Yona 3 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yona 3:1-10

Yona Aenda Ninawi

13:1 Yon 1:1Ndipo neno la Bwana likamjia Yona mara ya pili: 2“Ondoka uende katika mji mkubwa wa Ninawi, ukautangazie ujumbe ninaokupa.”

3Yona akalitii neno la Bwana naye akaenda Ninawi. Basi Ninawi ulikuwa mji maarufu sana, ilichukua siku tatu kuuzunguka. 43:4 Yer 18:7-103:4 Kum 18:22Siku ya kwanza, Yona aliingia mjini. Akatangaza: “Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa.” 53:5 Mt 12:41; 11:21; Dan 9:3; Lk 11:32Watu wa Ninawi wakamwamini Mungu, wakatangaza kufunga, watu wote kuanzia mkubwa sana hadi yule mdogo kabisa, wakavaa nguo za gunia.

63:6 Es 4:1-3; Yer 6:26; Mik 1:10; Ay 2:8-13; Eze 27:30-31; Mao 3:29Habari zilipomfikia mfalme wa Ninawi, aliondoka kwenye kiti chake cha enzi, akavua majoho yake ya kifalme, akajifunika nguo ya gunia kisha akaketi chini mavumbini. 73:7 2Nya 20:3; Ezr 10:6; Yoe 2:15Ndipo akatoa tangazo katika Ninawi yote:

“Kwa amri ya mfalme na wakuu wake:

“Msiruhusu mtu yeyote au mnyama, makundi ya ngʼombe au wanyama wengine wafugwao, kuonja kitu chochote, msiwaruhusu kula wala kunywa. 83:8 Za 130:1; Yon 1:6; Isa 1:16; Eze 33:11; Dan 4:27; Yer 25:5; 7:3; Ay 16:17Bali wanadamu na wanyama wafunikwe kwa nguo za gunia. Kila mmoja afanye hima kumwomba Mungu. Waziache njia zao mbaya na udhalimu ulio mikononi mwao. 93:9 2Sam 12:22; Yer 18:8; Yoe 2:14; Za 85:3Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”

103:10 Amo 7:6; Yer 18:8; Kut 32:14Mungu alipoona walivyofanya na jinsi walivyogeuka kutoka njia zao mbaya, akawa na huruma wala hakuleta maangamizi juu yao kama alivyokuwa ameonya.

O Livro

Jonas 3:1-10

Jonas vai a Nínive

1Então o Senhor falou novamente a Jonas. 2“Vai a essa grande cidade de Nínive e avisa-os da sua condenação, tal como já te mandei antes!”

3Jonas obedeceu e foi a Nínive. Era, na verdade, uma grande cidade com arredores muito vastos, tão extensa que levava três dias a percorrer.

4Entrando na cidade, Jonas começou a pregar. Jonas clamava ao povo que se juntava ao seu redor: “Mais quarenta dias e Nínive será destruída!” 5A multidão acreditou nas suas palavras e foi proclamado um jejum geral. Todas as pessoas, inclusive o rei, se vestiram de pano de saco em sinal de contrição.

6O rei da cidade, quando ouviu o que Jonas proclamava, desceu do seu trono, pôs de parte as roupagens reais, vestiu-se daquele pano grosseiro e sentou-se sobre cinza. 7Tanto ele como a sua corte mandaram por toda a cidade a seguinte mensagem: “Que ninguém, nem mesmo os animais, coma seja o que for nem beba água. 8Toda a gente deve vestir-se de pano de saco e clamar fervorosamente a Deus. Que todos se arrependam das suas más ações e das violências que têm praticado. 9Talvez Deus acabe por permitir que vivamos e desista da sua tremenda ira!”

10Quando Deus viu que estavam verdadeiramente decididos a pôr termo aos seus maus caminhos, desistiu da intenção de os destruir.