Yohana 2 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 2:1-25

Arusi Huko Kana

12:1 Yn 4:46; 21:2; Mt 12:46Siku ya tatu kulikuwa na arusi katika mji wa Kana ya Galilaya, naye mama yake Yesu alikuwepo pale. 2Yesu pamoja na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa arusini pia. 3Divai ilipokwisha, mama yake Yesu akamwambia, “Wameishiwa na divai.”

42:4 Yn 19:26; Mt 8:26; 26:18; Yn 7:6Yesu akamwambia, “Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia.”

52:5 Mwa 41:55Mama yake akawaambia wale watumishi, “Lolote atakalowaambia, fanyeni.”

62:6 Mk 7:3-4; Yn 3:25Basi ilikuwepo mitungi sita ya kuhifadhia maji iliyotengenezwa kwa mawe kwa ajili ya kujitakasa kwa desturi ya Kiyahudi; kila mtungi ungeweza kuchukua vipipa viwili au vitatu.2:6 Kipipa kimoja chenye ujazo wa lita 40; hivyo kila mtungi ulikuwa na ujazo wa lita 80 au 120.

7Yesu akawaambia wale watumishi, “Ijazeni hiyo mitungi maji.” Nao wakaijaza ile mitungi mpaka juu.

8Kisha akawaambia, “Sasa choteni hayo maji kidogo, mpelekeeni mkuu wa meza.”

Hivyo wakachota, wakampelekea. 92:9 Yn 4:46Yule mkuu wa meza akayaonja yale maji ambayo yalikuwa yamebadilika kuwa divai. Hakujua divai hiyo ilikotoka ingawa wale watumishi waliochota yale maji wao walifahamu. Basi akamwita bwana arusi kando 10akamwambia, “Watu wote hutoa kwanza divai nzuri, kisha huleta ile divai hafifu wageni wakisha kunywa vya kutosha, lakini wewe umeiweka ile nzuri kupita zote mpaka sasa.”

112:11 Mt 12:38; Yn 1:14; Kut 14:31Huu, ndio uliokuwa muujiza wa kwanza Yesu aliofanya Kana ya Galilaya. Hivyo Yesu alidhihirisha utukufu wake, nao wanafunzi wake wakamwamini.

Yesu Atakasa Hekalu

(Mathayo 21:12-13; Marko 11:15-17; Luka 19:45-46)

12Baada ya hayo, Yesu pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, walishuka mpaka Kapernaumu, wakakaa huko siku chache.

132:13 Yn 11:55; Kum 16:1-6; Lk 2:41Ilipokaribia wakati wa Pasaka ya Wayahudi, Yesu alipanda kwenda Yerusalemu. 142:14 Mt 21:12; Mk 11:15; Lk 19:452:14 Mt 21:12, 13; Mk 11:15-17; Lk 19:45, 46Huko Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ngʼombe, kondoo na njiwa, nao wengine walikuwa wameketi mezani wakibadili fedha. 15Akatengeneza mjeledi kutokana na kamba, akawafukuza wote kutoka kwenye eneo la Hekalu, pamoja na kondoo na ngʼombe. Akazipindua meza za wale wabadili fedha na kuzimwaga fedha zao. 162:16 Lk 2:49Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, “Waondoeni hapa! Mnathubutuje kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa mahali pa biashara?”

172:17 Za 69; 9Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa imeandikwa: “Wivu wa nyumba yako utanila.”

182:18 Mt 12:38Ndipo Wayahudi wakamuuliza, “Unaweza kutuonyesha ishara gani ili kuthibitisha mamlaka uliyo nayo ya kufanya mambo haya?”

192:19 Mt 26:61; Mdo 6:14Yesu akawajibu, “Libomoeni hili Hekalu, nami nitalijenga tena kwa siku tatu!”

20Wale Wayahudi wakamjibu, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita, nawe wasema utalijenga kwa siku tatu?” 212:21 1Kor 6:19Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake. 222:22 Lk 24:5-8; Yn 14:26Baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka yale aliyokuwa amesema. Ndipo wakayaamini Maandiko na yale maneno Yesu aliyokuwa amesema.

232:23 Yn 3:15Ikawa Yesu alipokuwa Yerusalemu kwenye Sikukuu ya Pasaka, watu wengi waliona ishara na miujiza aliyokuwa akifanya, wakaamini katika jina lake. 24Lakini Yesu hakujiaminisha kwao kwa sababu aliwajua wanadamu wote. 252:25 Kum 31:21; Mt 9:4Hakuhitaji ushuhuda wa mtu yeyote kuhusu mtu, kwa kuwa alijua yote yaliyokuwa moyoni mwa mtu.

Swedish Contemporary Bible

Johannes 2:1-25

Jesus förvandlar vatten till vin

1På tredje dagen2:1 Dvs. Två dagar senare hölls ett bröllop i Kana i Galileen, och Jesus mor var där. 2Jesus och hans lärjungar var också inbjudna dit. 3Vinet tog slut, och Jesus mor sa då till honom: ”De har inget vin.”

4”Lämna mig ifred, kvinna”, svarade han. ”Min stund har inte kommit än.”

5Men hans mor sa till tjänarna: ”Gör precis som han säger.”

6Där fanns sex stora stenkrukor för de judiska reningsceremonierna. Krukorna rymde omkring hundra liter var. 7Jesus sa nu till dem: ”Fyll krukorna med vatten”, och när alla krukorna var helt fulla, 8sa han: ”Ös upp och ge det till bröllopsvärden.” Och de gjorde så.

9Värden smakade på vattnet, som nu hade förvandlats till vin. Men eftersom han inte visste varifrån det kom – bara tjänarna som hade öst upp vattnet kände till det – kallade han på brudgummen och sa: 10”Alla bjuder ju först på det utsökta vinet och på sämre vin när gästerna börjar bli berusade. Men du har sparat det bästa till sist!”

11Genom detta sitt första tecken i Kana i Galileen visade Jesus sin härlighet, och hans lärjungar trodde på honom.

12Därefter gick Jesus ner till Kafarnaum tillsammans med sin mor, sina bröder och sina lärjungar, och de stannade där under några dagar.

Jesus rensar templet

(Matt 21:12-13; Mark 11:15-17; Luk 19:45-46)

13När påskhögtiden2:13 Se not till Matt 26:59. närmade sig gick Jesus till Jerusalem. 14I templet fann han dem som sålde oxar, får och duvor, och dem som satt och växlade pengar.2:14 Djuren skulle användas till offer i templet. 15Jesus gjorde sig en piska av några repstumpar och drev ut allihop från tempelområdet tillsammans med fåren och oxarna. Han slog ut myntväxlarnas pengar och välte deras bord, 16och till dem som sålde duvor sa han: ”Ta bort allt detta härifrån! Gör inte min Faders hus till en marknadsplats!”

17Då kom hans lärjungar ihåg att det stod skrivet: ”Min iver för ditt tempel förtär mig.”2:17 Se Ps 69:10.

18Men judarna sa till honom: ”Vad kan du visa oss för tecken, när du nu gör så här?”

19Jesus svarade: ”Riv ner det här templet, så ska jag resa upp det igen på tre dagar.”

20Judarna sa: ”Detta tempelbygge har pågått i fyrtiosex år, och du menar att du kan resa upp det på tre dagar!” 21Men det tempel Jesus talade om var hans egen kropp. 22När han sedan uppstod från de döda kom hans lärjungar ihåg att han hade sagt detta, och de trodde på Skriften och på det ord Jesus själv hade talat.

23Tack vare de tecken han gjorde i Jerusalem under påskhögtiden började många tro på hans namn. 24Men Jesus litade inte på någon, för han kände alla. 25Han behövde inte någons vittnesbörd om människan, för han visste vad som fanns i människan.