Yohana 17 – NEN & SZ-PL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 17:1-26

Yesu Ajiombea Mwenyewe

117:1 Yn 11:41; 12:23; 13:31, 32Baada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema:

“Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe. 217:2 Dan 7:14; Yn 6:37, 39Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. 317:3 Flp 3:8; Yn 17:8, 18, 21, 23, 25; 3:17Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. 417:4 Yn 13:31; 19:30Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye. 517:5 Flp 2:6; Yn 1:2Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ulimwengu haujakuwepo.

Yesu Awaombea Wanafunzi Wake

617:6 Yn 17:26; 1:18“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako. 7Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako, 817:8 Yn 8:26; 1:18kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma. 917:9 Lk 22:32Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako. 1017:10 Yn 16:15Wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao. 1117:11 Yn 13:1; 17:13; 7:33; 17:21-23; Za 133:1; Yn 10:30Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa jina lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja. 1217:12 Yn 6:39; 6:70Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda, wakawa salama kwa lile jina ulilonipa. Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa upotevu, ili Maandiko yapate kutimia.

1317:13 Yn 3:29“Lakini sasa naja kwako, nami ninasema mambo haya wakati bado nikiwa ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu kamili ndani yao. 1417:14 Yn 15:19; 8:23; 1Yn 3:13; Yn 17:16Nimewapa neno lako, nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu huu. 1517:15 Mt 5:37Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu. 1617:16 Yn 17:14Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu. 1717:17 2Sam 7:28; Yn 15:3; 1Fal 17:24Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli. 1817:18 Yn 17:3, 8, 21, 23, 25; 20:21Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo. 1917:19 Yn 17:17; 1Kor 1:2, 30; 1The 4:7; Ebr 10:10Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.

Yesu Awaombea Wote Wamwaminio

2017:20 Yn 17:9“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao 2117:21 Gal 3:28; Rum 12:5; Yn 10:38; 14:11ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi. 2217:22 Yn 14:20; 1Yn 1:2; 3:24Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja. 2317:23 Yn 3:17; 16:27; Kol 3:14Mimi ndani yako na wewe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja na ulimwengu upate kujua ya kuwa umenituma, nami nimewapenda wao kama unavyonipenda mimi.

2417:24 Yn 12:26; 1:14; Mt 25:34; Yn 1:2“Baba, shauku yangu ni kwamba, wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili waweze kuuona utukufu wangu, yaani, utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.

2517:25 Yn 15:21; 16:3; 3:17; 7:29“Baba Mwenye Haki, ingawa ulimwengu haukujui, mimi ninakujua, nao wanajua ya kuwa umenituma. 26Nimefanya jina lako lijulikane kwao nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili kwamba upendo ule unaonipenda mimi uwe ndani yao na mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.”

Słowo Życia

Jana 17:1-26

Jezus modli się za siebie

1Gdy Jezus skończył rozmowę z nimi, spojrzał w niebo i rzekł:

—Ojcze, nadszedł już czas. Otocz swojego Syna chwałą, aby i On otoczył chwałą Ciebie. 2Udzieliłeś Mi władzy nad każdym człowiekiem po to, abym dał życie wieczne wszystkim, których Mi powierzyłeś. 3A życie wieczne polega na poznaniu Ciebie—jedynego, prawdziwego Boga, i Jezusa Chrystusa, którego posłałeś. 4Otoczyłem Cię chwałą na ziemi, bo wykonałem zadanie, które Mi zleciłeś. 5Teraz więc, Ojcze, otocz Mnie tą chwałą, którą miałem u Ciebie, zanim powstał świat.

Jezus modli się za uczniów

6Objawiłem Cię ludziom, których Mi dałeś ze świata. Należeli do Ciebie i powierzyłeś Mi ich, a oni zachowali Twoje słowo. 7Już wiedzą, że wszystko, co mam, pochodzi od Ciebie. 8Przekazałem im Twoje polecenia, a oni je przyjęli i rozpoznali, że to Ty Mnie posłałeś. 9Właśnie za nich się modlę. Nie za świat, lecz za tych, których Mi powierzyłeś, bo należą do Ciebie. 10Wszystko, co należy do Mnie, jest Twoje, a Twoje—jest moje. Oni zaś oddają Mi chwałę. 11Ja opuszczam ten świat i idę do Ciebie, ale oni zostają. Dlatego, Ojcze święty, ochraniaj ich mocą Twojego imienia, które Mi dałeś. I spraw, aby żyli w takiej jedności, jak My. 12Dopóki z nimi byłem, sam ochraniałem ich mocą Twojego imienia, którą Mi dałeś. Strzegłem ich i nie zginął nikt z nich, z wyjątkiem syna zatracenia—jak przepowiedziało Pismo. 13Teraz zaś idę do Ciebie i mówię im o tym, aby napełniała ich moja radość. 14Przekazałem im Twoje słowo, a świat ich znienawidzi, ponieważ—tak jak Ja—nie należą do niego. 15Nie proszę, abyś ich stąd zabrał, lecz abyś chronił ich przed złem. 16Tak jak i Ja, nie należą oni do świata. 17Spraw, aby byli oddani prawdzie, którą jest Twoje słowo. 18Tak jak Ty posłałeś Mnie na świat, tak teraz Ja posyłam ich do innych ludzi. 19Za nich też poświęcam siebie, aby byli oddani prawdzie.

Jezus modli się za wszystkich wierzących

20Modlę się nie tylko za nich, ale także za tych, którzy dzięki ich słowom uwierzą Mi. 21Ojcze, niech wszyscy oni żyją w jedności, jak Ty we Mnie, a Ja w Tobie. Niech będą w jedności z nami, aby świat uwierzył, że to Ty Mnie posłałeś! 22Obdarzyłem ich też chwałą, którą Mi dałeś, aby żyli w jedności, tak jak My: 23Ja w nich, a Ty we Mnie—aby żyli w doskonałej jedności, wtedy bowiem świat zrozumie, że Mnie posłałeś i że ukochałeś ich tak jak Mnie. 24Ojcze, chcę, aby ci, których Mi powierzyłeś, byli ze Mną tam, gdzie Ja będę, i aby mogli widzieć chwałę, którą Mi dałeś. Ukochałeś Mnie bowiem, zanim powstał świat. 25Sprawiedliwy Ojcze! Świat Cię nie poznał, ale Ja Cię znam. I oni również wiedzą, że to Ty Mnie posłałeś. 26Objawiłem im bowiem Ciebie i nadal będę objawiać, aby doświadczyli tej wspaniałej miłości, jaką Mnie obdarzasz, i abym mógł w nich trwać.