Yoshua 21 – NEN & NIVUK

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 21:1-45

Miji Kwa Walawi

121:1 Yos 14:1; Hes 34:17; Yos 17:4; 24:33Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli 221:2 Yos 18:1; Hes 35:2-3; Law 25:2; Yos 14:4huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.” 3Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

4Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

621:6 Hes 3:17; Mwa 30:18; Yos 17:7Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

721:7 Kut 6:16; Yos 19:10Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

821:8 Mwa 49:7; Hes 35:2-3; Yos 18:6; Mit 16:33Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

9Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

1121:11 Yos 15:48-50Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.) 1221:12 Yos 15:13Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

1321:13 Hes 35:6; 33:20; 1Nya 6:57Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna, 1421:14 Yos 15:48-50; Kum 4:43; 1Fal 22:3Yatiri, Eshtemoa, 15Holoni, Debiri, 1621:16 Hes 34:11; Yos 15:55; 15:10Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

1721:17 Yos 9:3; Neh 11:31; 1Nya 6:55; Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sam 2:1-3; Lk 1:39Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba, 1821:18 2Sam 23:27; 1Fal 2:26; Ezr 2:23; Neh 7:27; 11:32; Isa 10:30; Yer 1:1; 11:21; 32:7; Yos 14:14Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

1921:19 2Nya 31:15; Yos 20:7-9; 15:54; Isa 37:8Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

20Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

2121:21 Yos 17:7; 10:33; 20:7; Mwa 33:19; Amu 9:1; 1Fal 12:1Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri, 2221:22 Yos 10:10; 1Sam 1:1Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

2321:23 Yos 19:44Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni, 2421:24 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

2521:25 Yos 12:21Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

2721:27 Yos 12:5; Hes 35:6; Kum 4:43; 1Nya 6:71-76Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

kutoka nusu ya kabila la Manase,

Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

2821:28 Mwa 30:18; Yos 19:20; 19:12kutoka kabila la Isakari walipewa,

Kishioni, Daberathi, 2921:29 Yos 10:3; 15:34Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

3021:30 Yos 17:7; 19:26-28kutoka kabila la Asheri walipewa,

Mishali, Abdoni, 3121:31 Yos 19:28Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

3221:32 Yos 12:22; Hes 35:6; Yos 12:22Kutoka kabila la Naftali walipewa,

Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

33Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

3421:34 Yos 19:10; 12:22Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

kutoka kabila la Zabuloni,

Yokneamu, Karta, 3521:35 Yos 19:15Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3621:36 Yos 20:8; Hes 21:23; Kum 2:32; Amu 11:20kutoka kabila la Reubeni walipewa

Bezeri, Yahasa, 3721:37 Yos 13:18Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3821:38 Kum 4:43; Yos 12:2; Mwa 32:2kutoka kabila la Gadi walipewa,

Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu, 3921:39 Yos 13:25Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

4121:41 Hes 35:7; Mwa 49:7; Kum 33:10Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

4321:43 Kum 34:4; 11:31; 17:14Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo. 4421:44 Kut 33:14; Kum 6:19; Kut 23:31; Kum 21:10; 7:24Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 4521:45 Yos 23:14; Neh 9:8; Isa 49:7-8; Mt 24:35; Lk 21:33Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

New International Version – UK

Joshua 21:1-45

Towns for the Levites

1Now the family heads of the Levites approached Eleazar the priest, Joshua son of Nun, and the heads of the other tribal families of Israel 2at Shiloh in Canaan and said to them, ‘The Lord commanded through Moses that you give us towns to live in, with pasture-lands for our livestock.’

3So, as the Lord had commanded, the Israelites gave the Levites the following towns and pasture-lands out of their own inheritance:

4The first lot came out for the Kohathites, according to their clans. The Levites who were descendants of Aaron the priest were allotted thirteen towns from the tribes of Judah, Simeon and Benjamin.

5The rest of Kohath’s descendants were allotted ten towns from the clans of the tribes of Ephraim, Dan and half of Manasseh.

6The descendants of Gershon were allotted thirteen towns from the clans of the tribes of Issachar, Asher, Naphtali and the half-tribe of Manasseh in Bashan.

7The descendants of Merari, according to their clans, received twelve towns from the tribes of Reuben, Gad and Zebulun.

8So the Israelites allotted to the Levites these towns and their pasture-lands, as the Lord had commanded through Moses.

9They allotted towns by name from the tribes of Judah and Simeon. 10The following towns were assigned to the descendants of Aaron who were from the Kohathite clans of the Levites, because the first lot fell to them:

11They gave them Kiriath Arba (that is, Hebron), with its surrounding pasture-land, in the hill country of Judah. (Arba was the forefather of Anak.) 12But the fields and villages around the city they had given to Caleb son of Jephunneh as his possession. 13So to the descendants of Aaron the priest they gave Hebron (a city of refuge for one accused of murder), Libnah, 14Jattir, Eshtemoa, 15Holon, Debir, 16Ain, Juttah and Beth Shemesh, together with their pasture-lands – nine towns from these two tribes.

17And from the tribe of Benjamin they gave them:

Gibeon, Geba, 18Anathoth and Almon, together with their pasture-lands – four towns.

19The total number of towns for the priests, the descendants of Aaron, came to thirteen, together with their pasture-lands.

20The rest of the Kohathite clans of the Levites were allotted towns from the tribe of Ephraim:

21In the hill country of Ephraim they were given:

Shechem (a city of refuge for one accused of murder) and Gezer, 22Kibzaim and Beth Horon, together with their pasture-lands – four towns.

23Also from the tribe of Dan they received:

Eltekeh, Gibbethon, 24Aijalon and Gath Rimmon, together with their pasture-lands – four towns.

25From half the tribe of Manasseh they received:

Taanach and Gath Rimmon, together with their pasture-lands – two towns.

26All these ten towns and their pasture-lands were given to the rest of the Kohathite clans.

27The Levite clans of the Gershonites were given:

from the half-tribe of Manasseh:

Golan in Bashan (a city of refuge for one accused of murder) and Be Eshterah, together with their pasture-lands – two towns;

28from the tribe of Issachar:

Kishion, Daberath, 29Jarmuth and En Gannim, together with their pasture-lands – four towns;

30from the tribe of Asher:

Mishal, Abdon, 31Helkath and Rehob, together with their pasture-lands – four towns;

32from the tribe of Naphtali:

Kedesh in Galilee (a city of refuge for one accused of murder), Hammoth Dor and Kartan, together with their pasture-lands – three towns.

33The total number of towns of the Gershonite clans came to thirteen, together with their pasture-lands.

34The Merarite clans (the rest of the Levites) were given:

from the tribe of Zebulun:

Jokneam, Kartah, 35Dimnah and Nahalal, together with their pasture-lands – four towns;

36from the tribe of Reuben:

Bezer, Jahaz, 37Kedemoth and Mephaath, together with their pasture-lands – four towns;

38from the tribe of Gad:

Ramoth in Gilead (a city of refuge for one accused of murder), Mahanaim, 39Heshbon and Jazer, together with their pasture-lands – four towns in all.

40The total number of towns allotted to the Merarite clans, who were the rest of the Levites, came to twelve.

41The towns of the Levites in the territory held by the Israelites were forty-eight in all, together with their pasture-lands. 42Each of these towns had pasture-lands surrounding it; this was true for all these towns.

43So the Lord gave Israel all the land he had sworn to give their ancestors, and they took possession of it and settled there. 44The Lord gave them rest on every side, just as he had sworn to their ancestors. Not one of their enemies withstood them; the Lord gave all their enemies into their hands. 45Not one of all the Lord’s good promises to Israel failed; every one was fulfilled.