Yoshua 4 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 4:1-24

Ukumbusho Wa Kuvuka Mto Yordani

14:1 Kum 27:2; Yos 2:17Wakati taifa lote lilipokwisha kuvuka Mto Yordani, Bwana akamwambia Yoshua, 24:2 Yos 3:17; Hes 13:1; 34:18; Yos 1:4-15; 1Fal 18:31“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja, 3nawe uwaambie wachukue mawe kumi na mawili katikati ya Mto Yordani, palepale makuhani waliposimama, wayachukue na kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa leo.”

44:4 Yos 3:12Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila, 54:5 Yos 3:17naye akawaambia, “Mtangulie mbele ya Sanduku la Bwana Mungu wenu, mwende katikati ya Mto Yordani. Kila mmoja wenu atainua jiwe begani mwake, kufuatana na hesabu ya makabila ya Waisraeli, 64:6 Yos 2:12; Kut 10:2; 12:26; 13:14; Kum 6:20; Za 78:3-6; Isa 38:16kuwa kama ishara katikati yenu. Siku zijazo, wakati watoto wenu watakapowauliza, ‘Ni nini maana ya mawe haya?’ 74:7 Yos 3:13; Kut 28:12; 12:14waambieni kwamba maji ya Mto Yordani yaliyokuwa yakitiririka yalitindika mbele ya Sanduku la Agano la Bwana. Wakati lilipovuka Yordani, maji ya Yordani yalitindika. Mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.”

84:8 Kut 28:21; Yos 3:17Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na hesabu ya kabila za Waisraeli kama Bwana alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini. 94:9 Mwa 28:18; Yos 24:26; 1Sam 7:12; Mwa 35:20Yoshua akayasimamisha yale mawe kumi na mawili ambayo yalikuwa katikati ya Mto Yordani, mahali pale ambapo miguu ya makuhani waliobeba Sanduku la Agano iliposimama. Nayo yako huko mpaka leo.

10Makuhani waliobeba lile Sanduku walibakia wakiwa wamesimama katikati ya Mto Yordani mpaka kila kitu Bwana alichomwamuru Yoshua kilipokuwa kimefanywa na watu, sawasawa na vile Mose alivyokuwa amemwamuru Yoshua. Watu wakafanya haraka kuvuka, 11na mara tu watu wote walipokwisha kuvuka, Sanduku la Bwana na makuhani wakavuka watu wakiwa wanatazama. 124:12 Mwa 29:32; 30:11; 41:51; Hes 32:27-29Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakavuka mbele ya Waisraeli, wakiwa wamevaa silaha, kama Mose alivyowaamuru. 134:13 Kut 13:18; Hes 32:17Kiasi cha watu 40,000 waliojiandaa kwa vita walivuka mbele za Bwana hadi nchi tambarare za Yeriko kwa ajili ya vita.

144:14 Yos 3:7; 1Sam 2:30; 2Nya 32:23; 1Nya 29:12Siku ile Bwana akamtukuza Yoshua mbele ya Israeli yote, nao wakamheshimu siku zote za maisha yake, kama vile walivyomheshimu Mose.

15Basi Bwana akamwambia Yoshua, 164:16 Kut 25:22; Ufu 11:19; Yos 3:15“Waamuru hao makuhani wanaolibeba Sanduku la Ushuhuda, wapande kutoka ndani ya Mto Yordani.”

17Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

184:18 Kut 14:27; Yos 3:15Nao makuhani wakapanda kutoka ndani ya Mto Yordani wakilibeba hilo Sanduku la Agano la Bwana. Mara tu walipoiweka miguu yao penye kingo, nje ya mto, maji ya Yordani yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.

194:19 Kum 11:30; Yos 5:9; 15:17; 1Sam 11:14-15; Amo 4:4; 5:5; Mik 6:5Siku ya kumi ya mwezi wa kwanza watu walipanda kutoka Yordani na kupiga kambi huko Gilgali, kwenye mpaka wa mashariki ya Yeriko. 20Naye Yoshua akayasimamisha huko Gilgali yale mawe kumi na mawili ambayo walikuwa wameyachukua katikati ya Mto Yordani. 21Akawaambia Waisraeli, “Wazao wenu watakapowauliza baba zao siku zijazo wakisema, ‘Mawe haya maana yake ni nini?’ 224:22 Kut 14:22; Yos 3:17Basi waambieni, ‘Israeli ilivukia mahali pakavu katika Mto Yordani.’ 234:23 Kut 14:19-22; Neh 9:11; Za 77:16-19; Isa 43:16; 63:12Kwa maana Bwana Mungu wenu alikausha maji ya Yordani mbele yenu, hadi mlipomaliza kuvuka. Bwana Mungu wenu alifanya haya kwa Mto Yordani sawasawa na kile alichoifanyia Bahari ya Shamu wakati alipoikausha mbele yetu hadi tulipomaliza kuvuka. 244:24 1Fal 8:60; 18:36; 2Fal 5:15; Za 67:2; 83:18; 106:8; Isa 37:20; 52:10; Kut 15:16; 1Nya 29:12; Za 44:3; 89:13; 98:1; 118:15-16; Kut 14:31Alifanya hivi ili kwamba mataifa yote ya dunia yapate kujua kuwa mkono wa Bwana ni wenye nguvu, na ili kwamba kila wakati mpate kumcha Bwana Mungu wenu.”

Swedish Contemporary Bible

Josua 4:1-24

1När allt folket hade kommit över floden, sa Herren till Josua: 2”Välj ut tolv män, en från varje stam, 3och säg till dem att hämta var sin sten från den plats mitt ute i floden där prästerna står. Låt dem sedan bära dem över på andra sidan och lägga dem där ni slår läger i kväll.”

4Josua samlade då de tolv män han hade utsett bland israeliterna, en för varje stam, 5och sa till dem: ”Gå ut i floden framför Herrens, er Guds, ark. Var och en av er ska därifrån hämta en sten och bära den på sin axel, lika många som Israels stammar 6och de ska bli ett tecken bland er. När sedan era barn i framtiden frågar: ’Vad betyder de här stenarna?’ 7ska ni svara: ’Vattnet i Jordan stannade upp, när Herrens förbundsark bars över. När den gick över Jordan, stannade vattnet upp.’ Stenarna ska vara ett minnesmärke för israeliterna för all framtid.”

8Israeliterna gjorde som Josua hade sagt till dem. De tog tolv stenar från flodens mitt – en sten för varje stam, precis som Herren hade sagt till Josua. De bar upp stenarna till lägerplatsen och lade ner dem där.

9Josua reste tolv stenar mitt i Jordan, just på den plats där prästerna som bar förbundsarken hade stått; stenarna finns där än i dag. 10Prästerna som bar arken stod kvar mitt ute i floden, tills hela folket hade gjort allt det som Herren hade befallt Josua, allt enligt den order Josua fått från Mose. Folket skyndade sig över floden 11och så fort alla hunnit över, bar prästerna upp Herrens ark från floden och ställde sig framför folket.

12Rubens, Gads och halva Manasses stam gick före folket rustade till strid så som Mose hade befallt dem. 13Det var cirka 40 000 krigsutrustade män som tågade fram inför Herren över slätterna mot Jeriko.

14Den dagen upphöjde Herren Josua inför hela Israels folk. Nu respekterade de honom lika högt som Mose och det fortsatte de med under hela hans liv.

15Herren sa till Josua 16att säga till prästerna som bar arken med förbundstecknet: ”Kom upp ur Jordan!”

17Josua gav ordern att prästerna skulle stiga upp ur Jordan 18och så snart de som bar Herrens förbundsark kommit upp på stranden, började vattnet forsa fram igen och det steg tills det nådde sin tidigare höga nivå. 19Det var den tionde dagen i första månaden som folket steg upp ur floden Jordan och slog läger i Gilgal öster om Jeriko 20och där reste Josua upp de tolv stenar man tagit från Jordan till ett monument.

21Josua sa till israeliterna: ”I framtiden när era barn frågar sina fäder vad dessa stenar betyder, 22då ska ni berätta för dem att israeliterna gick över floden Jordan på torr mark. 23Herren, er Gud, lät floden torka upp tills ni hade kommit över på samma sätt som han gjorde vid Sävhavet som han torrlade tills vi gått över. 24Detta gjorde han för att alla folk på jorden ska förstå att Herren är mäktig och för att de alltid ska frukta Herren, er Gud.”