Yeremia 33 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 33:1-26

Ahadi Ya Kurudishwa

133:1 Yer 32:2; 37:21; 38:28; Za 88:8; Yer 13:3Wakati Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la Bwana lilimjia mara ya pili kusema: 233:2 Yer 10:16; Za 136:6; Kut 3:15; 15:3“Hili ndilo Bwana asemalo, yeye aliyeumba dunia, Bwana aliyeifanya na kuithibitisha, Bwana ndilo jina lake: 333:3 Mwa 18:17; Yer 29:12; Isa 55:6; Ay 28:11‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika, usiyoyajua.’ 433:4 2Fal 25:1; Eze 4:2; 26:8; Hab 1:10; Yer 32:24Kwa maana hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu nyumba katika mji huu na majumba ya kifalme ya Yuda yaliyobomolewa ili yatumiwe dhidi ya kule kuzungukwa na jeshi na upanga 533:5 Yer 21:4-7; Kum 31:17; Isa 8:17katika kupigana na Wakaldayo: ‘Zitajazwa na maiti za watu nitakaowachinja katika hasira na ghadhabu yangu. Nitauficha uso wangu kwa sababu ya maovu yake yote.

633:6 Kum 32:39; Isa 30:26; 9:6“ ‘Hata hivyo, nitauletea afya na uponyaji, nitawaponya watu wangu na kuwafanya wafurahie amani tele na salama. 733:7 Yer 32:44; Eze 39:25; Amo 9:14; Isa 1:26; Yer 24:6; 30:3Nitawarudisha Yuda na Israeli kutoka nchi ya kutekwa kwao, na kuwajenga tena kama walivyokuwa hapo awali. 833:8 Law 16:30; Ebr 9:13-14; 2Sam 24:14; Mik 7:18; Yer 31:34Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu. 933:9 Isa 60:18; Yer 13:11; Isa 64:2; Yer 3:17; 1Yn 1:7-9; Isa 55:13Kisha mji huu utaniletea utukufu, furaha, sifa na heshima mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia mambo yote mazuri ninayoufanyia. Nao watashangaa na kutetemeka kwa ajili ya wingi wa mafanikio na amani nitakayoupatia.’

1033:10 Yer 32:43; 9:11“Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Mnasema kuhusu mahali hapa kwamba, “Ni mahali palipoachwa ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama.” Lakini katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu ambazo zimeachwa, ambazo hazikaliwi na wanadamu wala wanyama, huko kutasikika kwa mara nyingine 1133:11 Za 51:8; 24:8; Law 7:12; 2Nya 5:13; Za 25:8; 100:4-5; 14:7sauti za shangwe na furaha, sauti za bibi na bwana arusi, na sauti za wale waletao sadaka za shukrani katika nyumba ya Bwana, wakisema,

“ ‘ “Mshukuruni Bwana Mwenye Nguvu Zote,

kwa maana Bwana ni mwema;

upendo wake wadumu milele.”

Kwa kuwa nitairudishia nchi baraka kama zilivyokuwa hapo awali,’ asema Bwana.

1233:12 Yer 32:43; Isa 65:10; Eze 34:11-15“Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Mahali hapa, ambapo ni ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama: katika miji yake, patakuwepo tena malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao ya kondoo. 1333:13 Yer 32:43; Isa 65:10; Eze 34:11-15Katika miji ya nchi ya vilima, ya vilima vya magharibi na ya Negebu, katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu na katika miji ya Yuda, makundi ya kondoo yatapita tena chini ya mkono wa yeye ayahesabuye,’ asema Bwana.

1433:14 Kum 28:1-14; Yos 23:15; Yer 29:10“ ‘Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda.

1533:15 Isa 4:2; Za 72:2; Isa 11:1; 2Sam 7:12“ ‘Katika siku hizo na wakati huo

nitalifanya Tawi la haki lichipuke kutoka ukoo wa Daudi,

naye atafanya lile lililo haki na sawa

katika nchi.

1633:16 Isa 45:17; 1Kor 1:30; Zek 8:3, 16; Sef 3:13; Eze 48:35; Yer 3:17; Isa 59:14; Yer 32:37Katika siku hizo, Yuda ataokolewa

na Yerusalemu ataishi salama.

Hili ndilo jina atakaloitwa:

Bwana Haki Yetu.’

1733:17 2Sam 7:13; 2Nya 7:18; Za 89:29-37Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana: ‘Daudi kamwe hatakosa mtu wa kukalia kiti cha enzi cha nyumba ya Israeli, 1833:18 Kum 18:1; Ebr 13:15; Hes 25:11-13; Ebr 7:17-22wala hata makuhani, ambao ni Walawi, kamwe hawatakosa mtu wa kusimama mbele zangu daima ili kutoa sadaka za kuteketezwa, ili kuteketeza sadaka ya nafaka na kutoa dhabihu.’ ”

19Neno la Bwana likamjia Yeremia kusema: 2033:20 Za 89:36; Mwa 8:22; Isa 54:9; Mwa 1:14“Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Ikiwa mtaweza kuvunja agano langu kuhusu usiku na mchana, ili usiku na mchana visiwepo kwa nyakati zake, 2133:21 Za 89:34; 2Sam 7:13-18; 2Nya 7:18basi agano langu na Daudi mtumishi wangu, na agano langu na Walawi ambao ni makuhani wanaohudumu mbele zangu, linaweza kuvunjwa, na Daudi hatakuwa tena na mzao wa kutawala katika kiti chake cha enzi. 2233:22 Mwa 15:5; Hos 1:10; Mwa 13:16; Yer 30:19; Mwa 12:2Nitawafanya wazao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaohudumu mbele zangu wengi, wasioweza kuhesabika kama nyota za angani, tena wasiopimika kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.’ ”

23Neno la Bwana likamjia Yeremia kusema: 2433:24 Eze 37:22; Neh 4:4; Yer 30:17; Eze 36:20“Je, hujasikia kwamba watu hawa wanasema, ‘Bwana amezikataa zile falme mbili alizozichagua?’ Kwa hiyo wamewadharau watu wangu, na hawawaoni tena kama taifa. 2533:25 Mwa 1:18; Yer 31:35-36; Za 74:16-17; 148:6Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Kama sijathibitisha agano langu na usiku na mchana, na kuziweka wakfu sheria za mbingu na nchi, 2633:26 Law 26:44; Yer 31:37; Isa 14:1; Zek 10:6; Za 14:7; Yer 30:18basi nitawakataa wazao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na sitachagua mmoja wa wanawe kutawala juu ya wazao wa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha kutoka nchi ya kutekwa kwao na kuwaonea huruma.’ ”

La Bible du Semeur

Jérémie 33:1-26

Dieu révèle des choses merveilleuses

1L’Eternel adressa la parole une seconde fois à Jérémie alors qu’il était encore emprisonné dans la cour du corps de garde.

2Voici ce que déclare l’Eternel, lui qui a fait la terre33.2 la terre: d’après l’ancienne version grecque. Le texte hébreu traditionnel a : l’Eternel. et qui l’a façonnée pour la rendre stable, lui dont le nom est l’Eternel : 3Invoque-moi, et je te répondrai, je te révélerai de grandes choses et des choses secrètes que tu ne connais pas. 4Car voici ce que l’Eternel, Dieu d’Israël, déclare au sujet des maisons de cette ville, des palais des rois de Juda que l’on a démolis afin de faire face aux terrasses de siège et à l’épée de l’ennemi 5dans la bataille engagée contre les Chaldéens : cela n’aboutira qu’à remplir ces maisons des cadavres des hommes que je m’en vais frapper dans ma colère et mon indignation. Je me suis détourné de cette ville à cause du mal qui s’y fait.

6Mais je ferai venir sa guérison et je lui rendrai la santé, oui, je les guérirai. Je leur accorderai un bien-être véritable dans toute sa richesse. 7Et je restaurerai Juda et Israël. Je les rebâtirai comme ils étaient jadis, 8je les purifierai de toute faute qu’ils ont commise contre moi. Je leur pardonnerai toutes les fautes par lesquelles ils ont péché contre moi et se sont révoltés contre moi. 9La ville de Jérusalem fera ma renommée, ma joie, elle sera une source de louange et de gloire parmi tous les peuples de la terre qui apprendront tous les bienfaits dont je la comblerai ; ils trembleront de peur et seront terrifiés en voyant le bonheur et la prospérité que je lui donnerai.

10Voici ce que déclare l’Eternel au sujet de ce lieu qui est, selon vos dires, un pays dévasté où il ne reste plus ni être humain ni bête : Les villes de Juda et les rues de Jérusalem sont désolées, privées d’habitants, sans être humain ni bête. 11On y entendra encore les cris de réjouissance et d’allégresse, la voix du marié et de la mariée, la voix de ceux qui diront, lorsqu’ils viendront offrir leur sacrifice de reconnaissance dans le temple de l’Eternel :

« Célébrez l’Eternel, ╵le Seigneur des armées célestes

car l’Eternel est bon

et son amour ╵dure à toujours. »

Car je restaurerai le pays pour qu’il soit comme autrefois, l’Eternel le déclare33.11 Voir Ps 100.5 ; 106.1 ; 107.1 ; 118.1, 29 ; 136 ; 1 Ch 16.34 ; 2 Ch 5.13 ; 7.3 ; Esd 3.11.. 12Voici ce que déclare le Seigneur des armées célestes : Dans ce pays en ruine et où il n’y a plus ni être humain ni bête, et dans toutes ses villes, il y aura encore des enclos de bergers qui y feront reposer les troupeaux, 13tant dans les villes des montagnes que dans les villes de la plaine et dans les villes du Néguev, et dans le territoire de Benjamin, et aux alentours de Jérusalem et dans les villes de Juda. Brebis et chèvres passeront de nouveau sous la main de celui qui les compte, l’Eternel le déclare.

Le Fils de David

14Le temps vient, l’Eternel le déclare, où je vais accomplir cette promesse de bienfait33.14 Voir 2 S 7.12-16 ; 1 Ch 17.11-14. que j’avais prononcée pour le royaume d’Israël et celui de Juda33.14 Pour les v. 14-16, voir 23.5-6..

15En ce temps-là, ╵à cette époque,

je ferai naître ╵un germe juste ╵dans la dynastie de David,

et il exercera le droit ╵et la justice ╵dans le pays.

16En ce temps-là, ╵Juda sera sauvé,

Jérusalem vivra ╵dans la sécurité.

Voici quel est le nom ╵dont on l’appellera :

« L’Eternel est notre justice. »

17Car voici ce que l’Eternel déclare : David aura toujours l’un de ses descendants sur le trône du peuple d’Israël. 18Il y aura toujours des prêtres-lévites se tenant devant moi pour m’offrir l’holocauste, faire brûler l’offrande et faire les sacrifices tous les jours.

19L’Eternel adressa la parole à Jérémie en ces termes : 20Voici ce que dit l’Eternel : Si vous réussissez à rompre mon alliance avec le jour et mon alliance avec la nuit, de sorte que le jour et la nuit ne paraissent plus en leur temps, 21alors sera aussi rompue l’alliance que j’ai conclue avec mon serviteur David, de sorte qu’il n’ait plus de fils qui règne sur son trône, ainsi que mon alliance avec les prêtres-lévites qui sont à mon service. 22Tout comme les astres du ciel ne peuvent se compter et le sable des mers ne peut se mesurer, je rendrai innombrable la descendance de David, mon serviteur, ainsi que les lévites qui sont à mon service.

23L’Eternel adressa la parole à Jérémie en ces termes : 24N’as-tu pas entendu ce que ce peuple dit : « Les deux familles33.24 Israël et Juda. Selon d’autres, les familles de Lévi et de David (v. 21) ou de Jacob et de David (v. 26). que l’Eternel avait choisies, il les a rejetées » ? Ainsi ils méprisent mon peuple qui, à leurs yeux, n’est plus une nation.

25Voici ce que dit l’Eternel : Si je n’ai pas conclu d’alliance avec le jour, et si je n’ai pas fait d’alliance avec la nuit, si je n’ai pas instauré des lois pour le ciel et pour la terre, 26alors, je pourrai rejeter la descendance de Jacob et celle de mon serviteur David, et renoncer à prendre l’un de ses descendants pour gouverner les descendants d’Abraham, d’Isaac, de Jacob. Mais j’accomplirai leur restauration et je leur manifesterai ma compassion.