Ujumbe Kwa Baruku
145:1 Yer 32:12; 36:18, 32; Isa 50:4; Yer 51:59; Kut 17:14; Za 40:7; 2Nya 36:5Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule: 2“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku: 345:3 Ay 23:2; Za 69:3; Isa 24:16; 1Kor 9:16; Mk 14:34; Rum 9:2; Ay 6:10; Ebr 4:3; Mt 11:24Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’ ”
445:4 Isa 5:5; Yer 11:17; Kum 30:9; Yer 42:10; 18:7-10; Kum 28:63Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote. 545:5 Mt 6:25-27, 33; Yer 21:9; 32:8; 11:11; 40:2; 2:35; Za 68:20Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’ ”
Послание Баруху
1Вот что сказал пророк Иеремия Баруху, сыну Нерии, в четвёртом году правления иудейского царя Иоакима, сына Иосии (в 605 г. до н. э.), после того, как Барух записал в свиток слова, которые продиктовал ему Иеремия45:1 См. 36:1-4, 32.:
2– Так говорит Вечный, Бог Исраила, тебе, Барух: 3«Ты говорил: „Горе мне! Вечный прибавил скорбь к моим мукам; я устал от стонов и не нахожу покоя“».
4Скажи ему: «Так говорит Вечный: Я разрушу то, что построил, и искореню то, что насадил, во всей этой стране. 5Тебе ли искать для себя чудес? Не ищи. Я насылаю беду на всякую плоть, – возвещает Вечный, – но куда бы ты ни отправился, Я спасу тебя».