Yoshua 19 – NEN & CCL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 19:1-51

Mgawo Kwa Simeoni

119:1 Mwa 49:7Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda. 219:2 Mwa 21:14; 1Fal 19:3; Yos 15:26; 1Nya 4:28; Neh 11:26Ulijumuisha:

Beer-Sheba (au Sheba), Molada, 319:3 Yos 15:28-29Hasar-Shuali, Bala, Esemu, 4Eltoladi, Bethuli, Horma, 5Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa, 6Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.

7Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake, 8pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu).

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo. 919:9 Mwa 47:9; Eze 48:24Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.

Mgawo Kwa Zabuloni

1019:10 Yos 21:7, 34Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo:

Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi. 1119:11 Yos 12:22Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu. 1219:12 Yos 22; 21:28; 1Nya 6:72Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia. 13Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea. 1419:14 Mwa 49:13; Hes 34:6-7; Kut 23:31; 1Fal 4:12Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli. 1519:15 Yos 21:35; 11:1; Mwa 35:19; Amu 1:30Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

1619:16 Eze 48:26; Yos 21:7; Mdo 17:26Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Isakari

1719:17 Mwa 30:18Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo. 1819:18 Yos 15:56; Isa 28:4; 1Fal 1:3; 2Fal 4:8Eneo lao lilijumuisha:

Yezreeli, Kesulothi, Shunemu, 19Hafaraimu, Shioni, Anaharathi, 2019:20 Yos 21:28Rabithi, Kishioni, Ebesi, 2119:21 Yos 15:34Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi. 2219:22 Amu 4:6, 12; 8:18; Za 89:12; Yer 46:18; Yos 15:10Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

2319:23 Yos 17:10; Mwa 49:15; Eze 48:25Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Asheri

2419:24 Yos 17:7Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo. 2519:25 Yos 11:1; 1Sam 2:16Eneo lao lilijumuisha:

Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu, 2619:26 Yos 21:30; 12:22; 1Fal 18:19; 2Fal 2:25Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi. 2719:27 Yos 15:41Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto. 2819:28 Yos 21:30; 1Nya 6:74; Hes 13:21; Amu 1:31; 1Nya 6:76; Yos 16:8; Mwa 10:16-19; Yos 11:8Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu. 2919:29 Yos 18:25; 2Sam 5:11; 24:7; Ezr 3:7; Za 45:12; Isa 23:1; Yer 25:22; Eze 26:2; Amu 5:17; Yos 15:44; Amu 1:31Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu, 3019:30 Yos 12:18Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

3119:31 Mwa 30:13; Yos 17:7; Eze 48:2Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Naftali

32Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:

3319:33 Amu 4:11; Yos 15:11Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani. 3419:34 1Nya 6:75; Kum 33:23Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki. 3519:35 1Nya 2:55; Yos 11:2; Hes 13:21; 1Fal 14:25; Yer 39:5; Mk 6:53Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi, 3619:36 Yos 18:25; 11:1Adama, Rama, Hazori, 3719:37 Yos 12:22; Hes 21:33Kedeshi, Edrei, na En-Hasori, 3819:38 Amu 1:33; Yos 15:10Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.

3919:39 Kum 33:23; Eze 48:3Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Dani

40Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo. 4119:41 Yos 15:33; Amu 13:2Eneo la urithi wao lilijumuisha:

Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi, 4219:42 Amu 1:35; Yos 10:12; 1Fal 4:9Shaalabini, Aiyaloni, Ithla, 4319:43 Mwa 38:12; Yos 13:3Eloni, Timna, Ekroni, 4419:44 Yos 21:23; 1Fal 15:27; 16:15; 9:18; 2Nya 8:6Elteke, Gibethoni, Baalathi, 4519:45 Yos 21:24; 1Nya 6:69Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni, 4619:46 2Nya 2:16; Ezr 3:7; Yon 1:3; Mdo 9:36Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.

4719:47 Amu 18:1, 7, 14; Kum 3:14; Amu 18:27-29; Mwa 49:17(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)

4819:48 Mwa 30:6; Hes 26:54; Mdo 17:26Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.

Mgawo Kwa Yoshua

49Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao, 5019:50 Yos 24:30; Amu 2:9kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera19:50 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona Yos 24:30; Amu 2:9. ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.

5119:51 Yos 23:4; 14:1; 18:10; Mdo 13:19; Hes 34:17; Amu 21:19; Za 78:58Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.

Mawu a Mulungu mu Chichewa Chalero

Yoswa 19:1-51

Dziko la Simeoni

1Maere achiwiri anagwera mabanja a fuko la Simeoni. Dziko lawo linali mʼkati mwenimweni mwa dziko la Yuda. 2Dzikolo linaphatikiza zigawo izi:

Beeriseba (ndi Seba), Molada, 3Hazari-Suwali, Bala, Ezemu, 4Elitoladi, Betuli, Horima, 5Zikilagi, Beti-Marikaboti, Hazari-Susa, 6Beti-Lebaoti ndi Saruheni. Yonse pamodzi inali mizinda 13 ndi midzi yawo.

7Panalinso mizinda inayi iyi: Aini, Rimoni, Eteri ndi Asani pamodzi ndi midzi yawo. 8Dzikolo linaphatikizanso midzi yonse yozungulira mizinda imeneyi mpaka ku Baalati-Beeri, ndiye kuti Rama wa kummwera.

Ili ndi dziko limene mabanja a fuko la Simeoni analandira kukhala lawo. 9Cholowa cha fuko la Simeoni chinatengedwa kuchokera ku gawo la Yuda chifukwa fuko la Yuda linali lalikulu kwambiri. Izi zinachititsa fuko la Simeoni kukhala mʼkati mwenimweni mwa dziko la Yuda.

Dziko la Zebuloni

10Maere achitatu anagwera mabanja a fuko la Zebuloni:

Malire a dziko lawo anafika mpaka ku Saridi. 11Malirewo anakwera kupita cha kumadzulo ku Marala nakafika ku Dabeseti ndi ku mtsinje wa kummawa kwa Yokineamu. 12Kuchokera ku mbali ina ya Saridi malire anakhota kupita kummawa ku malire a Kisiloti-Tabori mpaka ku Daberati nakwera mpaka ku Yafiya. 13Kuchokera kumeneko anabzola kulowa cha kummawa mpaka ku Gati-Heferi ndi ku Eti Kazini ndi kumaloza ku Neya njira ya ku Rimoni. 14Mbali ya kumpoto malirewo analoza ku Hanatoni ndipo anakathera ku chigwa cha Ifita Eli. 15Anaphatikizapo Katati, Nahalala, Simironi, Idala ndi Betelehemu. Mizinda yonse inakwana khumi ndi iwiri pamodzi ndi midzi yake.

16Mizinda imeneyi pamodzi ndi midzi yake ndi imene mabanja a fuko la Zebuloni analandira.

Dziko la Isakara

17Maere achinayi anagwera mabanja a fuko la Isakara. 18Dziko lawo linaphatikiza zigawo izi:

Yezireeli, Kesuloti, Sunemu, 19Hafaraimu, Sioni, Anaharati, 20Rabiti, Kisoni, Ebezi, 21Remeti, Eni Ganimu, Eni Hada ndi Beti-Pazezi. 22Malirewa anakafikanso ku Tabori, Sahazuma ndi Beti-Semesi ndipo anakathera ku Yorodani. Mizinda yonse inalipo 16 ndi midzi yake.

23Mizinda imeneyi pamodzi ndi midzi yake ndiyo inali cholowa cha mabanja a fuko la Isakara.

Dziko la Aseri

24Maere achisanu anagwera mabanja a fuko la Aseri. 25Gawo lawo linaphatikiza

Helikati, Hali, Beteni, Akisafu, 26Alameleki, Amadi ndi Misali. Kumadzulo malire anafika ku Karimeli ndi Sihori Libinati. 27Kenaka anakhotera kummawa kulowera ku Beti-Dagoni nafika ku dziko la Zebuloni ndi ku chigwa cha Ifita Eli, ndipo anapita kumpoto ku Beti-Emeki ndi Neieli. Anapitirirabe kumpoto mpaka kukafika ku Kabuli, 28Ebroni, Rehobu, Hamoni, ndi Kana, mpaka ku Sidoni Wamkulu. 29Kenaka malirewo anakhotera ku Rama ndi kupita ku mzinda wotetezedwa wa ku Turo. Kuchokera pamenepo malirewo anakhota kupita ku Hosa nakatulukira ku Nyanja, mʼchigawo cha Akizibu, 30Uma, Afeki ndi Rehobu. Mizinda yonse inalipo 22 pamodzi ndi midzi yake.

31Mizinda yonseyi pamodzi ndi midzi yake ndiyo inali cholowa cha mabanja a fuko la Aseri.

Dziko la Nafutali

32Maere achisanu ndi chimodzi anagwera mabanja a fuko la Nafutali.

33Malire awo anayambira ku Helefu mpaka ku mtengo wa thundu wa ku Zaananimu, ndipo anapitirira nʼkukafika ku Adami Nekebu, Yabineeli mpaka ku Lakumi ndi kukathera ku Yorodani. 34Tsono malirewo anakhotera kumadzulo kupita ku Azinoti-Tabori. Kuchoka kumeneko anapita ku Hukoki, modutsa Zebuloni cha kummwera, Aseri cha kumadzulo ndi mtsinje wa Yorodani cha kummawa. 35Mizinda yotetezedwa inali Zidimi, Zeri, Hamati, Rakati, Kinereti, 36Adama, Rama, Hazori, 37Kedesi, Ederi, Eni Hazori, 38Yironi, Migidali Eli, Horemu, Beti-Anati ndi Beti-Semesi. Yonse pamodzi inalipo mizinda 19 ndi midzi yake.

39Mizinda yonseyi pamodzi ndi midzi yawo ndiyo inali cholowa cha mabanja a fuko la Nafutali.

Dziko la Dani

40Maere achisanu ndi chiwiri anagwera mabanja a fuko la Dani. 41Gawo lawo linaphatikiza mizinda iyi:

Zora, Esitaoli, Iri Semesi, 42Saalabini, Ayaloni, Itira, 43Eloni, Timna, Ekroni, 44Eliteke, Gibetoni, Baalati, 45Yehudi, Beni Beraki, Gati-Rimoni, 46Me-Yarikoni ndi Rakoni, pamodzi ndi dera loyangʼanana ndi Yopa.

47Anthu a fuko la Dani atalandidwa dziko lawo, anapita kukathira nkhondo Lesemu. Iwo anapha anthu ake onse, nawulandiratu mzindawo, kuwusandutsa wawo ndi kumakhalamo. Tsono anatcha mzindawo dzina loti Dani popeza ndilo linali dzina la kholo lawo.

48Mizinda yonseyi pamodzi ndi midzi yake ndiyo inali cholowa cha mabanja a fuko la Dani.

Dziko la Yoswa

49Atatha kugawana zigawo zosiyanasiyana za dzikolo, Aisraeli anamupatsa Yoswa mwana wa Nuni chigawo chake. 50Potsata zimene Yehova anawalamula, anamupatsa mzinda wa Timnati-Sera umene anawupempha. Mzindawu unali mʼdziko lamapiri la Efereimu. Iye anawumanga mzindawu ndi kukhazikikako.

51Wansembe Eliezara, Yoswa ndi atsogoleri a mabanja onse a Israeli anagawa dziko lija zigawozigawo pogwiritsa ntchito maere pamaso pa Yehova. Izi zinachitika ku Silo pa khomo la tenti ya msonkhano. Choncho anamaliza kugawa dzikolo.