Yoeli 1 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoeli 1:1-20

11:1 2Pet 1:21; Ebr 1:1; Yer 1:2; Mdo 2:16Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.

Uvamizi Wa Nzige

21:2 Yoe 2:2, 16; Hos 4:1; 5:1; Isa 7:17; Kum 4:32; Dan 12:1; Mt 24:21Sikilizeni hili, enyi wazee;

sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika nchi.

Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea

katika siku zenu au katika siku za babu zenu?

31:3 Kut 10:2; Za 78:4Waelezeni watoto wenu,

na watoto wenu wawaambie watoto wao,

na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata.

41:4 Kut 10:4, 14-15; Amo 7:1; Neh 3:15; Kum 28:39Kilichosazwa na kundi la tunutu

nzige wakubwa wamekula,

kilichosazwa na nzige wakubwa

parare wamekula,

kilichosazwa na parare

madumadu wamekula.

51:5 Isa 24:7; 32:10; Yoe 3:3Amkeni, enyi walevi, mlie!

Pigeni yowe enyi wanywaji wote wa mvinyo,

pigeni yowe kwa sababu ya mvinyo mpya,

kwa kuwa mmenyangʼanywa

kutoka midomoni mwenu.

61:6 Yoe 2:2, 11, 25; Ufu 9:8; Mit 30:25; Za 105:35Taifa limevamia nchi yangu,

lenye nguvu tena lisilo na idadi;

lina meno ya simba,

magego ya simba jike.

71:7 Isa 5:8; Amo 4:9Limeharibu mizabibu yangu

na kuangamiza mitini yangu.

Limebambua magome yake

na kuyatupilia mbali,

likayaacha matawi yake yakiwa meupe.

81:8 Isa 22:2; Amo 8:10; Mit 2:17Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia

anayehuzunika kwa ajili ya mume wa ujana wake.

91:9 Yoe 2:14; Hos 9:4; Isa 22:12Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji

zimekatiliwa mbali kutoka nyumba ya Bwana.

Makuhani wanaomboleza,

wale wanaohudumu mbele za Bwana.

101:10 Isa 5:6; 24:4; Yer 3:3; Hos 9:2; Hes 18:12; Yer 12:11Mashamba yameharibiwa,

ardhi imekauka;

nafaka imeharibiwa,

mvinyo mpya umekauka,

mafuta yamekoma.

111:11 Yer 14:3; Ay 6:20; Amo 5:16; Kut 9:31; Isa 17:11Kateni tamaa, enyi wakulima,

lieni, enyi mlimao mizabibu;

huzunikeni kwa ajili ya ngano na shayiri,

kwa sababu mavuno ya shambani yameharibiwa.

121:12 Isa 15:6; Kut 28:33; Isa 16:8; Hos 9:1-2; Hag 2:19; Yer 48:33Mzabibu umekauka

na mtini umenyauka;

mkomamanga, mtende na mtofaa,

miti yote shambani, imekauka.

Hakika furaha yote ya mwanadamu

imeondoka.

Wito Wa Toba

131:13 Mwa 37:34; Yer 4:8; 2:17; Hos 9:4; Yoe 2:14Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze;

pigeni yowe, enyi mnaohudumu madhabahuni.

Njooni, vaeni nguo ya gunia usiku kucha,

enyi mnaohudumu mbele za Mungu wangu;

kwa kuwa sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji

zimezuiliwa kufika katika nyumba ya Mungu wenu.

141:14 2Nya 20:3-4; Yon 3:8; Hos 4:1Tangazeni saumu takatifu;

liiteni kusanyiko takatifu.

Iteni wazee

na wote waishio katika nchi

waende katika nyumba ya Bwana Mungu wenu,

wakamlilie Bwana.

151:15 Yer 30:7; 46:10; Isa 2:12; Eze 30:3; Amo 5:8Ole kwa siku hiyo!

Kwa kuwa siku ya Bwana iko karibu;

itakuja kama uharibifu

kutoka kwa Mwenyezi.1:15 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.

16Je, chakula hakikukatiliwa mbali

mbele ya macho yetu:

furaha na shangwe

kutoka nyumba ya Mungu wetu?

17Mbegu zinakauka

chini ya mabonge ya udongo.

Ghala zimeachwa katika uharibifu,

ghala za nafaka zimebomolewa,

kwa maana hakuna nafaka.

18Jinsi gani ngʼombe wanavyolia!

Makundi ya mifugo yanahangaika

kwa sababu hawana malisho;

hata makundi ya kondoo yanateseka.

19Kwako, Ee Bwana, naita,

kwa kuwa moto umeteketeza

malisho ya mbugani

na miali ya moto imeunguza

miti yote shambani.

20Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku;

vijito vya maji vimekauka,

na moto umeteketeza

malisho yote ya mbugani.

Japanese Contemporary Bible

ヨエル書 1:1-20

1

1ペトエルの息子ヨエルに、主から次のようなことばがありました。

いなごの来襲

2イスラエルの長老たちよ、聞きなさい。

すべての者よ、聞きなさい。

一生のうちに、いや、イスラエルの全歴史で、

これから話すようなことを、

聞いたことがあるだろうか。

3やがて時がきたら、

このことを子どもたちに話してやりなさい。

この恐ろしい話を代々語り伝えるのだ。

4歯のするどいいなごが作物を食いちぎると、

いなごの大群が残りを食いあさる。

そのあとをばったが襲い、

その残したものを、食い荒らすいなごがあさる。

5酔いどれどもよ、起きて泣け。

ぶどうがすべて荒らされ、

ぶどう酒がなくなったからだ。

6いなごの大群が地を覆う。

数えきれないほどの大群で、

ライオンのような鋭い歯を持った恐ろしい軍団だ。

7わたしのぶどうの木を荒らし、

いちじくの樹皮をはぎ取り、幹も枝も白く、

丸裸にしてしまう。

8婚約者の死を悲しむおとめのように、泣き悲しめ。

9主の神殿にささげる穀物とぶどう酒はなくなり、

祭司たちは喪に服す。

神に仕えるこの者たちの叫ぶ声を聞け。

10畑には作物がなく、

どこもかしこも嘆きと悲しみでいっぱいだ。

穀物も、ぶどうも、オリーブ油もなくなった。

11あなたがた農夫は衝撃を受けて打ちのめされる。

あなたがたぶどう栽培者は嘆く。

小麦も大麦もなくなったので、

嘆き悲しめ。

12ぶどうの木は枯れ、いちじくの木はしおれ、

ざくろは枯れ、りんごの木はしなびた実をつける。

すべての喜びが消えうせてしまった。

悲しみなさい

13祭司たちよ、荒布をまとえ。

神に仕える者たちよ、

祭壇の前で夜どおし泣き明かせ。

あなたがたに必要な穀物やぶどう酒のささげ物が、

もうないからだ。

14断食を布告し、

聖なる集会に集まるよう呼びかけなさい。

主の神殿に、長老たちと全国民を集め、

神の前で泣き悲しめ。

15ああ、恐ろしい刑罰の日がこようとしている。

全能のお方からの破壊がすぐそこまできている。

16食べ物が私たちの目の前から消え、

神の神殿では、

喜びも楽しみも終わってしまう。

17種は土の中で腐り、納屋や穀物倉もからっぽだ。

穀物は畑で枯れてしまった。

18家畜は腹をすかしてうめき、

牧草がないので途方に暮れている。

羊は悲しい鳴き声を上げる。

19主よ、助けてください。

暑さで牧草は枯れ、

木々はすべて焼き尽くされました。

20野の獣も、水がないので

あなたに助けを求めています。

小川は干上がり、牧場は乾ききっています。