Yoshua 21 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 21:1-45

Miji Kwa Walawi

121:1 Yos 14:1; Hes 34:17; Yos 17:4; 24:33Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli 221:2 Yos 18:1; Hes 35:2-3; Law 25:2; Yos 14:4huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.” 3Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

4Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

621:6 Hes 3:17; Mwa 30:18; Yos 17:7Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

721:7 Kut 6:16; Yos 19:10Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

821:8 Mwa 49:7; Hes 35:2-3; Yos 18:6; Mit 16:33Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

9Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

1121:11 Yos 15:48-50Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.) 1221:12 Yos 15:13Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

1321:13 Hes 35:6; 33:20; 1Nya 6:57Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna, 1421:14 Yos 15:48-50; Kum 4:43; 1Fal 22:3Yatiri, Eshtemoa, 15Holoni, Debiri, 1621:16 Hes 34:11; Yos 15:55; 15:10Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

1721:17 Yos 9:3; Neh 11:31; 1Nya 6:55; Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sam 2:1-3; Lk 1:39Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba, 1821:18 2Sam 23:27; 1Fal 2:26; Ezr 2:23; Neh 7:27; 11:32; Isa 10:30; Yer 1:1; 11:21; 32:7; Yos 14:14Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

1921:19 2Nya 31:15; Yos 20:7-9; 15:54; Isa 37:8Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

20Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

2121:21 Yos 17:7; 10:33; 20:7; Mwa 33:19; Amu 9:1; 1Fal 12:1Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri, 2221:22 Yos 10:10; 1Sam 1:1Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

2321:23 Yos 19:44Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni, 2421:24 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

2521:25 Yos 12:21Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

2721:27 Yos 12:5; Hes 35:6; Kum 4:43; 1Nya 6:71-76Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

kutoka nusu ya kabila la Manase,

Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

2821:28 Mwa 30:18; Yos 19:20; 19:12kutoka kabila la Isakari walipewa,

Kishioni, Daberathi, 2921:29 Yos 10:3; 15:34Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

3021:30 Yos 17:7; 19:26-28kutoka kabila la Asheri walipewa,

Mishali, Abdoni, 3121:31 Yos 19:28Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

3221:32 Yos 12:22; Hes 35:6; Yos 12:22Kutoka kabila la Naftali walipewa,

Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

33Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

3421:34 Yos 19:10; 12:22Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

kutoka kabila la Zabuloni,

Yokneamu, Karta, 3521:35 Yos 19:15Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3621:36 Yos 20:8; Hes 21:23; Kum 2:32; Amu 11:20kutoka kabila la Reubeni walipewa

Bezeri, Yahasa, 3721:37 Yos 13:18Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3821:38 Kum 4:43; Yos 12:2; Mwa 32:2kutoka kabila la Gadi walipewa,

Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu, 3921:39 Yos 13:25Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

4121:41 Hes 35:7; Mwa 49:7; Kum 33:10Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

4321:43 Kum 34:4; 11:31; 17:14Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo. 4421:44 Kut 33:14; Kum 6:19; Kut 23:31; Kum 21:10; 7:24Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 4521:45 Yos 23:14; Neh 9:8; Isa 49:7-8; Mt 24:35; Lk 21:33Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

Nova Versão Internacional

Josué 21:1-45

As Cidades dos Levitas

1Os chefes de família dos levitas se aproximaram do sacerdote Eleazar, de Josué, filho de Num, e dos chefes das outras famílias das tribos dos israelitas 2em Siló, na terra de Canaã, e lhes disseram: “O Senhor ordenou por meio de Moisés que vocês nos dessem cidades onde pudéssemos habitar e pastagens para os nossos animais”.

3Por isso, de acordo com a ordem do Senhor, os israelitas deram da sua própria herança as seguintes cidades com suas pastagens aos levitas:

4A sorte saiu primeiro para os coatitas, clã por clã. Os levitas, que eram descendentes do sacerdote Arão, receberam treze cidades das tribos de Judá, de Simeão e de Benjamim.

5Os outros descendentes de Coate receberam dez cidades dos clãs das tribos de Efraim e de Dã, e da metade da tribo de Manassés.

6Os descendentes de Gérson receberam treze cidades dos clãs das tribos de Issacar, de Aser e de Naftali, e da metade da tribo de Manassés estabelecida em Basã.

7Os descendentes de Merari, clã por clã, receberam doze cidades das tribos de Rúben, de Gade e de Zebulom.

8Dessa maneira os israelitas deram aos levitas essas cidades com suas pastagens, como o Senhor tinha ordenado por meio de Moisés.

9Das tribos de Judá e de Simeão, os israelitas deram as seguintes cidades, indicadas nominalmente. 10Foram dadas aos descendentes de Arão que pertenciam aos clãs coatitas dos levitas, pois para eles saiu a primeira sorte:

11Quiriate-Arba, que é Hebrom, com as suas pastagens ao redor, nos montes de Judá. (Arba era antepassado de Enaque.) 12Mas os campos e os povoados em torno da cidade foram dados a Calebe, filho de Jefoné, como sua propriedade. 13Assim, aos descendentes do sacerdote Arão deram Hebrom, cidade de refúgio para os acusados de homicídio, Libna, 14Jatir, Estemoa, 15Holom, Debir, 16Aim, Jutá e Bete-Semes, cada qual com os seus arredores. Foram nove cidades dadas por essas duas tribos.

17Da tribo de Benjamim deram-lhes

Gibeom, Geba, 18Anatote e Almom, cada qual com os seus arredores. Eram quatro cidades.

19Todas as cidades dadas aos sacerdotes, descendentes de Arão, foram treze; cada qual com os seus arredores.

20Os outros clãs coatitas dos levitas receberam cidades da tribo de Efraim.

21Nos montes de Efraim receberam

Siquém, cidade de refúgio para os acusados de homicídio, Gezer, 22Quibzaim e Bete-Horom, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades.

23Também da tribo de Dã receberam

Elteque, Gibetom, 24Aijalom e Gate-Rimom, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades.

25Da meia tribo de Manassés receberam

Taanaque e Gate-Rimom, cada qual com os seus arredores. Foram duas cidades.

26Todas essas dez cidades e seus arredores foram dadas aos outros clãs coatitas.

27Os clãs levitas gersonitas receberam da metade da tribo de Manassés:

Golã, em Basã, cidade de refúgio para os acusados de homicídio, e Beesterá, cada qual com os seus arredores. Foram duas cidades.

28Receberam da tribo de Issacar:

Quisiom, Daberate, 29Jarmute e En-Ganim, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades.

30Receberam da tribo de Aser:

Misal, Abdom, 31Helcate e Reobe, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades.

32Receberam da tribo de Naftali:

Quedes, na Galileia, cidade de refúgio dos acusados de homicídio, Hamote-Dor e Cartã, cada qual com os seus arredores. Foram três cidades.

33Todas as cidades dos clãs gersonitas foram treze.

34Os clãs meraritas, o restante dos levitas, receberam as seguintes cidades:

Da tribo de Zebulom:

Jocneão, Cartá, 35Dimna e Naalal, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades.

36Da tribo de Rúben:

Bezer, Jaza, 37Quedemote e Mefaate, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades.

38Da tribo de Gade:

em Gileade, Ramote, cidade de refúgio dos acusados de homicídio, Maanaim, 39Hesbom e Jazar, cada qual com os seus arredores. Foram quatro cidades ao todo.

40Todas as cidades dadas aos clãs meraritas, que eram o restante dos levitas, foram doze.

41No total, as cidades dos levitas nos territórios dos outros israelitas foram quarenta e oito cidades com os seus arredores. 42Cada uma de todas essas cidades tinha pastagens ao seu redor.

43Assim o Senhor deu aos israelitas toda a terra que tinha prometido sob juramento aos seus antepassados, e eles tomaram posse dela e se estabeleceram ali. 44O Senhor lhes concedeu descanso de todos os lados, como tinha jurado aos seus antepassados. Nenhum dos seus inimigos pôde resistir-lhes, pois o Senhor entregou todos eles em suas mãos. 45De todas as boas promessas do Senhor à nação de Israel, nenhuma delas falhou; todas se cumpriram.