Yona 2 – NEN & NTLR

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yona 2:1-10

Maombi Ya Yona Katika Tumbo La Nyangumi

1Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake. 22:2 Za 18:6; 120:1; 86:13; Mao 3:55Akasema:

“Katika shida yangu nalimwita Bwana,

naye akanijibu.

Kutoka kina cha kaburi2:2 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. niliomba msaada,

nawe ukasikiliza kilio changu.

32:3 Za 88:6; 42:7; 2Sam 22:5Ulinitupa kwenye kilindi,

ndani kabisa ya moyo wa bahari,

mikondo ya maji ilinizunguka,

mawimbi yako yote na viwimbi

vilipita juu yangu.

42:4 Za 31:22; Yer 7:15; Isa 49:14; 1Fal 8:38, 48Nikasema, ‘Nimefukuziwa

mbali na uso wako,

hata hivyo nitatazama tena

kuelekea Hekalu lako takatifu.’

52:5 Za 69:1-2Maji yaliyonimeza yalinitisha,

kilindi kilinizunguka;

mwani2:5 Mwani hapa maana yake ni magugu yaotayo kwenye sakafu ya kilindi cha bahari. ulijisokota kichwani pangu.

62:6 Ay 28:9; 17:16; 33:18; Za 30:3Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,

makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele.

Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni,

Ee Bwana Mungu wangu.

72:7 Za 11:4; 18:6; 77:11-12; 34:6; 130:2; Yer 2:13; 2Nya 30:27“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,

nilikukumbuka wewe, Bwana,

nayo maombi yangu yalikufikia wewe,

katika Hekalu lako takatifu.

82:8 1Sam 12:21; Yer 10:8; 2Fal 17:15; Za 31:6; Kum 32:21“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa

hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.

92:9 Hos 14:2; Ebr 13:15; Hes 30:2; Kut 15:2; Za 50:14; 116:14; 66:13-15; 3:8; 42:4Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,

nitakutolea dhabihu.

Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza.

Wokovu watoka kwa Bwana.”

102:10 Yn 1:17; Mt 8:9Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

Nouă Traducere În Limba Română

Iona 2:1-10

Rugăciunea lui Iona

1Iona s‑a rugat Domnului, Dumnezeul său, din pântecul peștelui 2și a zis:

„În strâmtorarea mea L‑am chemat pe Domnul

și El mi‑a răspuns.

Din pântecul Locuinței Morților2 Ebr.: Șeol am strigat după ajutor

și Tu mi‑ai auzit glasul.

3Mă aruncasei în adânc,

în inima mărilor,

și curentul de apă mă învăluise.

Toate talazurile și valurile Tale

treceau peste mine.

4Ziceam: «Sunt alungat

dinaintea ochilor Tăi.

Totuși, mă voi uita din nou

la Templul Tău cel sfânt!»

5Apele mă împresuraseră până la gât,

adâncul mă învăluise,

iar algele se înfășuraseră în jurul capului meu.

6Coborâsem până în străfundurile munților,

și zăvoarele pământului mă încuiaseră pe vecie!

Dar Tu, Doamne, Dumnezeul meu,

mi‑ai scos viața din groapă!

7Când mi se scurgea sufletul din mine,

mi‑am adus aminte de Domnul

și rugăciunea mea a ajuns până la Tine,

în Templul Tău cel sfânt.

8Cei ce onorează idolii deșerți,

și‑au părăsit bunătatea.8 Sau: și‑au părăsit credincioșia.

9Dar eu Îți voi aduce jertfe

cu un strigăt de mulțumire.

Voi împlini ceea ce am jurat!

Mântuirea este a Domnului!“9 Sau: Mântuirea vine de la Domnul.

10Domnul i‑a vorbit peștelui, iar peștele l‑a vărsat pe Iona pe uscat.