Yoshua 19 – NEN & NIVUK

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 19:1-51

Mgawo Kwa Simeoni

119:1 Mwa 49:7Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda. 219:2 Mwa 21:14; 1Fal 19:3; Yos 15:26; 1Nya 4:28; Neh 11:26Ulijumuisha:

Beer-Sheba (au Sheba), Molada, 319:3 Yos 15:28-29Hasar-Shuali, Bala, Esemu, 4Eltoladi, Bethuli, Horma, 5Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa, 6Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.

7Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake, 8pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu).

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo. 919:9 Mwa 47:9; Eze 48:24Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.

Mgawo Kwa Zabuloni

1019:10 Yos 21:7, 34Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo:

Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi. 1119:11 Yos 12:22Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu. 1219:12 Yos 22; 21:28; 1Nya 6:72Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia. 13Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea. 1419:14 Mwa 49:13; Hes 34:6-7; Kut 23:31; 1Fal 4:12Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli. 1519:15 Yos 21:35; 11:1; Mwa 35:19; Amu 1:30Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

1619:16 Eze 48:26; Yos 21:7; Mdo 17:26Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Isakari

1719:17 Mwa 30:18Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo. 1819:18 Yos 15:56; Isa 28:4; 1Fal 1:3; 2Fal 4:8Eneo lao lilijumuisha:

Yezreeli, Kesulothi, Shunemu, 19Hafaraimu, Shioni, Anaharathi, 2019:20 Yos 21:28Rabithi, Kishioni, Ebesi, 2119:21 Yos 15:34Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi. 2219:22 Amu 4:6, 12; 8:18; Za 89:12; Yer 46:18; Yos 15:10Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

2319:23 Yos 17:10; Mwa 49:15; Eze 48:25Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Asheri

2419:24 Yos 17:7Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo. 2519:25 Yos 11:1; 1Sam 2:16Eneo lao lilijumuisha:

Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu, 2619:26 Yos 21:30; 12:22; 1Fal 18:19; 2Fal 2:25Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi. 2719:27 Yos 15:41Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto. 2819:28 Yos 21:30; 1Nya 6:74; Hes 13:21; Amu 1:31; 1Nya 6:76; Yos 16:8; Mwa 10:16-19; Yos 11:8Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu. 2919:29 Yos 18:25; 2Sam 5:11; 24:7; Ezr 3:7; Za 45:12; Isa 23:1; Yer 25:22; Eze 26:2; Amu 5:17; Yos 15:44; Amu 1:31Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu, 3019:30 Yos 12:18Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

3119:31 Mwa 30:13; Yos 17:7; Eze 48:2Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Naftali

32Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:

3319:33 Amu 4:11; Yos 15:11Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani. 3419:34 1Nya 6:75; Kum 33:23Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki. 3519:35 1Nya 2:55; Yos 11:2; Hes 13:21; 1Fal 14:25; Yer 39:5; Mk 6:53Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi, 3619:36 Yos 18:25; 11:1Adama, Rama, Hazori, 3719:37 Yos 12:22; Hes 21:33Kedeshi, Edrei, na En-Hasori, 3819:38 Amu 1:33; Yos 15:10Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.

3919:39 Kum 33:23; Eze 48:3Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Dani

40Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo. 4119:41 Yos 15:33; Amu 13:2Eneo la urithi wao lilijumuisha:

Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi, 4219:42 Amu 1:35; Yos 10:12; 1Fal 4:9Shaalabini, Aiyaloni, Ithla, 4319:43 Mwa 38:12; Yos 13:3Eloni, Timna, Ekroni, 4419:44 Yos 21:23; 1Fal 15:27; 16:15; 9:18; 2Nya 8:6Elteke, Gibethoni, Baalathi, 4519:45 Yos 21:24; 1Nya 6:69Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni, 4619:46 2Nya 2:16; Ezr 3:7; Yon 1:3; Mdo 9:36Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.

4719:47 Amu 18:1, 7, 14; Kum 3:14; Amu 18:27-29; Mwa 49:17(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)

4819:48 Mwa 30:6; Hes 26:54; Mdo 17:26Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Yoshua

49Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao, 5019:50 Yos 24:30; Amu 2:9kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera19:50 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona Yos 24:30; Amu 2:9. ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.

5119:51 Yos 23:4; 14:1; 18:10; Mdo 13:19; Hes 34:17; Amu 21:19; Za 78:58Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.

New International Version – UK

Joshua 19:1-51

Land allotted to Simeon

1The second lot came out for the tribe of Simeon according to its clans. Their inheritance lay within the territory of Judah. 2It included:

Beersheba (or Sheba),19:2 Or Beersheba, Sheba; 1 Chron. 4:28 does not have Sheba. Moladah, 3Hazar Shual, Balah, Ezem, 4Eltolad, Bethul, Hormah, 5Ziklag, Beth Markaboth, Hazar Susah, 6Beth Lebaoth and Sharuhen – thirteen towns and their villages;

7Ain, Rimmon, Ether and Ashan – four towns and their villages – 8and all the villages around these towns as far as Baalath Beer (Ramah in the Negev).

This was the inheritance of the tribe of the Simeonites, according to its clans. 9The inheritance of the Simeonites was taken from the share of Judah, because Judah’s portion was more than they needed. So the Simeonites received their inheritance within the territory of Judah.

Land allotted to Zebulun

10The third lot came up for Zebulun according to its clans:

The boundary of their inheritance went as far as Sarid. 11Going west it ran to Maralah, touched Dabbesheth, and extended to the ravine near Jokneam. 12It turned east from Sarid towards the sunrise to the territory of Kisloth Tabor and went on to Daberath and up to Japhia. 13Then it continued eastward to Gath Hepher and Eth Kazin; it came out at Rimmon and turned towards Neah. 14There the boundary went round on the north to Hannathon and ended at the Valley of Iphtah El.

15Included were Kattath, Nahalal, Shimron, Idalah and Bethlehem. There were twelve towns and their villages.

16These towns and their villages were the inheritance of Zebulun, according to its clans.

Land allotted to Issachar

17The fourth lot came out for Issachar according to its clans. 18Their territory included:

Jezreel, Kesulloth, Shunem, 19Hapharaim, Shion, Anaharath, 20Rabbith, Kishion, Ebez, 21Remeth, En Gannim, En Haddah and Beth Pazzez.

22The boundary touched Tabor, Shahazumah and Beth Shemesh, and ended at the Jordan.

There were sixteen towns and their villages.

23These towns and their villages were the inheritance of the tribe of Issachar, according to its clans.

Land allotted to Asher

24The fifth lot came out for the tribe of Asher according to its clans. 25Their territory included:

Helkath, Hali, Beten, Akshaph, 26Allammelek, Amad and Mishal. On the west the boundary touched Carmel and Shihor Libnath. 27It then turned east towards Beth Dagon, touched Zebulun and the Valley of Iphtah El, and went north to Beth Emek and Neiel, passing Kabul on the left. 28It went to Abdon,19:28 Some Hebrew manuscripts (see also 21:30); most Hebrew manuscripts Ebron Rehob, Hammon and Kanah, as far as Greater Sidon. 29The boundary then turned back towards Ramah and went to the fortified city of Tyre, turned towards Hosah and came out at the Mediterranean Sea in the region of Akzib, 30Ummah, Aphek and Rehob.

There were twenty-two towns and their villages.

31These towns and their villages were the inheritance of the tribe of Asher, according to its clans.

Land allotted to Naphtali

32The sixth lot came out for Naphtali according to its clans:

33Their boundary went from Heleph and the large tree in Zaanannim, passing Adami Nekeb and Jabneel to Lakkum and ending at the Jordan. 34The boundary ran west through Aznoth Tabor and came out at Hukkok. It touched Zebulun on the south, Asher on the west and the Jordan19:34 Septuagint; Hebrew west, and Judah, the Jordan, on the east.

35The fortified cities were Ziddim, Zer, Hammath, Rakkath, Kinnereth, 36Adamah, Ramah, Hazor, 37Kedesh, Edrei, En Hazor, 38Iron, Migdal El, Horem, Beth Anath and Beth Shemesh.

There were nineteen towns and their villages.

39These towns and their villages were the inheritance of the tribe of Naphtali, according to its clans.

Land allotted to Dan

40The seventh lot came out for the tribe of Dan according to its clans. 41The territory of their inheritance included:

Zorah, Eshtaol, Ir Shemesh, 42Shaalabbin, Aijalon, Ithlah, 43Elon, Timnah, Ekron, 44Eltekeh, Gibbethon, Baalath, 45Jehud, Bene Berak, Gath Rimmon, 46Me Jarkon and Rakkon, with the area facing Joppa.

47(When the territory of the Danites was lost to them, they went up and attacked Leshem, took it, put it to the sword and occupied it. They settled in Leshem and named it Dan after their ancestor.)

48These towns and their villages were the inheritance of the tribe of Dan, according to its clans.

Land allotted to Joshua

49When they had finished dividing the land into its allotted portions, the Israelites gave Joshua son of Nun an inheritance among them, 50as the Lord had commanded. They gave him the town he asked for – Timnath Serah19:50 Also known as Timnath Heres (see Judges 2:9) in the hill country of Ephraim. And he built up the town and settled there.

51These are the territories that Eleazar the priest, Joshua son of Nun and the heads of the tribal clans of Israel assigned by lot at Shiloh in the presence of the Lord at the entrance to the tent of meeting. And so they finished dividing the land.