Yoshua 21 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 21:1-45

Miji Kwa Walawi

121:1 Yos 14:1; Hes 34:17; Yos 17:4; 24:33Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli 221:2 Yos 18:1; Hes 35:2-3; Law 25:2; Yos 14:4huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.” 3Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

4Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

621:6 Hes 3:17; Mwa 30:18; Yos 17:7Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

721:7 Kut 6:16; Yos 19:10Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

821:8 Mwa 49:7; Hes 35:2-3; Yos 18:6; Mit 16:33Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

9Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

1121:11 Yos 15:48-50Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.) 1221:12 Yos 15:13Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

1321:13 Hes 35:6; 33:20; 1Nya 6:57Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna, 1421:14 Yos 15:48-50; Kum 4:43; 1Fal 22:3Yatiri, Eshtemoa, 15Holoni, Debiri, 1621:16 Hes 34:11; Yos 15:55; 15:10Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

1721:17 Yos 9:3; Neh 11:31; 1Nya 6:55; Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sam 2:1-3; Lk 1:39Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba, 1821:18 2Sam 23:27; 1Fal 2:26; Ezr 2:23; Neh 7:27; 11:32; Isa 10:30; Yer 1:1; 11:21; 32:7; Yos 14:14Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

1921:19 2Nya 31:15; Yos 20:7-9; 15:54; Isa 37:8Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

20Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

2121:21 Yos 17:7; 10:33; 20:7; Mwa 33:19; Amu 9:1; 1Fal 12:1Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri, 2221:22 Yos 10:10; 1Sam 1:1Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

2321:23 Yos 19:44Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni, 2421:24 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

2521:25 Yos 12:21Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

2721:27 Yos 12:5; Hes 35:6; Kum 4:43; 1Nya 6:71-76Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

kutoka nusu ya kabila la Manase,

Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

2821:28 Mwa 30:18; Yos 19:20; 19:12kutoka kabila la Isakari walipewa,

Kishioni, Daberathi, 2921:29 Yos 10:3; 15:34Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

3021:30 Yos 17:7; 19:26-28kutoka kabila la Asheri walipewa,

Mishali, Abdoni, 3121:31 Yos 19:28Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

3221:32 Yos 12:22; Hes 35:6; Yos 12:22Kutoka kabila la Naftali walipewa,

Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

33Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

3421:34 Yos 19:10; 12:22Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

kutoka kabila la Zabuloni,

Yokneamu, Karta, 3521:35 Yos 19:15Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3621:36 Yos 20:8; Hes 21:23; Kum 2:32; Amu 11:20kutoka kabila la Reubeni walipewa

Bezeri, Yahasa, 3721:37 Yos 13:18Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3821:38 Kum 4:43; Yos 12:2; Mwa 32:2kutoka kabila la Gadi walipewa,

Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu, 3921:39 Yos 13:25Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

4121:41 Hes 35:7; Mwa 49:7; Kum 33:10Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

4321:43 Kum 34:4; 11:31; 17:14Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo. 4421:44 Kut 33:14; Kum 6:19; Kut 23:31; Kum 21:10; 7:24Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 4521:45 Yos 23:14; Neh 9:8; Isa 49:7-8; Mt 24:35; Lk 21:33Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

La Bible du Semeur

Josué 21:1-45

Le tirage au sort de l’ordre d’attribution de villes aux lévites

1Les chefs de groupe familial des lévites vinrent trouver le prêtre Eléazar, Josué, fils de Noun, et les chefs de groupe familial des autres tribus d’Israël 2à Silo, dans le pays de Canaan. Ils leur dirent : L’Eternel a ordonné par l’intermédiaire de Moïse de nous donner des villes pour que nous y habitions, avec leurs terres attenantes pour que nous y fassions paître notre bétail.

3Les Israélites prélevèrent donc sur leur patrimoine un certain nombre de villes avec leurs terres attenantes pour les donner aux lévites, conformément à l’ordre de l’Eternel21.3 Voir Nb 35.1-8..

4Le tirage au sort désigna en premier lieu les familles des Qehatites21.4 Voir Ex 6.16-25 ; Nb 3.17-19, 27-32.. Parmi eux, les lévites qui descendaient du prêtre Aaron reçurent par tirage au sort treize villes situées dans les territoires de Juda, de Siméon et de Benjamin. 5Les autres Qehatites obtinrent par tirage au sort dix villes dans les territoires des familles de la tribu d’Ephraïm, de la tribu de Dan et de la demi-tribu de Manassé. 6Les Guershonites obtinrent par tirage au sort treize villes dans les territoires des familles des tribus d’Issacar, d’Aser, de Nephtali et de la demi-tribu de Manassé établie dans le Basan. 7Les Merarites reçurent pour leurs familles douze villes situées dans les territoires des tribus de Ruben, de Gad et de Zabulon. 8Les Israélites attribuèrent ces villes et leurs terres attenantes par le sort aux lévites, comme l’Eternel l’avait ordonné par l’intermédiaire de Moïse.

Les villes des descendants d’Aaron

9Ils attribuèrent les villes suivantes désignées par leur nom et situées dans le territoire des tribus de Juda et de Siméon 10aux descendants d’Aaron appartenant aux familles des Qehatites, descendants de Lévi, auxquels fut attribué par le sort le premier lot : 11Qiryath-Arba, c’est-à-dire la ville d’Arba, l’ancêtre d’Anaq, appelée Hébron. Cette ville est située dans la région montagneuse de Juda et fut donnée avec ses terres attenantes, 12mais les champs et les villages qui dépendaient de la ville furent donnés à Caleb, fils de Yephounné. 13On donna aux descendants du prêtre Aaron les villes suivantes, avec leurs terres attenantes : Hébron, la ville de refuge pour les meurtriers, Libna, 14Yattir, Eshtemoa, 15Holôn, Debir, 16Aïn21.16 Au lieu d’Aïn, l’ancienne version grecque a : Achan., Youtta et Beth-Shémesh ; soit neuf villes avec leurs terres attenantes situées dans le territoire des tribus de Juda et de Siméon. 17Dans le territoire de la tribu de Benjamin, ils reçurent avec leurs terres attenantes : Gabaon, Guéba, 18Anatoth, Almôn, soit quatre villes. 19Au total treize villes et leurs terres attenantes pour les descendants du prêtre Aaron.

Les villes des Qehatites

20Les autres lévites, appartenant aux familles des Qehatites21.20 Qui n’étaient pas prêtres puisqu’ils ne descendaient pas d’Aaron., obtinrent par tirage au sort des villes dans le territoire de la tribu d’Ephraïm 21avec leurs terres attenantes : Sichem, la ville de refuge, dans la région montagneuse d’Ephraïm, Guézer, 22Qibtsaïm, Beth-Horôn, soit quatre villes. 23Dans le territoire de la tribu de Dan, ils eurent, avec leurs terres attenantes : Elteqé, Guibbetôn, 24Ayalôn, Gath-Rimmôn, soit quatre villes. 25Dans le territoire de la demi-tribu de Manassé, ils reçurent, avec leurs terres attenantes : Taanak, Gath-Rimmôn21.25 Au lieu de Gath-Rimmôn, déjà mentionnée au v. 24, l’ancienne version grecque a : Ibléam., soit deux villes. 26Les autres familles des descendants de Qehath reçurent donc en tout dix villes avec leurs terres attenantes.

Les villes des descendants de Guershôn

27Les familles de lévites issus de Guershôn reçurent, dans le territoire de la demi-tribu de Manassé, les villes suivantes avec leurs terres attenantes : Golân, la ville de refuge, dans le Basan, et Beéshtra, soit deux villes. 28Dans le territoire de la tribu d’Issacar, ils reçurent, avec leurs terres attenantes : Qishyôn, Dobrath, 29Yarmouth, Eyn-Gannim, soit quatre villes. 30Dans le territoire de la tribu d’Aser, avec les terres attenantes : Misheal, Abdôn, 31Helqath, Rehob, soit quatre villes. 32Et dans le territoire de la tribu de Nephtali : Qédesh en Galilée, la ville de refuge, Hammoth-Dor et les terres attenantes, Qartân et les terres attenantes, soit trois villes. 33Les familles guershonites reçurent donc en tout treize villes avec leurs terres attenantes.

Les villes des descendants de Merari

34Les familles des descendants de Merari reçurent, dans le territoire de la tribu de Zabulon, les villes suivantes avec leurs terres attenantes : Yoqneam, Qarta, 35Dimna, Nahalal, soit quatre villes. 36En Transjordanie, dans le territoire de la tribu de Ruben, ils reçurent avec leurs terres attenantes : Bétser, la ville de refuge, Yahats21.36 Les v. 36 et 37 manquent dans les manuscrits hébreux les plus anciens mais ils se trouvent dans l’ancienne version grecque et la Vulgate, et ils ont leur parallèle en 1 Ch 6.62-66., 37Qedémoth, Méphaath, soit quatre villes. 38Et dans le territoire de la tribu de Gad, avec leurs terres attenantes : Ramoth en Galaad, la ville de refuge, Mahanaïm, 39Heshbôn, Yaezer, soit quatre villes. 40Les descendants de Merari reçurent donc en tout par tirage au sort pour leurs familles, appartenant aux familles des lévites, douze villes.

41Au total les lévites reçurent quarante-huit villes avec les terres attenantes dans les territoires des autres Israélites. 42Chacune de ces villes comprenait des terres attenantes servant de pâturages.

Dieu tient ses promesses

43L’Eternel donna aux Israélites tout le pays qu’il avait promis par serment à leurs ancêtres. Ils en prirent possession et s’y établirent. 44L’Eternel leur accorda de vivre sans être inquiétés par aucun ennemi autour d’eux, comme il l’avait promis par serment à leurs ancêtres ; il leur donna la victoire sur tous leurs ennemis, aucun d’eux ne put leur résister. 45Ainsi toutes les promesses de bienfaits que l’Eternel avait données au peuple d’Israël s’accomplirent : aucune d’elles ne resta sans effet.