Yohana 12 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 12:1-50

Maria Ampaka Yesu Mafuta Huko Bethania

(Mathayo 26:6-13; Marko 14:3-9)

112:1 Yn 11:55; Mt 21:17Siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alikwenda Bethania mahali ambako Lazaro aliyekuwa amefufuliwa na Yesu alikuwa anaishi. 212:2 Lk 10:38-42Wakaandaa karamu kwa heshima ya Yesu. Martha akawahudumia wakati Lazaro alikuwa miongoni mwa waliokaa mezani pamoja na Yesu. 312:3 Yn 11:12Kisha Maria akachukua chupa ya painti moja12:3 Painti moja ni kama nusu lita. yenye manukato ya nardo12:3 Nardo ni aina ya mafuta yaliyokuwa yanatengenezwa kutokana na mimea yenye mizizi inayotoa harufu nzuri. safi ya thamani kubwa, akayamimina miguuni mwa Yesu na kuifuta kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu nzuri ya manukato.

412:4 Mt 10:4Ndipo Yuda Iskariote mwana wa Simoni, mmoja wa wale wanafunzi ambaye ndiye angemsaliti Yesu, akasema, 5“Kwa nini manukato haya hayakuuzwa kwa dinari 30012:5 Dinari 300 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 300. na fedha hizo wakapewa maskini?” 612:6 Yn 13:29Yuda alisema hivi si kwa kuwa aliwajali maskini, bali kwa kuwa alikuwa mwizi, kwani ndiye alikuwa akitunza mfuko wa fedha akawa anaiba kile kilichowekwa humo.

712:7 Yn 19:40Yesu akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu. 812:8 Kum 15:11Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.”

Shauri La Kumuua Lazaro

912:9 Yn 11:43, 44Umati mkubwa wa Wayahudi walipojua kwamba Yesu alikuwa huko Bethania, walikuja si tu kwa ajili ya Yesu, lakini pia kumwona Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua. 1012:10 Lk 16:31Kwa hiyo viongozi wa makuhani wakafanya mpango wa kumuua Lazaro pia, 1112:11 Yn 11:45; 12:18kwa kuwa kutokana na habari za kufufuliwa kwake Wayahudi wengi walikuwa wanamwendea Yesu na kumwamini.

Kuingia Kwa Yesu Yerusalemu Kwa Ushindi

(Mathayo 21:1-11; Marko 1:1-11; Luka 19:28-40)

1212:12 Mt 21:8; Mk 11:8; Lk 19:35, 36Siku iliyofuata umati mkubwa uliokuwa umekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Yesu angekuja Yerusalemu. 1312:13 Za 118:25-26; Yn 1:49Basi wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki, huku wakipaza sauti wakisema,

“Hosana!”12:13 Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.

“Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”

“Amebarikiwa Mfalme wa Israeli!”

1412:14 Mt 21:7Yesu akamkuta mwana-punda akampanda, kama ilivyoandikwa,

1512:15 Zek 9:9“Usiogope, Ewe binti Sayuni;

tazama, Mfalme wako anakuja,

amepanda mwana-punda!”

1612:16 Lk 18:34; Yn 7:39Wanafunzi wake Yesu mwanzoni hawakuelewa mambo haya, lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka kuwa mambo haya yalikuwa yameandikwa kwa ajili yake na alitendewa yeye.

1712:17 Yn 11:42Wale waliokuwepo wakati Yesu alipomwita Lazaro kutoka kaburini na kumfufua kutoka kwa wafu, waliendelea kushuhudia. 1812:18 Yn 12:11; 19:37Ni kwa sababu pia walikuwa wamesikia kwamba alikuwa ametenda muujiza huu ndiyo maana umati wa watu ukaenda kumlaki. 1912:19 Yn 11:47, 48Hivyo Mafarisayo walipoona hayo wakaambiana, “Mnaona, hamwezi kufanya lolote. Angalieni, ulimwengu wote unamfuata yeye!”

Yesu Anatabiri Kifo Chake

2012:20 Yn 7:35; Mdo 11:20Basi palikuwa Wayunani fulani miongoni mwa wale waliokuwa wamekwenda kuabudu wakati wa Sikukuu. 2112:21 Mt 11:21; Yn 1:44Hawa wakamjia Filipo, ambaye alikuwa mwenyeji wa Bethsaida huko Galilaya, wakiwa na ombi. Wakamwambia, “Tungependa kumwona Yesu.” 22Filipo akaenda akamweleza Andrea, nao wote wawili wakamwambia Yesu.

2312:23 Yn 13:32; 17:1Yesu akawajibu, “Saa imewadia ya Mwana wa Adamu kutukuzwa. 2412:24 1Kor 15:36Amin, amin nawaambia, mbegu ya ngano isipoanguka ardhini na kufa, hubakia kama mbegu peke yake. Lakini ikifa huzaa mbegu nyingi. 2512:25 Mk 8:35; Lk 14:26Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. 2612:26 Flp 1:23Mtu yeyote akinitumikia lazima anifuate, nami mahali nilipo ndipo mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu akinitumikia, Baba yangu atamheshimu.

2712:27 Mt 26:38, 39; Lk 12:50; Yn 13:21; Lk 22:53; Yn 18:37“Sasa roho yangu imefadhaika sana. Niseme nini? ‘Baba, niokoe katika saa hii.’ Lakini ni kwa kusudi hili nimeufikia wakati huu. 2812:28 Mt 3:17Baba, litukuze jina lako.”

Ndipo ikaja sauti kutoka mbinguni, “Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.” 2912:29 Lk 22:43Ule umati wa watu uliokuwa mahali pale uliisikia nao ukasema, “Hiyo ni sauti ya radi,” wengine wakasema, “Malaika ameongea naye.”

3012:30 Kut 19:9Yesu akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu. 3112:31 Yn 16; 11; Efe 2:2; 1Yn 5:19Sasa ni saa ya hukumu kwa ajili ya ulimwengu huu, sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje. 3212:32 Isa 11:10; Yn 3:14; 6:44Lakini mimi, nikiinuliwa kutoka nchi, nitawavuta watu wote waje kwangu.” 3312:33 Yn 18:32; 21:19Yesu aliyasema haya akionyesha ni kifo gani atakachokufa.

3412:34 Za 110:4; Isa 9:7; Mt 8:20; Yn 3:14Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo12:34 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?”

3512:35 Yn 1:9; 8:12; 9:5; Yer 13:16; Efe 5:8; 1Yn 2:11Ndipo Yesu akawaambia, “Bado kitambo kidogo nuru ingalipo pamoja nanyi. Enendeni maadamu mna nuru, msije mkakumbwa na giza. Mtu anayetembea gizani hajui anakokwenda. 3612:36 Lk 16:8; Efe 5:8; 1The 5:5; 1Yn 2:9, 10, 11; Yn 8:59; 11:54Wekeni tumaini lenu katika nuru hiyo ili mpate kuwa wana wa nuru.” Baada ya kusema haya, Yesu aliondoka, akajificha wasimwone.

Wayahudi Waendelea Kutokuamini

3712:37 Yn 2:11Hata baada ya Yesu kufanya miujiza hii yote mbele yao, bado hawakumwamini. 3812:38 Isa 53:1; Rum 10:16Hili lilikuwa ili kutimiza lile neno la nabii Isaya lililosema:

“Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu,

na mkono wa Bwana umefunuliwa kwa nani?”

3912:39 Isa 6:9, 10; Mt 13:14, 15Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:

4012:40 Isa 6:10; Mt 13:13, 15“Amewafanya vipofu,

na kuifanya mioyo yao kuwa migumu,

ili wasiweze kuona kwa macho yao,

wala kuelewa kwa mioyo yao,

wasije wakageuka nami nikawaponya.”

4112:41 Isa 6:1-4; Lk 24:27Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Yesu na kunena habari zake.

4212:42 Yn 7:48; 9:22Lakini wengi miongoni mwa viongozi wa Wayahudi walimwamini, lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakukiri waziwazi kwa maana waliogopa kufukuzwa katika masinagogi. 4312:43 Yn 5:44; Rum 2:29Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.

Amwaminiye Yesu Hatabaki Gizani

4412:44 Mt 10:40; Yn 5:24Yesu akapaza sauti akasema, “Yeyote aniaminiye, haniamini mimi peke yangu, bali yeye aliyenituma. 4512:45 Yn 14:9Yeyote anionaye mimi, amemwona yeye aliyenituma. 4612:46 Yn 3:19; 8:12Mimi nimekuja kama nuru ulimwenguni, ili kwamba kila mtu aniaminiye asibaki gizani.

4712:47 Yn 3:17“Mimi simhukumu mtu yeyote anayesikia maneno yangu na asiyatii, kwa maana sikuja kuuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa. 4812:48 Yn 5:45Yuko amhukumuye yeye anikataaye mimi na kutokuyapokea maneno yangu, yaani, yale maneno niliyosema yenyewe yatamhukumu siku ya mwisho. 4912:49 Yn 14:31Kwa maana sisemi kwa ajili yangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma aliniamuru ni nini cha kusema na jinsi ya kukisema. 5012:50 Yn 8:26, 28Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.”

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי יוחנן 12:1-50

1ששה ימים לפני חג הפסח שב ישוע לבית־עניה, כפרו של אלעזר שהשיבו לחיים, 2ונערכה לכבודו ארוחת ערב חגיגית. אלעזר ישב עם ישוע בין האורחים, ואילו מרתא שרתה את האורחים. 3מרים לקחה מרקחת יקרה העשויה משמנים ובשמים ריחניים, משחה את רגליו של ישוע וניגבה אותן בשערותיה, ריח הניחוח מילא את כל הבית.

4אחד מתלמידיו אשר עמד להסגירו, יהודה איש קריות שמו, קרא: 5”המרקחת הזאת שווה הרבה כסף! היא הייתה יכולה למכור אותה ולחלק את הכסף לעניים.“ 6הוא לא דיבר מתוך דאגה לעניים, אלא מתוך דאגה לעצמו. יהודה היה הגזבר של קבוצת התלמידים, ולעתים קרובות משך מכספי הקבוצה לצרכיו הפרטיים.

7”הנח לה“, אמר ישוע. ”היא עשתה זאת כהכנה לקבורתי. 8העניים נמצאים אתכם תמיד, ואילו אני איני נמצא אתכם תמיד.“

9יהודים רבים שמעו על ביקורו של ישוע, ועל כן באו לראות אותו ואת אלעזר שהקים לתחייה. 10‏-11בינתיים החליטו ראשי הכוהנים להרוג גם את אלעזר, כי בגללו נהרו למקום יהודים רבים והאמינו שישוע הוא המשיח.

12למחרת התפשטה השמועה בכל העיר שישוע היה בדרכו לירושלים. אנשים רבים מבין החוגגים 13לקחו בידיהם כפות תמרים, הלכו לקראת ישוע וקראו: ”יחי המשיח! יחי מלך ישראל! ברוך הבא בשם ה׳ מלך ישראל!“

14ישוע בא לקראתם רכוב על חמור, ובכך קיים את הנבואה:12‏.14 יב 14 זכריה ט 9 15”אל תיראי, בת ציון, הנה מלכך יבוא לך רוכב על עיר בן אתונות.“

16תחילה לא הבינו תלמידיו שישוע קיים למעשה את הנבואה הזאת, אולם לאחר שישוע נתפאר בכבוד הם נזכרו במעשיו השונים אשר קיימו נבואות רבות מכתבי־הקודש.

17אנשים רבים בקהל אשר ראו את ישוע מקים את אלעזר לחיים, ספרו על כך לאחרים. 18אנשים רבים יצאו לקראתו, כי שמעו על הפלא הגדול שחולל.

19אולם הפרושים היו אובדי עצות. ”רואים אתם, נוצחנו. כל העולם נמשך אחריו!“ קראו. 20בין העולים לירושלים בחג הייתה גם קבוצת יוונים. 21הם הלכו לפיליפוס מבית־צידה שבגליל וביקשו: ”אדוני, אנחנו רוצים לפגוש את ישוע.“ 22פיליפוס מסר את ההודעה ל‎אַנְדְּרֵי, והשניים הלכו להתייעץ עם ישוע.

23”הגיעה השעה שיפואר בן־האדם“, אמר להם ישוע. 24”אני אומר לכם ברצינות: גרגר חיטה שנטמן באדמה צריך למות לפני שיוכל לשאת פרי רב, אחרת יישאר סתם גרגר בודד. 25האוהב את חייו על־פני האדמה – יאבד אותם; והשונא את חייו על־פני האדמה יזכה בחיי נצח.

26”הרוצה להיות תלמידי צריך ללכת בעקבותי, כי המשרתים אותי חייבים להיות במקום שאני נמצא. אלוהים אבי יכבד את כל אלה שהולכים בעקבותי ומשרתים אותי. 27כעת נבהלה נפשי, אולם איני יכול לבקש מאבי שיצילני מגורלי, שהרי לשם כך באתי לעולם. 28אבי, פאר את שמך!“

לפתע נשמע קול מהשמים: ”כבר פארתי ואוסיף לפאר.“ 29כל הנוכחים שמעו את הקול, אולם חלקם חשב שהיה זה קול רעם, וחלקם אמר שמלאך דיבר עם ישוע.

30”הקול הזה היה למענכם ולא למעני“, אמר להם ישוע. 31”עכשיו הגיע מועד משפטו של העולם, ושר העולם הזה (השטן) יגורש. 32וכאשר אנשא מן הארץ אמשוך אלי את כולם.“ 33הוא אמר זאת כדי לרמוז להם כיצד ימות.

34”אולם אנחנו למדנו מהתורה שהמשיח יחיה לנצח ולא ימות לעולם, אם כן מדוע אתה אומר שבן־האדם צריך להנשא מן הארץ? מי בן־האדם הזה?“ שאלו אותו.

35”האור יישאר אתכם עוד זמן קצר בלבד“, אמר ישוע. ”על כן, תנצלו את העובדה הזאת והתהלכו באור כל עוד אתם יכולים, מפני שעם רדת החשכה לא תוכלו למצוא את דרככם. 36האמינו באור לפני שיהיה מאוחר מדי, כדי שגם אתם תהיו בני האור.“ לאחר שסיים את דבריו הלך לדרכו, והם לא ראו אותו. 37על־אף הניסים הרבים שחולל ישוע, אנשים רבים לא האמינו שהוא המשיח. 38הנביא ישעיהו חזה מצב זה כשאמר:12‏.38 יב 38 ישעיהו נג 1 ”ה׳, מי האמין לשמועתנו, וזרוע ה׳ על־מי נגלתה?“ 39לכן הם לא יכלו להאמין. ישעיהו אף ניבא:12‏.39 יב 39 ראה ישעיהו ו 10 40”אלוהים סנוור את עיניהם והקשיח את לבם. משום כך הם אינם יכולים לראות, להבין או לשוב אליו כדי שירפא אותם.“ 41הנביא ישעיהו אמר דברים אלה על ישוע מפני שראה בחזונו את תפארתו.

42מנהיגי יהודים רבים האמינו כי ישוע הוא המשיח, אך לא הודו בזאת בפני איש, כי פחדו שהפרושים יטילו עליהם חרם. 43לאנשים אלה היה חשוב יותר לזכות בכבוד מבני־אדם מאשר מאלוהים.

44”אם אתם מאמינים בי, אתם מאמינים למעשה באלוהים“, קרא ישוע. 45”שהרי כל הרואה אותי רואה למעשה את שולחי. 46באתי להאיר ולזרוח בעולם חשוך זה, כדי שכל המאמין בי לא יתעה יותר בחשכה. 47לא באתי לשפוט את העולם, כי אם להושיעו, ועל כן לא אשפוט את אלה השומעים את דברי ואינם מקיימים אותם. 48דברי האמת שדיברתי ישפטו ביום הדין את כל אלה שדחוני ולעגו לי. 49כי איני מדבר אליכם על דעת עצמי; אני מוסר לכם מה שציווה עלי אבי לומר לכם. 50אני מוסר לכם בדיוק מה שמסר לי אבי, כי אני יודע שמצוותו תביא לכם חיי נצח.“