, frente a Betel, y les dijo: «Vayan a explorar la tierra». Fueron, pues, a explorar la ciudad de Hai.

3Poco después regresaron y dieron el siguiente informe a Josué: «No es necesario que todo el pueblo vaya a la batalla. Dos o tres mil soldados serán suficientes para que tomemos Hai. Esa población tiene muy pocos hombres y no hay necesidad de cansar a todo el pueblo». 4Por esa razón, solo fueron a la batalla tres mil soldados, pero estos salieron huyendo ante los de Hai. 5El ejército israelita sufrió treinta y seis bajas, y fue perseguido desde la puerta de la ciudad hasta las canteras. Allí, en una pendiente, fueron vencidos. Como resultado, todo el pueblo se acobardó y se llenó de miedo.

6Ante esto, Josué rompió sus ropas y se postró rostro en tierra ante el arca del Señor y permaneció allí hasta la tarde. Los jefes de Israel hicieron lo mismo y echaron ceniza sobre su cabeza.7:6 El acto de romper la ropa y arrojarse polvo y ceniza sobre la cabeza era una costumbre que expresaba profundo dolor y consternación. 7Josué reclamó a Dios:

Señor y Dios, ¿por qué hiciste que este pueblo cruzara el Jordán y luego lo entregaste en manos de los amorreos para que lo destruyeran? ¡Mejor nos hubiéramos quedado al otro lado del río! 8Dime, Señor, ¿qué puedo decir ahora que Israel ha huido de sus enemigos? 9Los cananeos se enterarán y llamarán a los pueblos de la región; entonces nos rodearán y nos exterminarán. ¡Qué será de tu gran prestigio para tu nombre!

10Y el Señor le contestó:

—¡Levántate! ¿Qué haces allí postrado? 11Los israelitas han pecado y han violado el pacto que concerté con ellos. Se han apropiado del botín de guerra que debía ser destruido y lo han escondido entre sus posesiones. 12Por eso los israelitas no podrán hacerles frente a sus enemigos, sino que tendrán que huir de sus adversarios. Ellos mismos acarrearon su destrucción. Y, si no destruyen ese botín que está en medio de ustedes, yo no seguiré a su lado.

13»¡Levántate! ¡Consagra al pueblo! Diles que se consagren para presentarse ante mí mañana y que yo, el Señor, Dios de Israel, declaro: “¡Lo que ordené destruir continúa en medio de ti, Israel! No podrás hacer frente a tus enemigos hasta que hayas destruido esas cosas.

14»”Mañana por la mañana se presentarán por tribus. La tribu que yo señale por suertes presentará a sus clanes; el clan que el Señor señale presentará a sus familias; y la familia que el Señor señale presentará a sus varones. 15El que sea sorprendido en posesión del botín de guerra destinado a la destrucción será quemado junto con su familia y sus posesiones, pues ha violado el pacto del Señor y ha causado una gran vergüenza a Israel”».

El castigo de Acán

16Al día siguiente, muy de madrugada, Josué ordenó que se presentaran una por una las tribus de Israel y la suerte cayó sobre Judá. 17Todos los clanes de Judá se acercaron y la suerte cayó sobre el clan de Zera. Del clan de Zera la suerte cayó sobre la familia de Zabdí. 18Josué, entonces, hizo pasar a cada uno de los varones de la familia de Zabdí y la suerte cayó sobre Acán, hijo de Carmí, nieto de Zabdí y bisnieto de Zera. 19Entonces Josué dijo a Acán:

—Hijo mío, honra y alaba al Señor, Dios de Israel. Cuéntame lo que has hecho. ¡No me ocultes nada!

20Acán respondió:

—Es cierto que he pecado contra el Señor, Dios de Israel. Esta es mi falta: 21Vi en el botín un hermoso manto de Sinar,7:21 Sinar. Es decir, Babilonia. doscientos siclos de plata y una barra de oro que pesaba cincuenta siclos.7:21 doscientos … cincuenta siclos. Es decir, aprox. 2.3 kg … 575 g. Los codicié y me apropié de ellos. Entonces los escondí en un hoyo que cavé en medio de mi tienda de campaña. La plata está también allí, debajo de todo.

22Enseguida, Josué envió a unos mensajeros, los cuales fueron corriendo a la tienda de Acán. Allí encontraron todo lo que Acán había escondido, 23lo recogieron y se lo llevaron a Josué y a los israelitas, quienes se lo presentaron al Señor.

24Y Josué y todos los israelitas tomaron a Acán, bisnieto de Zera, y lo llevaron al valle de Acor, junto con la plata, el manto y el oro; también llevaron a sus hijos, sus hijas, el ganado, su tienda de campaña y todas sus posesiones. Cuando llegaron al valle de Acor, 25Josué exclamó:

—¿Por qué has traído esta desgracia sobre nosotros? ¡Que el Señor haga caer sobre ti esa misma desgracia!

Entonces todos los israelitas apedrearon a Acán y a los suyos, y los quemaron. 26Luego colocaron sobre ellos un gran montón de piedras que sigue en pie hasta el día de hoy. Por eso aquel lugar se llama valle de Acor.7:26 En hebreo, Acor significa desgracia. Así aplacó el Señor el ardor de su ira.