Yoshua 13 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 13:1-33

Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa

113:1 Mwa 24:1; Yos 14:10; 23:1-3; 1Fal 1:1Yoshua alipokuwa mzee na umri wake ukiwa umesogea sana, Bwana akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo ni za kutwaliwa.

213:2 Mwa 10:14; Amu 3:31; Yos 12:5“Nchi iliyosalia ni hii: maeneo yote ya Wafilisti na Wageshuri: 313:3 1Nya 13:5; Isa 23:3; Yer 2:18; Yos 15:11; 19:43; Amu 1:18; 1Sam 5:10; 7:14; Amu 3:3; 16:5, 18; 1Sam 6:4, 17; Isa 14:29; Eze 25:15; Yos 11:22; Amo 3:9; Amu 14:19; 2Sam 1:20; Kum 2:23; 13:4; Yos 12:18; Mwa 14:7; 15:16kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi); 4kuanzia kusini, nchi yote ya Wakanaani, kuanzia Ara ambayo ni ya Wasidoni, ikienea hadi Afeki, na eneo la Waamori, 513:5 1Fal 5:18; Za 83:7; Eze 27:9; Yos 11:17; Kum 3:8; Hes 13:21; 34:8; Amu 3:3eneo la Wagebali;13:5 Yaani eneo la Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). Lebanoni yote kuelekea mashariki, kuanzia Baal-Gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-Hamathi.

613:6 Yos 11:8; Za 80:8; Hes 33:54; 34:13; Amu 2:12; Yos 14:1, 2“Na kuhusu wakaaji wote katika maeneo ya milima, kuanzia Lebanoni hadi Misrefoth-Maimu, pamoja na eneo lote la Wasidoni, mimi mwenyewe nitawafukuza watoke mbele ya Waisraeli. Hakikisha umegawa nchi hii kwa Israeli kuwa urithi, kama nilivyokuagiza, 713:7 Yos 11:23; Za 78:55sasa basi, ligawanye eneo hili kwa yale makabila tisa na ile nusu ya kabila la Manase kuwa urithi.”

Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Mwa Yordani

813:8 Yos 12:6; 18:7; Hes 32:33; Kum 3:12; Yos 12:6; 18:7Ile nusu nyingine ya Manase, Wareubeni na Wagadi, walishapokea urithi Mose aliokuwa amewapa mashariki mwa Yordani, sawasawa na mtumishi wa Bwana alivyowagawia.

913:9 Hes 32:34; Kum 2:36; Amu 11:26; 2Sam 24:5; Yer 48:8, 21; Hes 21:30; 32:3; Isa 15:2Eneo lao lilienea toka Aroeri, iliyoko ukingoni mwa Bonde la Arnoni kuanzia mji ulio katikati ya bonde, likijumlisha nchi ya uwanda wa juu wote wa Medeba mpaka Diboni, 1013:10 Yos 12:2; Hes 21:24nayo miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, hadi mpakani mwa Waamoni. 1113:11 Yos 12:2-5Vilevile ilijumlisha Gileadi, eneo la Wageshuri na Wamaaka, mlima wote wa Hermoni na Bashani yote ikienea hadi Saleka: 1213:12 Kum 1:4; Yos 12:4; Mwa 14:5; Kum 3:5, 11; Hes 21:24yaani ufalme wote wa Ogu katika Bashani, aliyekuwa ametawala katika Ashtarothi na Edrei, na ndiye pekee alisalia kwa Warefai. Mose alikuwa amewashinda na kuteka nchi yao. 1313:13 Yos 12:5; Kum 3:12-15Lakini Waisraeli hawakuwafukuza watu wa Geshuri na wa Maaka, kwa hiyo wanaendelea kuishi miongoni mwa Waisraeli mpaka leo hii.

1413:14 Kum 18:1-2; Yos 14:2; Hes 18:20; Kum 10:9Lakini kwa kabila la Lawi, Mose hakupeana urithi, kwa kuwa sadaka za kuteketezwa kwa moto zilizotolewa kwa Bwana, Mungu wa Israeli, ndizo zilizokuwa urithi wao, kama alivyowaahidi.

15Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Reubeni ukoo kwa ukoo:

1613:16 Yos 12:2; 1Sam 30:28; Hes 21:30; Isa 15:2; Kum 3:12Eneo la Aroeri lililo ukingoni mwa Bonde la Arnoni, na kuanzia mji ulio katikati ya bonde, pia uwanda wote wa juu kupita Medeba 1713:17 Hes 32:3; 22:41; 1Nya 5:8; Yer 48:23; Eze 25:9hadi Heshboni na miji yake yote kwenye uwanda wa juu, ikijumlishwa miji ya Diboni, Bamoth-Baali, Beth-Baal-Meoni, 1813:18 Hes 21:23; Kum 2:26; Yos 21:37; Yer 48:21Yahasa, Kedemothi, Mefaathi, 1913:19 Hes 32:37; 32:3Kiriathaimu, Sibma, Sereth-Shahari juu ya kilima kilicho katika bonde, 2013:20 Kum 3:29Beth-Peori, materemko ya Pisga na Beth-Yeshimothi: 2113:21 Mwa 25:2; Hes 25:15; 31:8; Kum 3:10; Hes 21:24; 31:8miji yote ya uwanda wa juu na eneo lote la utawala wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni. Mose alikuwa amemshinda Sihoni, pia watawala wakuu wa Wamidiani, ambao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba, waliokuwa wameungana na Sihoni, ambao waliishi katika nchi ile. 2213:22 Hes 22:5; Mwa 30:27; Hes 23:23; 2Pet 2:15; Ufu 2:14Pamoja na wale waliouawa katika vita, Waisraeli walikuwa wamemuua kwa upanga Balaamu mwana wa Beori aliyekuwa mchawi. 2313:23 1Nya 5:7Mpaka wa Wareubeni ulikuwa ni ukingo wa Mto Yordani. Miji hii na vijiji vyake ndiyo iliyokuwa urithi wa Wareubeni ukoo kwa ukoo.

24Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:

2513:25 Hes 21:32; Yos 21:39; 12:2; Kum 3:11; Amu 11:13; 2Sam 11:1; 12:26Nchi ya Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Amoni iliyoenea hadi Aroeri, karibu na Raba; 2613:26 Hes 21:25; Yer 49:3; Mwa 32:2; Yos 10:3na kuanzia Heshboni mpaka Ramath-Mispa na Betonimu, na kutoka Mahanaimu hadi eneo la Debiri; 2713:27 Hes 32:3; Mwa 33:17; Amu 12:1; Za 48:2; Hes 34:11; 1Fal 7:46; Kum 3:17; Yos 11:2; Mt 14:34; Lk 5:1na katika bonde, Beth-Haramu, Beth-Nimra, Sukothi na Safoni na sehemu iliyobaki ya eneo la utawala wa Sihoni mfalme wa Heshboni (upande wa mashariki mwa Mto Yordani, eneo inayoishia kwenye Bahari ya Kinerethi13:27 Yaani Bahari ya Galilaya.). 2813:28 Mwa 46:16; Hes 32:3; Eze 48:27Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.

29Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo kwa ukoo:

3013:30 Mwa 32:2; Hes 21:33; Yos 12:4; Hes 32:41Eneo lililoenea kuanzia Mahanaimu, na kujumlisha Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, makazi yote ya Yairi huko Bashani, miji sitini, 3113:31 Hes 21:33; Mwa 50:23; Yos 17:5nusu ya Gileadi, na Ashtarothi na Edrei (miji ya kifalme ya Ogu katika Bashani). Hii ilikuwa kwa ajili ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, kwa ajili ya nusu ya wana wa Makiri, ukoo kwa ukoo.

3213:32 Hes 26:3; 22:1Huu ndio urithi alioupeana Mose wakati alipokuwa katika tambarare za Moabu, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko. 3313:33 Hes 26:62; 18:20; Yos 18; 7; Eze 44:28Lakini kwa kabila la Walawi, Mose hakuwapa urithi; Bwana Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

Thai New Contemporary Bible

โยชูวา 13:1-33

ดินแดนที่ยังต้องเข้ายึดครอง

1เมื่อโยชูวาแก่ลง ผู้รับใช้ขององค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับเขาว่า “เจ้าแก่มากแล้ว และยังมีดินแดนอีกมากที่จะต้องพิชิต

2“ดินแดนซึ่งยังจะต้องเข้ายึดครองได้แก่ ดินแดนทั้งหมดของชาวฟีลิสเตียและเกชูร์ 3ดินแดนซึ่งนับเป็นของชาวคานาอัน จากแม่น้ำชิโหร์ทางตะวันออกของอียิปต์ถึงพรมแดนของเอโครนทางเหนือ (นครทั้งห้าของฟีลิสเตียได้แก่ กาซา อัชโดด อัชเคโลน กัท และเอโครน นี่คือดินแดนของชาวอัฟวิม) 4จากทางใต้ ดินแดนทั้งหมดของชาวคานาอัน จากอาราห์ของชาวไซดอนจนถึงอาเฟค ตรงพรมแดนของชาวอาโมไรต์ 5ดินแดนของชาวเกบาล13:5 คือ ดินแดนแห่งไบบลอส เลบานอนทั้งหมดไปทางตะวันออก จากบาอัลกาดเชิงภูเขาเฮอร์โมนถึงเลโบฮามัท13:5 หรือถึงทางเข้าสู่ฮามัท

6“สำหรับคนที่อาศัยในเขตภูเขาจากเลบานอนถึงมิสเรโฟทมาอิมคือชาวไซดอนทั้งปวง เราเองจะขับไล่พวกเขาออกไปต่อหน้าอิสราเอล จงแบ่งดินแดนเหล่านี้ให้เป็นกรรมสิทธิ์ของอิสราเอลตามที่เราได้บัญชาเจ้าไว้ 7และแบ่งดินแดนเหล่านี้ให้เป็นกรรมสิทธิ์ของเก้าเผ่ากับเผ่ามนัสเสห์อีกครึ่งเผ่า”

การแบ่งดินแดนทางตะวันออกของแม่น้ำจอร์แดน

8สำหรับเผ่ารูเบน กาด และเผ่ามนัสเสห์อีกครึ่งเผ่าได้รับกรรมสิทธิ์ทางฟากตะวันออกของแม่น้ำจอร์แดน ซึ่งโมเสสผู้รับใช้ขององค์พระผู้เป็นเจ้าได้ยกให้ก่อนแล้ว

9กรรมสิทธิ์นั้นเริ่มจากดินแดนอาโรเออร์ริมโกรกธารอารโนน จากเมืองซึ่งอยู่ตอนกลางของโกรกธารนี้รวมถึงที่ราบสูงเมเดบาทั้งหมดจนถึงดีโบน 10และเมืองทั้งหมดของสิโหนกษัตริย์ชาวอาโมไรต์ซึ่งครองเฮชโบนไปจนจดพรมแดนของชาวอัมโมน 11และครอบคลุมกิเลอาดอาณาเขตของชาวเกชูร์และชาวมาอาคาห์ บริเวณภูเขาเฮอร์โมนทั้งหมด บาชานทั้งหมดจนจดสาเลคาห์ 12กล่าวคืออาณาเขตทั้งสิ้นของกษัตริย์โอกแห่งบาชาน ซึ่งครองอัชทาโรทและเอเดรอี เขาผู้นี้เป็นหนึ่งในเรฟาอิมกลุ่มสุดท้าย โมเสสพิชิตพวกเขาและเข้ายึดครองดินแดน 13แต่ชนอิสราเอลไม่ได้ขับไล่ชาวเกชูร์และชาวมาอาคาห์ออกไป พวกเขาจึงยังคงอาศัยอยู่ในหมู่ชนอิสราเอลจนถึงทุกวันนี้

14สำหรับเผ่าเลวี โมเสสไม่ได้มอบดินแดนใดๆ ให้ เพราะพวกเขาได้รับเครื่องบูชาด้วยไฟที่ถวายแด่พระยาห์เวห์พระเจ้าแห่งอิสราเอลเป็นกรรมสิทธิ์ตามที่ทรงสัญญาแก่เขา

15ดินแดนซึ่งโมเสสยกให้เผ่ารูเบนตามแต่ละตระกูล ได้แก่

16ดินแดนจากอาโรเออร์ริมโกรกธารอารโนน จากเมืองซึ่งอยู่ตอนกลางของโกรกธารไปจนถึงที่ราบทั้งหมดเลยเมเดบา 17จดเฮชโบน และเมืองทั้งหมดบนที่ราบนั้น รวมทั้งดีโบน บาโมทบาอัล เบธบาอัลเมโอน 18ยาฮาส เคเดโมท เมฟาอาท 19คีริยาธาอิม สิบมาห์ เศเรทชาหาร์บนภูเขาในหุบเขานั้น 20เบธเปโอร์ ลาดเขาปิสกาห์ และเบธเยชิโมท 21คือเมืองทั้งหมดบนที่ราบสูงและอาณาจักรทั้งหมดของกษัตริย์สิโหนแห่งอาโมไรต์ ผู้ครอบครองอยู่ในเฮชโบน ซึ่งถูกโมเสสพิชิตพร้อมกษัตริย์อื่นๆ ของมีเดียนคือเอวี เรเคม ศูร์ เฮอร์ และเรบา ผู้เป็นพันธมิตรของสิโหน ซึ่งอาศัยอยู่ในถิ่นนั้น 22ประชากรอิสราเอลยังได้ประหารผู้ทำนายบาลาอัมบุตรเบโอร์ด้วย 23ชายฝั่งแม่น้ำจอร์แดนเป็นพรมแดนของรูเบน เมืองกับหมู่บ้านเหล่านี้เป็นกรรมสิทธิ์ของเผ่ารูเบน แบ่งตามตระกูล

24ดินแดนซึ่งโมเสสยกให้เผ่ากาดตามแต่ละตระกูล ได้แก่

25เขตแดนยาเซอร์ เมืองทั้งหมดของกิเลอาด และครึ่งหนึ่งของดินแดนของชาวอัมโมน ไกลถึงอาโรเออร์ใกล้รับบาห์ 26และจากเฮชโบนถึงรามัทมิสปาห์และเบโทนิม และจากมาหะนาอิมถึงเขตแดนเดบีร์ 27และในหุบเขาได้แก่ เบธฮารัม เบธนิมราห์ สุคคท และศาโฟน ดินแดนส่วนที่เหลือของกษัตริย์สิโหนแห่งเฮชโบน (ฟากตะวันออกของแม่น้ำจอร์แดน ขึ้นไปจดทะเลคินเนเรท13:27 คือ กาลิลี) 28เมืองกับหมู่บ้านเหล่านี้เป็นกรรมสิทธิ์ของเผ่ากาดแบ่งตามตระกูล

29ดินแดนซึ่งโมเสสยกให้เผ่ามนัสเสห์ครึ่งเผ่า คือครึ่งหนึ่งของครอบครัวที่เป็นลูกหลานของมนัสเสห์ตามแต่ละตระกูล ได้แก่

30ดินแดนจากมาหะนาอิม ครอบคลุมบาชานทั้งหมดซึ่งเป็นอาณาจักรทั้งสิ้นของกษัตริย์โอกแห่งบาชานและเมืองทั้งหกสิบแห่งในแว่นแคว้นยาอีร์ในบาชาน 31ครึ่งหนึ่งของกิเลอาด อัชทาโรท และเอเดรอี (ซึ่งเป็นเมืองเอกของกษัตริย์โอกในบาชาน) ให้แก่ลูกหลานครึ่งหนึ่งของวงศ์วานมาคีร์ ซึ่งเป็นบุตรของมนัสเสห์แบ่งตามตระกูล

32ทั้งหมดนี้คือกรรมสิทธิ์ซึ่งโมเสสแบ่งสรรให้ ขณะอยู่ในที่ราบโมอับบนฝั่งแม่น้ำจอร์แดนด้านตะวันออกของเมืองเยรีโค 33แต่โมเสสไม่ได้มอบกรรมสิทธิ์ใดๆ แก่เผ่าเลวี เพราะว่าพระยาห์เวห์พระเจ้าแห่งอิสราเอลทรงเป็นกรรมสิทธิ์ของพวกเขาตามที่ทรงสัญญาไว้