Yeremia 30 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 30:1-24

Kurudishwa Kwa Israeli

1Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana: 230:2 Isa 30:8; Yer 36:2“Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe. 330:3 Yer 29:14; 16:15; Amo 9:14; Yer 24:6Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema Bwana.”

4Haya ndiyo maneno Bwana aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda: 530:5 Yer 6:25“Hili ndilo asemalo Bwana:

“ ‘Vilio vya woga vinasikika:

hofu kuu, wala si amani.

630:6 Yer 4:31; Isa 29:22Ulizeni na mkaone:

Je, mwanaume aweza kuzaa watoto?

Kwa nini basi ninaona kila mwanaume mwenye nguvu

ameweka mikono yake tumboni

kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa,

kila uso ukigeuka rangi kabisa?

730:7 Isa 2:12; Amo 5:18; Yoe 2:11; Isa 22:5; Sef 1:15; Yer 23:3Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!

Hakutakuwa na nyingine mfano wake.

Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo,

lakini ataokolewa kutoka hiyo.

830:8 Isa 9:4; Yer 25:14; Eze 34:27; Yer 27:7; Za 107:14“ ‘Katika siku ile,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote,

‘nitaivunja nira kutoka shingoni mwao

na kuvipasua vifungo vyao;

wageni hawatawafanya tena watumwa.

930:9 Isa 55:3-4; 1Sam 13:14; Hos 1:11; 3:5; Yer 33:15; Eze 34:23-24Badala yake, watamtumikia Bwana, Mungu wao

na Daudi mfalme wao,

nitakayemwinua kwa ajili yao.

1030:10 Isa 41:10-13; 43:5; Yer 29:14; Isa 35:9; Yer 17:25; Isa 29:22; Eze 34:25-28“ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

usifadhaike, ee Israeli,’

asema Bwana.

‘Hakika, nitakuokoa kutoka mbali,

wazao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.

Yakobo atakuwa tena na amani na usalama,

wala hakuna atakayemtia hofu.

1130:11 Law 26:44; Yer 4:27; 10:24; Hos 11:9; Amo 9:8; Yer 5:18; Isa 29:22; Eze 34:25-28Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’

asema Bwana.

‘Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote

ambamo miongoni mwao nimewatawanya,

sitawaangamiza ninyi kabisa.

Nitawaadhibu, lakini kwa haki.

Sitawaacha kabisa bila adhabu.’

1230:12 Yer 8:22; 15:18; Ay 6:4; Yer 10:19“Hili ndilo asemalo Bwana:

“ ‘Kidonda chako hakina dawa,

jeraha lako haliponyeki.

1330:13 Nah 3:19; Amu 6:31; Yer 14:19; 8:22; 46:11Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,

hakuna dawa ya kidonda chako,

wewe hutapona.

1430:14 Yer 22:20; Ay 13:24; 30:21; Yer 25:7; Mao 1:2Wale walioungana nawe wote wamekusahau,

hawajali chochote kukuhusu wewe.

Nimekupiga kama vile adui angelifanya,

na kukuadhibu kama vile mtu mkatili angelifanya,

kwa sababu hatia yako ni kubwa mno

na dhambi zako ni nyingi sana.

1530:15 Yer 10:19; Mit 1:31Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,

yale maumivu yako yasiyoponyeka?

Kwa sababu ya uovu wako mkubwa na dhambi zako nyingi

nimekufanyia mambo haya.

1630:16 Kum 23:22; Yoe 3:4-8; Isa 29:8; Yer 10:25; Isa 14:2; Yer 49:2; 50:10“ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;

adui zako wote watakwenda uhamishoni.

Wale wote wakutekao nyara watatekwa nyara;

wote wakufanyao mateka nitawafanya mateka.

1730:17 Isa 6:12; Yer 33:24; Kut 15:26; Za 142:4Lakini nitakurudishia afya yako

na kuyaponya majeraha yako,’

asema Bwana,

‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,

Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’

1830:18 Kum 30:3; Yer 32:44; Za 103:13; Eze 39:25; 36:10; Yer 31:23; Hes 24:5“Hili ndilo asemalo Bwana:

“ ‘Nitarudisha baraka za mahema ya Yakobo,

na kuhurumia maskani yake.

Mji utajengwa tena juu ya magofu yake,

nalo jumba la kifalme litasimama mahali pake halisi.

1930:19 Neh 8:12; Mwa 15:5; Isa 51:3, 11; 60:9; Yer 31:4; Isa 35:10; 44:23; Zek 2:4Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao

na sauti ya furaha.

Nitaiongeza idadi yao

wala hawatapungua,

nitawapa heshima

na hawatadharauliwa.

2030:20 Isa 54:13-14; Zek 8:5; Yer 31:17; Kut 23:22Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa

siku za zamani,

nayo jumuiya yao itaimarishwa mbele yangu;

nitawaadhibu wale wote wawaoneao.

2130:21 Yer 23:5-6; Hes 16:5; Kum 17:15Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;

mtawala wao atainuka miongoni mwao.

Nitamleta karibu nami,

naye atanikaribia mimi,

kwa maana ni nani yule atakayejitolea

kuwa karibu nami?’

asema Bwana.

2230:22 Isa 19:25; Hos 2:23; Law 26:12‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,

nami nitakuwa Mungu wenu.’ ”

2330:23 Yer 23:19; 25:32Tazama, tufani ya Bwana

italipuka kwa ghadhabu,

upepo wa kisulisuli uendao kasi

utashuka juu ya vichwa vya waovu.

2430:24 Yer 4:8; Mao 1:12; Yer 4:28; 23:19-20Hasira kali ya Bwana haitarudi nyuma

mpaka atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake.

Siku zijazo

mtayaelewa haya.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Jeremías 30:1-24

Restauración de Israel

1La palabra del Señor vino a Jeremías: 2«Así dice el Señor, el Dios de Israel: “Escribe en un libro todas las palabras que te he dicho. 3Porque vienen días —afirma el Señor— cuando yo haré volver del cautiverio a30:3 haré volver del cautiverio a. Alt. cambiaré la suerte de. mi pueblo Israel y Judá, y los traeré a la tierra que di a sus antepasados, y la poseerán”», afirma el Señor.

4Esto fue lo que el Señor le dijo a Jeremías acerca de Israel y Judá: 5«Así dice el Señor:

»“Hemos escuchado un grito de espanto;

no hay paz, sino terror.

6Preguntad y ved

si acaso los varones dan a luz.

¿Por qué, pues, veo a todos los hombres

con las manos sobre las caderas,

como mujeres con dolores de parto?

¿Por qué han palidecido

todos los rostros?

7¡Ay! Será un día terrible,

un día que no tiene parangón.

Será un tiempo de angustia para Jacob,

pero será librado de ella.

8»”En aquel día —afirma el Señor Todopoderoso—,

quebraré el yugo que mi pueblo lleva sobre el cuello,

romperé sus ataduras,

y ya no serán esclavos de extranjeros.

9Servirán al Señor, su Dios,

y a David, a quien pondré como su rey.

10»”No temas, Jacob, siervo mío;

no te asustes, Israel

—afirma el Señor—.

A ti, Jacob, te libraré de ese país lejano;

a tus descendientes los libraré del exilio.

Volverás a vivir en paz y tranquilidad,

y ya nadie te infundirá temor.

11Porque yo estoy contigo para salvarte

—afirma el Señor—.

Destruiré por completo a todas las naciones

entre las que te había dispersado.

Pero a ti no te destruiré del todo,

sino que te castigaré con justicia;

¡de ninguna manera quedarás impune!”

12»Así dice el Señor:

»“Tu herida es incurable,

tu llaga no tiene remedio.

13No hay quien defienda tu causa;

no hay remedio para tu mal

ni sanidad para tu enfermedad.

14Todos tus amantes te han olvidado;

ya no se ocupan de ti.

Por causa de tu enorme iniquidad,

y por tus muchos pecados,

te he golpeado, te he corregido,

como lo haría un adversario cruel.

15¿Por qué te quejas de tus heridas,

si tu dolor es incurable?

Por causa de tu enorme iniquidad

y por tus muchos pecados,

yo te he tratado así.

16»”Todos los que te devoren serán devorados;

todos tus enemigos serán deportados.

Todos los que te saqueen serán saqueados;

todos los que te despojen serán despojados.

17Pero yo te restauraré

y sanaré tus heridas

—afirma el Señor

porque te han llamado la Desechada,

la pobre Sión, la que a nadie le importa”.

18»Así dice el Señor:

»“Restauraré las fortunas de las tiendas de Jacob,

y tendré compasión de sus moradas;

la ciudad resurgirá sobre sus ruinas,

y el palacio se asentará en el lugar debido.

19Surgirán de ellos cánticos de gratitud,

y gritos de alegría.

Multiplicaré su descendencia, y no disminuirá;

los honraré, y no serán menospreciados.

20Sus hijos volverán a ser como antes;

ante mí será restablecida su comunidad,

pero castigaré a todos sus opresores.

21De entre ellos surgirá su líder;

uno de ellos será su gobernante.

Lo acercaré hacia mí, y él estará a mi lado,

pues ¿quién arriesgaría su vida por acercarse a mí?

—afirma el Señor—.

22Vosotros sois mi pueblo,

y yo seré vuestro Dios”».

23La tempestad del Señor

ha estallado con furor;

una tempestad huracanada

se ha desatado sobre los malvados.

24La ardiente ira del Señor no pasará

hasta que haya realizado del todo

los propósitos de su corazón.

Todo esto lo comprenderéis

al final de los tiempos.