Yoshua 1 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 1:1-18

Bwana Anamwagiza Yoshua

11:1 Kut 14:31; Kum 34:5; Ufu 15:3; Kut 17:9; 24:13; Hes 32:20; Yos 22:2-4Baada ya kifo cha Mose mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshua mwana wa Nuni, msaidizi wa Mose: 21:2 Hes 13:29; 35:10; Mwa 15:14; 12:7; Kum 1:24-25“Mtumishi wangu Mose amekufa. Sasa basi, wewe pamoja na watu wote hawa, jiandaeni kuvuka huu Mto Yordani kuingia nchi ambayo karibu nitawapa wana wa Israeli. 31:3 Kum 11:24; Mwa 50:24; Hes 13:2; Kum 1:8Kila mahali nyayo za miguu yenu zitakapokanyaga nimewapa, kama vile nilivyomwahidi Mose. 41:4 Kum 3:25; Mwa 2:14; 10:15; 23:10; Kut 3:8; Hes 34:2-12; Ezr 4:20Nchi yenu itaenea kuanzia jangwa hili hadi Lebanoni, tena kuanzia mto mkubwa wa Frati, yaani nchi yote ya Wahiti, hadi Bahari ile Kubwa1:4 Yaani Bahari ya Mediterania. iliyoko upande wa magharibi. 51:5 Kum 7:24; Mwa 26:3; 39:2; Amu 6:12; 1Sam 10:7; Yer 1:8; 30:11; Mwa 28:1; Kum 4:31Hakuna mtu yeyote atakayeweza kushindana na wewe siku zote za maisha yako. Kama vile nilivyokuwa pamoja na Mose, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe, sitakuacha wala sitakupungukia.

61:6 2Sam 2:7; 1Fal 2:2; Isa 41:6; Yoe 3:9-10; Kum 1:21; 31:6; Amu 5:21; Yer 3:18; 7:7“Uwe hodari na shujaa, kwa sababu wewe ndiwe utakayewaongoza watu hawa kuirithi nchi niliyowaapia baba zao kuwapa. 71:7 Kum 29:9; 1Fal 2:3; 3:3; Ezr 7:26; Za 78:10; 119:136; Isa 42:24; Yer 26:4-6; 32:23; 44:10; Hes 12:7; Ay 42:7; Kum 5:32; Yos 23:6; Kum 4:2; 5:33; 11:8; Yos 11:15Uwe hodari na uwe na ushujaa mwingi. Uwe na bidii kutii sheria yote aliyokupa Mose mtumishi wangu, usiiache kwa kugeuka kuelekea kuume au kushoto, ili upate kufanikiwa popote uendako. 81:8 Kum 28:61; Za 147:19; Kut 4:15; Isa 59:21; Mwa 24:63; Kum 29:9; 1Sam 18:14; Isa 52:13; 53:10; Yer 23:5Usiache Kitabu hiki cha Sheria kiondoke kinywani mwako; yatafakari maneno yake usiku na mchana, ili upate kuwa mwangalifu kufanya kila kitu sawasawa na yote yaliyoandikwa ndani yake. Ndipo utakapofanikiwa na kisha utastawi. 91:9 Kum 31:6; Yos 10:8; 2Fal 19:6; Isa 34:5; 37:6; Kum 1:21; Ay 4:5; Kum 31:8; Yer 1:8Je, si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na shujaa. Usihofu wala usivunjike moyo, kwa kuwa Bwana Mungu wako atakuwa pamoja nawe kokote uendako.”

101:10 Kum 1:15Ndipo Yoshua akawaagiza maafisa wa watu akisema, 111:11 Yos 3:2; 1Sam 17:22; Isa 10:28; Mwa 40:13; Hes 35:10; 33:53“Pitieni katika kambi yote mkawaambie watu, ‘Wekeni tayari mahitaji yenu. Siku tatu kuanzia sasa mtavuka hii Yordani ili kuingia na kuimiliki nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa iwe yenu wenyewe.’ ”

121:12 Hes 32:33Lakini kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, Yoshua akasema, 131:13 Kut 33:14; Za 55:6; Isa 11:10; 28:12; 30:15; 32:18; 40:31; Yer 6:16; 45:3“Kumbukeni agizo lile Mose mtumishi wa Bwana alilowapa: ‘Bwana Mungu wenu anawapa ninyi raha, naye amewapa nchi hii.’ 141:14 Kum 3:19; Hes 32:26; Kut 13:18; Yos 4:12Wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu watakaa katika nchi ile Mose aliyowapa mashariki ya Yordani, lakini mashujaa wenu wote, wakiwa wamevikwa silaha kikamilifu lazima wavuke mbele ya ndugu zenu. Imewapasa kuwasaidia ndugu zenu hadi 151:15 Hes 32:20-22; Yos 22:1-4Bwana awape nao raha, kama alivyokwisha kufanya kwa ajili yenu hadi wao pia watakapokuwa wamemiliki nchi ile Bwana Mungu wenu anayowapa. Baada ya hilo, mwaweza kurudi na kukalia nchi yenu wenyewe, ambayo Mose mtumishi wa Bwana aliwapa mashariki mwa Yordani kuelekea linakochomoza jua.”

161:16 Hes 27:20; 32:25Ndipo wakamjibu Yoshua, “Chochote ambacho umetuagiza tutafanya na popote utakapotutuma tutakwenda. 171:17 Hes 32:25; Kum 1:21; 31:6; Mwa 21:22; 26:24, 28; 1Sam 16:18; 20:13; 1Fal 1:37; Za 20:1-4, 9; Rum 8:31Kama vile tulivyomtii Mose kikamilifu, ndivyo tutakavyokutii wewe. Bwana Mungu wako na awe pamoja nawe tu kama vile alivyokuwa pamoja na Mose. 18Yeyote atakayeasi neno lako na kuacha kuyatii maneno yako, au chochote utakachowaamuru, atauawa. Uwe imara na hodari tu!”

New International Reader’s Version

Joshua 1:1-18

Joshua Becomes Israel’s Leader

1Moses, the servant of the Lord, died. After that, the Lord spoke to Joshua, the son of Nun. Joshua was Moses’ helper. The Lord said to Joshua, 2“My servant Moses is dead. Now then, I want you and all these people to get ready to go across the Jordan River. I want all of you to go into the land I am about to give to the Israelites. 3I will give all of you every place you walk on, just as I promised Moses. 4Your territory will reach from the Negev Desert all the way to Lebanon. The great Euphrates River will be to the east. The Mediterranean Sea will be to the west. Your territory will include all the Hittite country. 5Joshua, no one will be able to oppose you as long as you live. I will be with you, just as I was with Moses. I will never leave you. I will never desert you. 6Be strong and brave. You will lead these people. They will take the land as their very own. It is the land I promised to give their people of long ago.

7“Be strong and very brave. Make sure you obey the whole law my servant Moses gave you. Do not turn away from it to the right or the left. Then you will have success everywhere you go. 8Never stop reading this Book of the Law. Day and night you must think about what it says. Make sure you do everything written in it. Then things will go well with you. And you will have great success. 9Here is what I am commanding you to do. Be strong and brave. Do not be afraid. Do not lose hope. I am the Lord your God. I will be with you everywhere you go.”

10So Joshua gave orders to the officers of the people. He said, 11“Go through the camp. Tell the people, ‘Get your supplies ready. Three days from now you will go across the Jordan River right here. You will go in and take over the land. The Lord your God is giving it to you as your very own.’ ”

12Joshua also spoke to the tribes of Reuben and Gad and half of the tribe of Manasseh. He said to them, 13“Remember what Moses, the servant of the Lord, commanded you. He said, ‘The Lord your God is giving you this land. It’s a place where you can make your homes and live in peace and rest.’ 14Your wives, children and livestock can stay here east of the Jordan River. Moses gave you this land. But all your fighting men must get ready for battle. They must go across ahead of the other tribes. You must help them 15until the Lord gives them rest. In the same way, he has already given you rest. You must help them until they also have taken over their land. It’s the land the Lord your God is giving them. After that, you can come back here. Then you can live in your own land. It’s the land that Moses, the servant of the Lord, gave you east of the Jordan River. It’s toward the sunrise.”

16Then the tribes of Reuben and Gad and half of the tribe of Manasseh answered Joshua. They said, “We’ll do what you have commanded us to do. We’ll go where you send us. 17We obeyed Moses completely. And we’ll obey you just as completely. But may the Lord your God be with you, just as he was with Moses. 18Suppose people question your authority. And suppose they refuse to obey anything you command them to do. Then they will be put to death. Just be strong and brave!”