19:1 Mao 3:48; Isa 22:4; Za 119:136; Yer 13:17; 14:17; Mao 2:11Laiti kichwa changu kingekuwa chemchemi ya maji
na macho yangu yangekuwa kisima cha machozi!
Ningelia usiku na mchana
kwa kuuawa kwa watu wangu.
29:2 Hes 25:1; Hos 4:2; Za 55:7; Yer 23:10; Hos 7:4; 1Fal 19:10; Isa 24:16Laiti ningekuwa na nyumba
ya kukaa wasafiri jangwani,
ningewaacha watu wangu
na kwenda mbali nao,
kwa kuwa wote ni wazinzi,
kundi la watu wadanganyifu.
39:3 Kut 20:16; Mik 6:12; Amu 2:10; 1Sam 2:12; Za 64:3; Isa 44; 20; Yer 18:18“Huweka tayari ndimi zao kama upinde,
ili kurusha uongo;
wamekuwa na nguvu katika nchi
lakini si katika ukweli.
Wanatoka dhambi moja hadi nyingine,
hawanitambui mimi,”
asema Bwana.
49:4 Mik 7:5-6; Mwa 27:35; 2Sam 15:12; Kut 20:16; Law 19:16“Jihadhari na rafiki zako;
usiwaamini ndugu zako.
Kwa kuwa kila ndugu ni mdanganyifu,
na kila rafiki ni msingiziaji.
59:5 Za 15:2; Law 6:2; Isa 59:15Rafiki humdanganya rafiki,
hakuna yeyote asemaye kweli.
Wamefundisha ndimi zao kudanganya,
wanajichosha wenyewe katika kutenda dhambi.
69:6 Yer 5:27; Mit 1:24Unakaa katikati ya udanganyifu;
katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,”
asema Bwana.
79:7 Ay 28:1; Isa 1:28; Hos 11:8; Yer 6:27Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote:
“Tazama, nitawasafisha na kuwajaribu,
kwani ni nini kingine niwezacho kufanya
kwa sababu ya dhambi ya watu wangu?
89:8 Za 35:20; Yer 5:26; Isa 3:5Ndimi zao ni mshale wenye sumu,
hunena kwa udanganyifu.
Kwa kinywa chake kila mmoja huzungumza maneno mazuri na jirani yake,
lakini moyoni mwake humtegea mtego.
99:9 Kum 32:43; Isa 10:3Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya jambo hili?”
asema Bwana.
“Je, nisijilipizie kisasi
kwa taifa kama hili?”
109:10 Hos 4:3; Yoe 1:18; Yer 31:35; 32:18; 23:10; 4:25; 12:4Nitalia na kuomboleza kwa ajili ya milima
na kuomboleza kuhusu malisho ya jangwani.
Yamekuwa ukiwa, wala hakuna apitaye humo,
milio ya ngʼombe haisikiki.
Ndege wa angani wametoroka
na wanyama wamekimbia.
119:11 Ay 30:29; Isa 34:13; Law 26:31; Mao 1:4; Yer 26:18; Isa 25:2“Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu,
makao ya mbweha;
nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa
ili asiwepo atakayeishi humo.”
129:12 Za 107:43; Hos 14:9Ni mtu yupi aliye na hekima ya kutosha ayaelewe haya? Ni nani aliyefundishwa na Bwana awezaye kuyaeleza haya? Kwa nini nchi imeharibiwa na kufanywa ukiwa kama jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?
139:13 2Nya 7:19; Za 89:30-32Bwana akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu. 149:14 Amo 2:4; Yer 3:17; 7:24; 2:8Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.” 159:15 Mao 3:15; Yer 8:14; Za 80:5Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: “Tazama, nitawafanya watu hawa wale chakula kichungu na kunywa maji yenye sumu. 169:16 Law 26:33; Kum 28:64; 4:32; Eze 5:12; Yer 44:27; 8:19Nitawatawanya katika mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuwajua, nikiwafuata kwa upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”
179:17 2Nya 35:25; Amo 5:15-16; Mhu 12:5Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:
“Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje,
waite wale walio na ustadi kuliko wote.
189:18 Za 119:136; Mao 3:48; Yer 14:17Nao waje upesi
na kutuombolezea,
mpaka macho yetu yafurike machozi
na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.
199:19 Law 18:29; Yer 4:13Sauti ya kuomboleza imesikika kutoka Sayuni:
‘Tazama jinsi tulivyoangamizwa!
Tazama jinsi aibu yetu ilivyo kubwa!
Ni lazima tuihame nchi yetu
kwa sababu nyumba zetu zimekuwa magofu.’ ”
209:20 Isa 32:9-13; Yer 23:16Basi, enyi wanawake, sikieni neno la Bwana;
fungueni masikio yenu msikie maneno ya kinywa chake.
Wafundisheni binti zenu kuomboleza;
fundishaneni kila mmoja na mwenzake maombolezo.
219:21 2Nya 36:17; Isa 40:30; Yoe 2:9; Yer 16:6Mauti imeingia ndani kupitia madirishani,
imeingia kwenye majumba yetu ya fahari;
imewakatilia mbali watoto katika barabara
na vijana waume kutoka viwanja vya miji.
229:22 2Fal 9:37; Yer 8:2Sema, “Hili ndilo asemalo Bwana:
“ ‘Maiti za wanaume zitalala
kama mavi katika mashamba,
kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji,
wala hakuna anayekusanya.’ ”
239:23 Ay 4:12; Isa 5:21; Mhu 9:11; Za 62:10; 1Fal 20:11; Mit 11:28; Eze 28:4-5; Yer 48:7Hili ndilo asemalo Bwana:
“Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake,
au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake,
wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,
249:24 Gal 6:14; 2Kor 10:17; Za 34:2; Mik 6:8; Za 36:6; 1Kor 1:31lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili:
kwamba ananifahamu na kunijua mimi,
kwamba mimi ndimi Bwana, nitendaye wema,
hukumu na haki duniani,
kwa kuwa napendezwa na haya,”
asema Bwana.
259:25 Law 26:41; Rum 2:8-9; Amo 3:2“Siku zinakuja, nitakapowaadhibu wale wote ambao wametahiriwa kimwili tu, asema Bwana, 269:26 Yer 25:23; 49:32; Mdo 7:51; Rum 2:28; Eze 31:18; 1Sam 14:6yaani Misri, Yuda, Edomu, Amoni, Moabu na wote wanaoishi jangwani sehemu za mbali. Kwa maana mataifa haya yote hayakutahiriwa mioyo yao, nayo nyumba yote ya Israeli haikutahiriwa.”
Un peuple de menteurs
1Oh ! que n’ai-je, au désert, ╵un gîte de nomades !
Je quitterais mon peuple ╵et je m’en irais loin de lui,
car ce sont tous des adultères,
une bande de traîtres !
2Leur langue est comme un arc tendu
décochant le mensonge,
ce n’est pas pour la vérité9.2 Autre traduction : par la vérité.
qu’ils dominent dans le pays,
ils font méfait après méfait
et ils ne me connaissent pas,
l’Eternel le déclare.
3Que chacun se méfie ╵de son prochain
et ne vous fiez pas ╵à votre parenté ;
car chacun s’applique à tromper ╵les membres de sa parenté.
Chacun s’en va ╵en répandant des calomnies, ╵au sujet de son compagnon.
4Chacun se joue de son prochain.
Plus de paroles vraies !
Ils exercent leur langue ╵à dire des mensonges.
Ils s’épuisent par leurs péchés.
5Tu vis au milieu de la tromperie.
Parce qu’ils sont trompeurs, ╵ils refusent de me connaître,
l’Eternel le déclare.
6C’est pourquoi, ainsi parle ╵le Seigneur des armées célestes :
Voici : je vais les fondre ╵au creuset de l’épreuve
car que ferais-je d’autre ╵avec la communauté de mon peuple9.6 avec la communauté de mon peuple. L’ancienne version grecque et la version syriaque ont ici un mot en plus : devant la méchanceté de la communauté de mon peuple. ?
7Leur langue est une flèche ╵semant la mort,
ils ont le mensonge à la bouche,
et l’on parle de paix ╵à son prochain,
alors que, dans le cœur, ╵on lui prépare un piège.
8N’interviendrais-je pas ╵contre ces gens pour tout cela ?
demande l’Eternel.
Et ne ferais-je pas payer ╵un pareil peuple ?
Pleurs et gémissements
9Je ferai retentir ╵pleurs et gémissements
à cause des montagnes,
et des lamentations
pour les prés de la steppe,
car ils sont tous brûlés :
plus personne n’y passe
et l’on n’y entend plus ╵les cris des animaux :
ni des oiseaux, ni du bétail.
Tous, ils ont pris la fuite, ╵ils sont partis.
10Je ferai de Jérusalem ╵un monceau de décombres,
un gîte de chacals ;
des villes de Juda, ╵je ferai une terre dévastée,
sans habitants.
11Quel est l’homme assez sage ╵pour comprendre cela ?
Si l’Eternel lui a parlé, ╵qu’il nous répète ses propos !
Et qu’il nous dise ╵pourquoi ce pays est détruit,
brûlé comme un désert ╵où personne ne passe ?
12L’Eternel déclare : Tout cela leur arrive parce qu’ils ont abandonné ma Loi que j’avais placée devant eux, et ils ne m’ont pas écouté ; ils n’ont pas obéi à ma loi. 13Mais ils se sont conduits selon les penchants de leur cœur obstiné et ils se sont attachés aux Baals que leurs pères leur ont fait connaître. 14Voilà pourquoi le Seigneur des armées célestes, le Dieu d’Israël, le déclare : Je vais faire avaler de l’absinthe à ce peuple et je lui ferai boire des eaux empoisonnées ; 15je les disperserai au milieu de peuples étrangers qu’ils n’ont pas connus, ni eux, ni leurs ancêtres, et j’enverrai contre eux l’épée pour les frapper et les exterminer.
Pleurs sur Jérusalem
16Voici ce que déclare ╵le Seigneur des armées célestes :
Considérez ces choses,
convoquez les pleureuses9.16 Femmes spécialisées dans l’art de pleurer, de se lamenter et d’exécuter des chants funèbres lors des cérémonies de deuil (voir v. 19 ; Ez 32.16 ; Am 5.16). C’est pour leurs propres funérailles que les Israélites doivent convoquer les pleureuses.
et faites-les venir,
envoyez appeler ╵celles qui sont habiles ╵à la lamentation
et qu’elles viennent !
17Oui, qu’elles se dépêchent ╵pour prononcer sur nous ╵leurs cris plaintifs
et que nos yeux fondent en larmes
et que les pleurs ruissellent ╵de nos paupières.
18Car une voix plaintive ╵s’élève de Sion :
Nous sommes dévastés !
Nous sommes dans la honte
car nous avons quitté notre pays,
et nos maisons ╵ont été abattues.
19O femmes, écoutez ╵la parole de l’Eternel !
Et ouvrez vos oreilles pour entendre ╵ce que sa bouche a dit.
Enseignez à vos filles ╵une complainte
et que chacune apprenne ╵à sa meilleure amie ╵une lamentation.
20« Oh ! la mort a surgi, ╵grimpant par nos fenêtres,
pour pénétrer ╵dans nos belles maisons
et faire disparaître ╵les enfants de la rue
et les jeunes des places. »
21Proclame-le : ╵Voici ce que déclare l’Eternel :
Les cadavres des hommes ╵tomberont sur le sol
et resteront par terre ╵comme du fumier dans les champs,
comme des gerbes ╵que les moissonneurs laissent
et que personne ne ramasse.
Vraie et fausse sagesse
22L’Eternel dit ceci :
Que celui qui est sage ╵ne se glorifie pas ╵de sa sagesse ;
que celui qui est fort ╵ne se glorifie pas ╵de sa vigueur ;
que celui qui est riche ╵ne se glorifie pas ╵de sa richesse.
23Celui qui veut se glorifier, ╵qu’il se glorifie de ceci :
d’avoir l’intelligence ╵de me connaître,
moi qui suis l’Eternel9.23 Repris en 1 Co 1.31 ; 2 Co 10.17.,
qui agis avec bienveillance, ╵qui exerce le droit ╵et la justice sur la terre ;
car ce sont là ╵les choses qui me font plaisir,
l’Eternel le déclare.
24Or le temps vient, déclare l’Eternel, où moi j’interviendrai contre ceux qui sont circoncis seulement dans leur corps, 25contre les Egyptiens, les Judéens, les Edomites, les Ammonites, les Moabites et tous les habitants des abords du désert qui se rasent le haut des joues9.25 Pratique liée à l’idolâtrie, interdite aux Israélites (Lv 19.27 ; 21.5)., car tous ces peuples ne sont pas vraiment circoncis, et tout le peuple d’Israël a le cœur incirconcis.