Yohana 11 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 11:1-57

Kifo Cha Lazaro

111:1 Mt 21:17; Lk 10:38Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa mgonjwa. Yeye alikuwa akiishi Bethania kijiji cha Maria na Martha dada zake. 211:2 Mk 14:3; Lk 7:38Huyu Maria, ambaye Lazaro kaka yake alikuwa mgonjwa, ndiye yule ambaye alimpaka Bwana mafuta na kuifuta miguu yake kwa nywele zake. 311:3 Yn 11:5, 36Hivyo hawa dada wawili walituma ujumbe kwa Yesu kumwambia, “Bwana, yule umpendaye ni mgonjwa.”

411:4 Yn 11:40Lakini Yesu aliposikia hayo, akasema, “Ugonjwa huu hautaleta mauti bali umetokea ili kudhihirisha utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu apate kutukuzwa kutokana na ugonjwa huu.” 5Pamoja na hivyo, ingawa Yesu aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu yao, 611:6 Yn 10:40baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.

711:7 Yn 10:40Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Haya, turudi Uyahudi.”

811:8 Mt 23:7; Yn 8:59; 10:31Wanafunzi wake wakamwambia, “Rabi, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”

911:9 Yn 9:4; 12:35Yesu akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wala watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa maana wanaona nuru ya ulimwengu huu. 1011:10 Yn 12:35Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”

1111:11 Mt 9:24; Lk 8:52Baada ya kusema haya, Yesu akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”

12Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.” 1311:13 Mt 9:24Hata hivyo, Yesu alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

14Kwa hiyo Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa. 15Hata hivyo nafurahi kwa kuwa sikuwepo huko kabla ya Lazaro kufa, ili mpate kuamini. Lakini sasa twendeni kwake.”

1611:16 Mt 10:3; Mdo 1:13Tomaso aliyeitwa Pacha akawaambia wanafunzi wenzake, “Sisi nasi twendeni tukafe pamoja naye.”

Yesu Ndiye Ufufuo Na Uzima

1711:17 Yn 11:6, 39Yesu alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne. 1811:18 Yn 11:1; Mt 21:17Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali wa karibu maili mbili,11:18 Maili mbili ni kama kilomita tatu. 1911:19 Yn 11:31; Ay 2:11na Wayahudi wengi walikuwa wamekuja kuwafariji Martha na Maria kwa ajili ya kufiwa na ndugu yao. 2011:20 Lk 10:38-42Martha aliposikia kwamba Yesu anakuja, alitoka kwenda kumlaki, ila Maria alibaki nyumbani.

2111:21 Yn 11:32, 37Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa. 2211:22 Yn 11:41, 42Lakini sasa ninajua kuwa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”

23Yesu akamwambia, “Ndugu yako atafufuka.”

2411:24 Dan 12:2; Mdo 24:15Martha akamjibu, “Ninajua ya kuwa atafufuka wakati wa ufufuo wa wafu siku ya mwisho.”

2511:25 Yn 1:4Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa atakuwa anaishi 2611:26 Yn 3:15; Mt 25:46na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?”

2711:27 Lk 2:11; Mt 4:3; 16:16; Yn 6:14Martha akamwambia, “Ndiyo Bwana, ninaamini ya kuwa wewe ndiwe Kristo,11:27 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. Mwana wa Mungu, yeye ajaye ulimwenguni.”

Yesu Alia

2811:28 Mt 26:18; Yn 13:13Baada ya kusema haya Martha alikwenda, akamwita Maria dada yake faraghani na kumwambia, “Mwalimu yuko hapa anakuita.” 29Maria aliposikia hivyo, akaondoka upesi akaenda mpaka alipokuwa Yesu. 3011:30 Yn 11:20; 13:13Yesu alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha. 3111:31 Yn 11:19; 8:59Wale Wayahudi waliokuwa pamoja na Maria nyumbani wakimfariji walipoona ameondoka haraka na kutoka nje, walimfuata wakidhani ya kwamba alikuwa anakwenda kule kaburini kulilia huko.

3211:32 Yn 11:21; 5:18Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa, alipiga magoti miguuni Pake na kusema, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.”

3311:33 Yn 11:38; 12:27; 13:21Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana. 34Akauliza, “Mmemweka wapi?”

Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”

3511:35 Lk 19:41Yesu akalia machozi.

3611:36 Yn 11:3Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama jinsi alivyompenda Lazaro!”

3711:37 Yn 9:6, 7; 11:21, 32Lakini wengine wakasema, “Je, yule aliyefungua macho ya kipofu, hakuweza kumfanya na huyu asife?”

Yesu Amfufua Lazaro

3811:38 Yn 11:33; Mt 27:60; Lk 24:2; Yn 20:1Yesu kwa mara nyingine akiwa amefadhaika sana, akafika penye kaburi. Hilo kaburi lilikuwa pango ambalo jiwe lilikuwa limewekwa kwenye ingilio lake. 3911:39 Yn 11:17Yesu akasema, “Liondoeni hilo jiwe.”

Martha ndugu yake yule aliyekuwa amekufa akasema, “Lakini Bwana, wakati huu atakuwa ananuka kwani amekwisha kuwa kaburini siku nne.”

4011:40 Yn 11:23-25Yesu akamwambia, “Sikukuambia kwamba kama ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”

4111:41 Yn 17:1; Mt 11:25Kwa hiyo wakaliondoa lile jiwe kutoka kaburini. Yesu akainua macho yake juu akasema, “Baba, ninakushukuru kwa kuwa wanisikia. 4211:42 Yn 12:30; 3:17Ninajua ya kuwa wewe hunisikia siku zote, lakini nimesema haya kwa ajili ya umati huu uliosimama hapa, ili wapate kuamini ya kuwa wewe umenituma.”

4311:43 Lk 7:14Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti yake akaita, “Lazaro, njoo huku!” 4411:44 Yn 19:40; 20:7Yule aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa vya kitani na leso usoni pake.

Yesu akawaambia, “Mfungueni, mwacheni aende zake.”

Shauri La Kumuua Yesu

(Mathayo 26:1-5; Marko 14:1-2; Luka 22:1-2)

4511:45 Yn 11:19; 2:23; 14Hivyo Wayahudi wengi waliokuwa wamekuja kumfariji Maria, walipoona yale Yesu aliyoyatenda wakamwamini. 46Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Yesu aliyoyafanya. 4711:47 Yn 2:11Kwa hiyo viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakaita mkutano wa baraza.

Wakaulizana, “Tufanyeje? Huyu mtu anafanya ishara nyingi. 48Kama tukimwacha aendelee hivi, kila mtu atamwamini, nao Warumi watakuja na kupaharibu mahali petu patakatifu na taifa letu.”

4911:49 Lk 3:2; Yn 18:14; Mdo 4:6Mmoja wao aliyeitwa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo, akasema, “Ninyi hamjui kitu chochote! 5011:50 Yn 18:14Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”

5111:51 Mwa 50:20; Kut 28:30; Hes 27:21Hakusema haya kutokana na mawazo yake mwenyewe bali kama kuhani mkuu mwaka huo, alitabiri kuwa Yesu angelikufa kwa ajili ya taifa la Wayahudi, 5211:52 Isa 49:6; Yn 10:16wala si kwa ajili ya taifa hilo pekee, bali pia kwa ajili ya watoto wa Mungu waliotawanyika, ili kuwaleta pamoja na kuwafanya wawe wamoja. 5311:53 Mt 12:14Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Yesu.

5411:54 Yn 7:1Kwa hiyo Yesu akawa hatembei hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa huko na wanafunzi wake.

5511:55 Kut 12:13, 23, 27; Mk 14:1; 2Nya 30:17-18Basi Pasaka ya Wayahudi ilipokuwa imekaribia, watu wengi walitoka vijijini wakaenda Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wakajitakase. 5611:56 Yn 7:11; 17:7Watu wakawa wanamtafuta Yesu, nao waliposimama kwenye eneo la Hekalu waliulizana, Je, mtu huyu hatakuja kamwe kwenye Sikukuu? 57Viongozi wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kuwa yeyote atakayejua mahali Yesu aliko, lazima atoe taarifa ili wapate kumkamata.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约翰福音 11:1-57

拉撒路病死

1伯大尼村有个名叫拉撒路的人病倒了。伯大尼玛丽亚和她姐姐玛大居住的村庄。 2就是这个玛丽亚后来用香膏抹主,又用自己的头发擦干祂的脚,患病的拉撒路是她的弟弟。 3她们姊妹两个托人去告诉耶稣,说:“主啊,你所爱的人病了!”

4耶稣听见后,说:“这病不会致命,而是为了上帝的荣耀,使祂的儿子借此得到荣耀。” 5耶稣一向爱玛大玛丽亚拉撒路6可是祂听到拉撒路有病的消息后,仍逗留了两天, 7然后才对门徒说:“我们去犹太吧!”

8门徒说:“老师,犹太人近来想拿石头打你,你还要去那里吗?”

9耶稣说:“白天不是有十二个小时吗?人在白天走路,不会跌倒,因为他看得见这世上的光。 10人在夜间走路,才会跌倒,因为没有光。” 11接着耶稣又说:“我们的朋友拉撒路已经睡了,我去叫醒他。”

12门徒说:“主啊,如果他睡了,肯定会好的。” 13其实耶稣是指他已经死了,门徒却以为他真的睡了。

14于是,耶稣清楚地对他们说:“拉撒路死了。 15为了你们的缘故,我很高兴自己不在那里,好叫你们信我。现在我们可以去了。” 16绰号“双胞胎”的多马对其他门徒说:“我们也去,好跟祂一块儿死吧。”

拉撒路死而复活

17耶稣到了伯大尼,得知拉撒路已经在坟墓里四天了。 18伯大尼耶路撒冷不远,大约只有三公里的路, 19很多犹太人来看玛大玛丽亚,为她们兄弟的事来安慰她们。

20玛大听说耶稣来了,就去迎接祂,玛丽亚却仍然坐在家里。 21玛大对耶稣说:“主啊,你如果早在这里,我弟弟就不会死了。 22就是现在我也知道你无论向上帝求什么,上帝必定赐给你。”

23耶稣说:“你弟弟必定复活。”

24玛大说:“我知道,在末日复活的时候,他必复活。”

25耶稣说:“我是复活,我是生命。信我的人虽然死了,也必复活。 26凡活着信我的人必永远不死。你相信吗?”

27玛大说:“主啊,我信!我相信你是来到世界的基督,是上帝的儿子。”

28玛大说完了,就回去悄悄地告诉她妹妹玛丽亚:“老师来了,祂叫你去。”

29玛丽亚听了,急忙起来到耶稣那里。 30那时,耶稣还没有进村子,仍在玛大迎接祂的地方。 31那些在家里安慰玛丽亚犹太人,见她匆匆忙忙地跑了出去,以为她要去坟墓那里哭,就跟着出去。

32玛丽亚来到耶稣那里,俯伏在祂脚前说:“主啊,你如果早在这里,我弟弟就不会死了。”

33耶稣看见她和陪她来的犹太人都在哭,心中感动,十分难过, 34便问:“你们把他葬在哪里了?”

他们答道:“主啊,你来看。”

35耶稣哭了。

36犹太人说:“你看!祂多么爱拉撒路啊!”

37其中也有人说:“祂既然能医好瞎眼的人,难道不能叫这个人不死吗?”

38耶稣又十分感动地来到坟墓前。那坟墓是个洞,洞口堵着一块大石头。

39耶稣说:“把石头挪开。”

死者的姐姐玛大对祂说:“主啊,他死了四天了,已经臭了。”

40耶稣说:“我不是跟你说过,只要你信,就会看见上帝的荣耀吗?”

41于是,他们把石头挪开,耶稣望着天说:“父啊,我感谢你,因为你已垂听了我的祷告, 42我知道你常常垂听我的祷告。我这样说是为了周围站着的众人,好叫他们相信是你差了我来。”

43说完,就大声呼喊:“拉撒路,出来!” 44那死者就出来了,手脚都缠着布条,脸上也包着布。

耶稣对他们说:“给他解开,让他走!”

谋害耶稣

45许多来看玛丽亚犹太人看见耶稣所行的事,就信了祂, 46但也有些人去见法利赛人,把耶稣所行的事告诉他们。 47祭司长和法利赛人便召开公会会议,说:“这人行了这么多神迹,我们该怎么办呢? 48如果让祂这样继续下去,所有的人都会信祂,那时罗马人一定会来夺取我们的土地,掳掠我们的人民。”

49当年担任大祭司的该亚法对他们说:“你们什么都不懂! 50你们没有认识到,祂一个人替众人死,而不是整个民族灭亡,对你们来说更好。” 51其实这句话不是出于他自己,只因那年他是大祭司,上帝借着他预言耶稣将要替犹太民族死。 52祂不单是要替犹太民族死,也要把散居在各处的上帝的儿女聚集在一起。

53从那天起,他们就计划要杀害耶稣, 54所以耶稣不再公开地在犹太人中间露面。祂离开伯大尼,前往靠近旷野的地方,到了以法莲城,就和门徒住下来。

55犹太人的逾越节快到了,有很多人从乡下上耶路撒冷,预备在过节前洁净自己。 56他们四处寻找耶稣,又彼此在圣殿里谈论:“你们怎么想?祂不会来过节吧?” 57当时祭司长和法利赛人早已下令,如果有人知道耶稣在哪里,就来报告,他们好去抓祂。