Yeremia 45 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 45:1-5

Ujumbe Kwa Baruku

145:1 Yer 32:12; 36:18, 32; Isa 50:4; Yer 51:59; Kut 17:14; Za 40:7; 2Nya 36:5Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule: 2“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku: 345:3 Ay 23:2; Za 69:3; Isa 24:16; 1Kor 9:16; Mk 14:34; Rum 9:2; Ay 6:10; Ebr 4:3; Mt 11:24Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’ ”

445:4 Isa 5:5; Yer 11:17; Kum 30:9; Yer 42:10; 18:7-10; Kum 28:63Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote. 545:5 Mt 6:25-27, 33; Yer 21:9; 32:8; 11:11; 40:2; 2:35; Za 68:20Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’ ”

New International Reader’s Version

Jeremiah 45:1-5

The Lord Speaks to Baruch

1Jeremiah talked to Baruch, the son of Neriah. It was in the fourth year that Jehoiakim, the son of Josiah, was king of Judah. It was when Baruch had written down on a scroll the words Jeremiah the prophet told him to write. Jeremiah had said, 2“The Lord is the God of Israel. Baruch, he says to you, 3‘You have said, “How terrible it is for me! The Lord has added sorrow to my pain. I’m worn out from all my groaning. I can’t find any rest.” ’ 4But here is what the Lord has told me to say to you, Baruch. ‘The Lord says, “I will destroy what I have built up. I will pull up by the roots what I have planted. I will do this throughout the earth. 5So should you seek great things for yourself? Do not seek them. I will bring trouble on everyone,” announces the Lord. “But no matter where you go, I will let you escape with your life.” ’ ”