Yoshua 12 – NEN & HCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 12:1-24

Orodha Ya Wafalme Walioshindwa

112:1 Za 136:21; Hes 32:19; 21:13; Kum 3:8; Yos 11:2Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:

212:2 Yos 12:5; Hes 21:21-25; Yos 13:10; Amu 11:19; Hes 32:34; Yos 13:16; Mwa 19:38; 31:21; 32:22; Hes 32:26; Kum 2:36; 3:15; Yos 13:11, 25; 17:1; 20:8; 21:38; Amu 5:17; 7:3; 10:8Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.

Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi. 312:3 Yos 11:2; Mwa 14:3; Hes 33:49; Yos 13:20; Hes 21:20Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi12:3 Yaani Bahari ya Galilaya. hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi12:3 Yaani Bahari Mfu.), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.

412:4 Hes 21:21; 33; Yos 13:30; Mwa 14:5; Kum 1:4Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.

512:5 Kum 3:10; Hes 32:33; Yos 17:1; 20:8; 21:27; 22:7; 13:2, 13; 1Sam 27:8; Kum 3:14Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.

612:6 Kum 3:8; Hes 32:29-33; Yos 13:8Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.

712:7 Yos 11:17Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao: 812:8 Ezr 9:1; Kum 1:7; Yos 3:10; 11:17nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):

912:9 Hes 33:48; Mwa 12:8; Yos 8:1; 7:2; 8:9; 18:13; Amu 1:23; 4:4; 20:18; 21:2; Neh 11:31mfalme wa Yeriko mmojamfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja1012:10 Yos 10:1mfalme wa Yerusalemu mmojamfalme wa Hebroni mmoja1112:11 Yos 10:3mfalme wa Yarmuthi mmojamfalme wa Lakishi mmoja1212:12 Yos 10:3, 33mfalme wa Egloni mmojamfalme wa Gezeri mmoja13mfalme wa Debiri mmojamfalme wa Gederi mmoja1412:14 Hes 14:45; 21:1mfalme wa Horma mmojamfalme wa Aradi mmoja1512:15 Hes 33:20; Mwa 38:1; Yos 15:35; Mik 1:15mfalme wa Libna mmojamfalme wa Adulamu mmoja1612:16 Yos 10:10; 7:2mfalme wa Makeda mmojamfalme wa Betheli mmoja1712:17 Yos 15:34; 16:8; 17:8; 11:22; 1Fal 4:10mfalme wa Tapua mmojamfalme wa Heferi mmoja1812:18 Yos 13:4; 19:30; Amu 1:31; 1Sam 4:1; 29:1mfalme wa Afeki mmojamfalme wa Lasharoni mmoja1912:19 Yos 11:1mfalme wa Madoni mmojamfalme wa Hazori mmoja2012:20 Yos 11:1mfalme wa Shimron-Meroni mmojamfalme wa Akishafu mmoja2112:21 Yos 17:11; 21:25; Amu 1:27; 5:19; 1Fal 4:12mfalme wa Taanaki mmojamfalme wa Megido mmoja2212:22 Yos 15:23; 19:37; 20:7; 21:32; Amu 4:6-9; Yos 19:11; 21:34; 15:55; 19:26; 1Sam 15:12; 2Sam 23:35mfalme wa Kedeshi mmojamfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja2312:23 Yos 11:2mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) 12:23 Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.mmojamfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja2412:24 1Fal 14:17; 15:33; 16:8, 23; Wim 6:4; Za 135:11; 136:18mfalme wa Tirsa mmoja

wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

Hindi Contemporary Version

यहोशू 12:1-24

इस्राएल द्वारा पराजित राजा

1ये हैं जो राजा यरदन के पूर्व अराबाह में थे, जिनको इस्राएलियों ने मारकर उनकी भूमि ली, इन राज्यों की सीमा आरनोन घाटी से लेकर हरमोन पर्वत तक तथा पूरे यरदन घाटी तक थी:

2सीहोन अमोरियों का राजा था, जिसका मुख्यालय हेशबोन में था.

उसका शासन आरनोन घाटी से लेकर अम्मोनियों के देश के यब्बोक नदी तक फैला था. इसमें घाटी के बीच से गिलआद का आधा भाग शामिल था.

3उसका शासन पूर्व अराबाह प्रदेश जो किन्‍नेरेथ झील12:3 किन्‍नेरेथ झील यानी गलील झील से अराबाह सागर12:3 अराबाह सागर यानी मृत सागर तक, और पूर्व में बेथ-यशिमोथ तक तथा, दक्षिण में पिसगाह की ढलानों की तराई तक फैला था.

4ओग बाशान का राजा जो रेफाइम में बचे हुए लोगों में से एक था. वह अश्तारोथ तथा एद्रेइ से शासन करता था.

5उसके शासन का क्षेत्र हरमोन पर्वत, सलेकाह, गेशूरियों तथा माकाहथियों की सीमा तक पूरा बाशान तथा गिलआद का आधा क्षेत्र था, जो हेशबोन के राजा सीहोन की सीमा तक फैला था.

6मोशेह, याहवेह के सेवक तथा इस्राएल वंश ने उन्हें हरा दिया तथा याहवेह के सेवक, मोशेह ने ये क्षेत्र रियूबेन, गाद तथा मनश्शेह के आधे गोत्र को निज भाग में दे दिया.

7यरदन के पश्चिम में जो ज़मीन है, वो लबानोन घाटी में, बाल-गाद से लेकर सेईर में हालाक पर्वत तक के देश हैं, जिनके राजाओं को यहोशू एवं इस्राएलियों ने मार दिया था, और यहोशू ने उस भाग को इस्राएली गोत्रों में बाट दिया. 8इस भाग में पर्वतीय क्षेत्र, तराइयां, अराबाह, ढलानें, निर्जन प्रदेश तथा नेगेव और इस क्षेत्र के मूल निवासी हित्ती, अमोरी, कनानी, परिज्ज़ी, हिव्वी तथा यबूसी:

मारे गये राजा ये थे:

9येरीख़ो का राजा एकबेथेल का निकटवर्ती अय का राजा एक10येरूशलेम का राजा एकहेब्रोन का राजा एक11यरमूथ का राजा एकलाकीश का राजा एक12एगलोन का राजा एकगेज़ेर का राजा एक13दबीर का राजा एकगेदेर का राजा एक14होरमाह का राजा एकअराद का राजा एक15लिबनाह का राजा एकअदुल्लाम का राजा एक16मक्‍केदा का राजा एकबेथेल का राजा एक17तप्पूआह का राजा एकहेफेर का राजा एक18अफेक का राजा एकशारोन12:18 शारोन या लशारोन का राजा एक19मादोन का राजा एकहाज़ोर का राजा एक20शिमरोन-मरोन का राजा एकअकशाफ का राजा एक21तानख का राजा एकमगिद्दो का राजा एक22केदेश का राजा एककर्मेल के योकनआम का राजा एक23नाफ़ात-दोर में दोर का राजा एकगिलगाल में गोयिम का राजा एक24तथा तिरज़ाह के राजा एक