Yoshua 21 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 21:1-45

Miji Kwa Walawi

121:1 Yos 14:1; Hes 34:17; Yos 17:4; 24:33Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli 221:2 Yos 18:1; Hes 35:2-3; Law 25:2; Yos 14:4huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.” 3Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

4Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

621:6 Hes 3:17; Mwa 30:18; Yos 17:7Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

721:7 Kut 6:16; Yos 19:10Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

821:8 Mwa 49:7; Hes 35:2-3; Yos 18:6; Mit 16:33Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

9Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

1121:11 Yos 15:48-50Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.) 1221:12 Yos 15:13Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

1321:13 Hes 35:6; 33:20; 1Nya 6:57Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna, 1421:14 Yos 15:48-50; Kum 4:43; 1Fal 22:3Yatiri, Eshtemoa, 15Holoni, Debiri, 1621:16 Hes 34:11; Yos 15:55; 15:10Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

1721:17 Yos 9:3; Neh 11:31; 1Nya 6:55; Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sam 2:1-3; Lk 1:39Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba, 1821:18 2Sam 23:27; 1Fal 2:26; Ezr 2:23; Neh 7:27; 11:32; Isa 10:30; Yer 1:1; 11:21; 32:7; Yos 14:14Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

1921:19 2Nya 31:15; Yos 20:7-9; 15:54; Isa 37:8Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

20Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

2121:21 Yos 17:7; 10:33; 20:7; Mwa 33:19; Amu 9:1; 1Fal 12:1Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri, 2221:22 Yos 10:10; 1Sam 1:1Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

2321:23 Yos 19:44Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni, 2421:24 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

2521:25 Yos 12:21Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

2721:27 Yos 12:5; Hes 35:6; Kum 4:43; 1Nya 6:71-76Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

kutoka nusu ya kabila la Manase,

Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

2821:28 Mwa 30:18; Yos 19:20; 19:12kutoka kabila la Isakari walipewa,

Kishioni, Daberathi, 2921:29 Yos 10:3; 15:34Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

3021:30 Yos 17:7; 19:26-28kutoka kabila la Asheri walipewa,

Mishali, Abdoni, 3121:31 Yos 19:28Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

3221:32 Yos 12:22; Hes 35:6; Yos 12:22Kutoka kabila la Naftali walipewa,

Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

33Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

3421:34 Yos 19:10; 12:22Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

kutoka kabila la Zabuloni,

Yokneamu, Karta, 3521:35 Yos 19:15Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3621:36 Yos 20:8; Hes 21:23; Kum 2:32; Amu 11:20kutoka kabila la Reubeni walipewa

Bezeri, Yahasa, 3721:37 Yos 13:18Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3821:38 Kum 4:43; Yos 12:2; Mwa 32:2kutoka kabila la Gadi walipewa,

Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu, 3921:39 Yos 13:25Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

4121:41 Hes 35:7; Mwa 49:7; Kum 33:10Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

4321:43 Kum 34:4; 11:31; 17:14Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo. 4421:44 Kut 33:14; Kum 6:19; Kut 23:31; Kum 21:10; 7:24Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 4521:45 Yos 23:14; Neh 9:8; Isa 49:7-8; Mt 24:35; Lk 21:33Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

New International Reader’s Version

Joshua 21:1-45

Towns Are Given to the Levites

1The leaders of the Levite family groups approached Eleazar the priest and Joshua, the son of Nun. They also approached the leaders of the family groups of Israel’s other tribes. 2They went to all of them at Shiloh in Canaan. They said to them, “Give us towns to live in. Also give us grasslands for our livestock. That’s what the Lord commanded through Moses.”

3So the Israelites gave the Levites towns and grasslands out of their own shares of land. They did what the Lord had commanded. Here are the towns the Levites were given.

4The first lot drawn out was for the people of Kohath, according to their family groups. Some of the Levites came from the family line of Aaron the priest. They were given 13 towns from the tribes of Judah, Simeon and Benjamin.

5The rest of Kohath’s family groups were given ten towns. Those towns were from the family groups of the tribes of Ephraim and Dan and half of the tribe of Manasseh.

6The family groups of Gershon were given 13 towns. Those towns were from the family groups of the tribes of Issachar, Asher and Naphtali and half of the tribe of Manasseh. That part of Manasseh was in the land of Bashan.

7The family groups of Merari received 12 towns from the tribes of Reuben, Gad and Zebulun. Each family group received its share.

8So the Israelites gave those towns and their grasslands to the Levites. They did what the Lord had commanded through Moses.

9Some towns were given from the territories of the tribes of Judah and Simeon. 10The Israelites gave them to the members of the family line of Aaron. The towns were given to the family groups of Kohath. They were Levites. The first lot drawn out was for them. Here are the towns the family groups of Kohath were given.

11The Israelites gave them Kiriath Arba and the grasslands around it. Kiriath Arba is also called Hebron. It’s in the hill country of Judah. Anak came from the family line of Arba. 12But Israel had already given away the fields and villages around the city. They had given them to Caleb as his share. Caleb was the son of Jephunneh. 13So they gave Hebron to the members of the family line of Aaron the priest. Hebron was a city where anyone charged with murder could go for safety. They also gave them Libnah, 14Jattir, Eshtemoa, 15Holon, Debir, 16Ain, Juttah and Beth Shemesh. They gave those towns and their grasslands to the family groups of Kohath. The total number of towns from the tribes of Judah and Simeon came to nine.

17The Israelites gave some towns from the tribe of Benjamin to the family groups of Kohath.

The towns were Gibeon, Geba, 18Anathoth and Almon. The total number of these towns and their grasslands came to four.

19So the total number of towns and their grasslands given to the priests in Aaron’s family line came to 13.

20There were other family groups of Kohath among the Levites. They were given towns from the tribe of Ephraim. Here are the towns those other family groups of Kohath were given.

21In the hill country of Ephraim they were given

Shechem. It was a city where anyone charged with murder could go for safety. They were also given Gezer, 22Kibzaim and Beth Horon. The total number of these towns and their grasslands came to four.

23From the tribe of Dan they received

Eltekeh, Gibbethon, 24Aijalon and Gath Rimmon. The total number of these towns and their grasslands came to four.

25From half of the tribe of Manasseh they received

Taanach and Gath Rimmon. The total number of these towns and their grasslands came to two.

26So all these ten towns and their grasslands were given to the other family groups of Kohath.

27Here are the towns given to the family groups of Gershon among the Levites.

From half of the tribe of Manasseh they received

Golan in the land of Bashan. Golan was a city where anyone charged with murder could go for safety. They also received Be Eshterah. The total number of these towns and their grasslands came to two.

28From the tribe of Issachar they received

Kishion, Daberath, 29Jarmuth and En Gannim. The total number of these towns and their grasslands came to four.

30From the tribe of Asher they received

Mishal, Abdon, 31Helkath and Rehob. The total number of these towns and their grasslands came to four.

32From the tribe of Naphtali they received

Kedesh in Galilee. Kedesh was a city where anyone charged with murder could go for safety. They also received Hammoth Dor and Kartan. The total number of these towns and their grasslands came to three.

33So the total number of towns and their grasslands given to the family groups of Gershon came to 13.

34The rest of the Levites were from the family groups of Merari. Here are the towns they were given.

From the tribe of Zebulun they received

Jokneam, Kartah, 35Dimnah and Nahalal. The total number of these towns and their grasslands came to four.

36From the tribe of Reuben they received

Bezer, Jahaz, 37Kedemoth and Mephaath. The total number of these towns and their grasslands came to four.

38From the tribe of Gad they received

Ramoth in Gilead. Ramoth was a city where anyone charged with murder could go for safety. They also received Mahanaim, 39Heshbon and Jazer. The total number of these towns and their grasslands came to four.

40So the total number of towns given to the family groups of Merari came to 12. That concludes the list of towns the rest of the Levites received.

41The total number of Levite towns and their grasslands in the territory given to Israel came to 48. 42Each of those towns had grasslands around it. That was true of all of them.

43So the Lord gave Israel all the land he had promised to give to Abraham, Isaac and Jacob. And Israel took it over. Then they made their homes there. 44The Lord gave them peace and rest on every side. He had promised their people of long ago that he would do that. Not one of Israel’s enemies was able to fight against them and win. The Lord handed all their enemies over to them. 45The Lord kept all the good promises he had made to the Israelites. Every one of them came true.