Yeremia 23 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 23:1-40

Tawi La Haki

123:1 Eze 34:1-10; Zek 11:5-7, 15-17; Isa 56:11; Eze 34:31; Yer 10:21; 12:10; 25:36“Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema Bwana. 223:2 Kut 32:34; Yer 21:12; Eze 34:8-10; Yn 10:8; Yer 10:21; 13:20Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, analowaambia wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Kwa sababu mmelitawanya kundi langu na kuwafukuzia mbali, wala hamkuwatunza, basi mimi nitawaadhibu kwa ajili ya uovu mliofanya,” asema Bwana. 323:3 Isa 11:10-12; Eze 34:11-16; Yer 32:37; 1Fal 8:48“Mimi mwenyewe nitayakusanya mabaki ya kundi langu kutoka nchi zote ambazo nimewafukuzia, nami nitawarudisha katika malisho yao, mahali ambapo watazaa na kuongezeka idadi yao. 423:4 Mwa 48:15; Isa 31:4; Yer 46:26-28; Yn 6:39; Yer 30:10; 31:10Nitaweka wachungaji juu yao ambao watawachunga, nao hawataogopa tena au kutishwa, wala hatapotea hata mmoja,” asema Bwana.

523:5 2Fal 19:26; Eze 17:22; Mwa 18:19; Zek 6:12; Dan 9:24; Isa 4:2Bwana asema, “Siku zinakuja,

nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki,

Mfalme atakayetawala kwa hekima,

na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.

623:6 Kut 23:21; Ezr 9:15; Zek 14:11; 1Kor 1:30; Law 25:18; Kum 32:8; Hos 2:8; Yer 33:16; Rum 3:21-22; Isa 42:6Katika siku zake, Yuda ataokolewa

na Israeli ataishi salama.

Hili ndilo jina atakaloitwa:

Bwana Haki Yetu.

723:7 Kum 15:15; Yer 16:14; 30:3“Hivyo basi, siku zinakuja, wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’ 823:8 Eze 34:13; Isa 43:5-6; Yer 30:10; Eze 20:42; Amo 9:14-15bali watasema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewatoa wazao wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia,’ asema Bwana. Ndipo wataishi katika nchi yao wenyewe.”

Manabii Wasemao Uongo

923:9 Hab 3:16; Yer 20:8-9; 4:19; Ay 4:14Kuhusu manabii:

Moyo wangu umevunjika ndani yangu;

mifupa yangu yote inatetemeka.

Nimekuwa kama mtu aliyelewa,

kama mtu aliyelemewa na divai,

kwa sababu ya Bwana

na maneno yake matakatifu.

1023:10 Za 107:34; Yer 9:2, 10; 4:26; Hos 4:2-3; Kum 28:23-24; Yer 12:11Nchi imejaa wazinzi;

kwa sababu ya laana, nchi imekauka

na malisho yaliyoko nyikani yamekauka.

Mwenendo wa manabii ni mbaya

na mamlaka yao si ya haki.

1123:11 Yer 6:13; Sef 3:4; 2Fal 21:4; Yer 8:10; 7:10“Nabii na kuhani wote si wacha Mungu;

hata hekaluni mwangu ninaona uovu wao,”

asema Bwana.

1223:12 Ay 3:23; Za 35:6; Mit 4:19; Yer 11:23; Kum 32:35; Yer 13:16“Kwa hiyo mapito yao yatakuwa utelezi,

watafukuziwa mbali gizani

na huko wataanguka.

Nitaleta maafa juu yao

katika mwaka wa kuadhibiwa kwao,”

asema Bwana.

1323:13 1Fal 18:18-22; Isa 9:16; 3:12; Eze 13:10“Miongoni mwa manabii wa Samaria

nililiona jambo la kuchukiza:

Walitabiri kwa Baali

na kuwapotosha Israeli watu wangu.

1423:14 Yer 5:30; Hos 6:10; Yer 29:23; Eze 13:22; Mt 11:24; Isa 1:9-10; Amo 4:11; Isa 5:18Nako miongoni mwa manabii wa Yerusalemu

nimeona jambo baya sana:

Wanafanya uzinzi

na kuenenda katika uongo.

Wanatia nguvu mikono ya watenda mabaya,

kwa ajili hiyo hakuna yeyote

anayeachana na uovu wake.

Wote wako kama Sodoma kwangu;

watu na Yerusalemu wako kama Gomora.”

1523:15 Yer 8:14; 9:15; 8:10Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo kuhusu manabii:

“Nitawafanya wale chakula kichungu

na kunywa maji yaliyotiwa sumu,

kwa sababu kutokana na manabii wa Yerusalemu

kutokumcha Mungu kumeenea katika nchi yote.”

1623:16 Yer 27:9-14; Mt 7:15; Mit 19:27; Eze 13:3; Yer 14:14; 9:20Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo:

“Msisikilize wanachowatabiria manabii,

wanawajaza matumaini ya uongo.

Wanasema maono kutoka akili zao wenyewe,

hayatoki katika kinywa cha Bwana.

1723:17 Yer 13:10; 8:11; Amo 9:10; Mik 3:11; 1Fal 22:8; Yer 4:10; 5:12Huendelea kuwaambia wale wanaonidharau mimi,

Bwana asema: Mtakuwa na amani.’

Kwa wale wote wafuatao ugumu wa mioyo yao,

wao husema, ‘Hakuna dhara litakalowapata.’

1823:18 1Fal 22:19; Rum 11:34Lakini ni yupi miongoni mwao aliyesimama katika baraza la Bwana

ili kuona au kusikia neno lake?

Ni nani aliyesikiliza

na kusikia neno lake?

1923:19 Isa 30:30; Yer 30:23; 25:32; Zek 7:14Tazama, dhoruba ya Bwana

itapasuka kwa ghadhabu,

kisulisuli kitazunguka na kuanguka

vichwani vya waovu.

2023:20 2Fal 23:26-27; Yer 30:24; 4:28Hasira ya Bwana haitageuka mpaka amelitimiza kusudi la moyo wake.

Siku zijazo mtalifahamu kwa wazi.

2123:21 Yer 14:14; 27:15Mimi sikuwatuma manabii hawa,

lakini bado wamekimbia wakitangaza ujumbe wao.

Mimi sikusema nao,

lakini wametabiri.

2223:22 2Fal 17:13; Kum 33:10; 2Fal 17:13; Yer 25:5; Amo 3:7Lakini kama wangesimama barazani mwangu,

wangetangaza maneno yangu kwa watu wangu,

nao wangewageuza kutoka njia zao mbaya

na kutoka matendo yao maovu.”

2323:23 Za 139:1-10; 1Fal 20:23-28“Je, mimi ni Mungu aliyeko hapa karibu tu,”

Bwana asema,

“wala si Mungu aliyeko pia mbali?

2423:24 Ay 11:20; 1Fal 8:27; Ebr 4:13; Mwa 3:8; Ay 22:12-14; Mhu 12:14; Isa 28:15; 1Kor 4:5Je, mtu yeyote aweza kujificha

mahali pa siri ili nisiweze kumwona?”

Bwana asema.

“Je, mimi sikuijaza mbingu na nchi?”

Bwana asema.

2523:25 Yer 14:14; 27:10; 29:8; Kum 13:1“Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’ 2623:26 Isa 30:10; 1Tim 4:1-2; Eze 13:2; Yer 14:14Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe? 2723:27 Kum 13:13; Yer 29:8; Amu 3:7; 8:33-34; Mdo 13:8; Yer 2:23Wanadhani ndoto wanazoambiana wao kwa wao zitawafanya watu wangu walisahau jina langu, kama baba zao walivyolisahau jina langu kwa kumwabudu Baali. 2823:28 1Sam 3:17Mwache nabii aliye na ndoto aseme ndoto yake, lakini yule aliye na neno langu na aliseme kwa uaminifu. Kwa maana jani kavu lina uhusiano gani na ngano?” asema Bwana. 2923:29 Za 39:3; 1Kor 3:13; 1Pet 4:10; Yer 5:14; Ebr 4:12“Je, neno langu si kama moto,” asema Bwana, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?

3023:30 Za 34:16; Kum 18:20; Yer 21:13; 14:15“Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema Bwana. 31“Naam, mimi niko kinyume na manabii wanaotikisa ndimi zao wenyewe na kusema, ‘Bwana asema.’ 3223:32 Mao 2:14; Sef 3:4; Yer 7:8; 50:6; Ay 13:4; Eze 13:3; 22:28; Yer 14:14Kweli, niko kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo,” asema Bwana. “Wanazisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini sikuwatuma wala sikuwaamuru. Hawawafaidi watu hawa hata kidogo,” asema Bwana.

Maneno Ya Uongo Na Manabii Wa Uongo

3323:33 2Fal 21:14; Yer 17:15; Mal 1:1“Wakati watu hawa, au nabii, au kuhani watakapokuuliza, ‘Mzigo wa Bwana ni nini?’ wewe utawaambia, ‘Ninyi ndio mzigo. Nami nitawavua kama vazi, asema Bwana.’ 3423:34 Mao 2:14; Zek 13:3Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake. 3523:35 Yer 33:3; 42:4Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘Bwana amejibu nini?’ au ‘Bwana amesema nini?’ 3623:36 Gal 1:7-8; 2Pet 3:16; Yos 3:10Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa Bwana,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu. 37Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘Bwana amekujibu nini?’ au ‘Je, Bwana amesema nini?’ 38Ingawa unadai, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ hili ndilo Bwana asemalo: Ulitumia maneno, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ hata ingawa nilikuambia kuwa kamwe usiseme, ‘Huu ni mzigo wa Bwana.’ 3923:39 Yer 7:15Kwa hiyo, hakika nitakusahau na kukutupa mbali na uso wangu pamoja na mji niliowapa ninyi na baba zenu. 4023:40 Yer 20:11; Eze 5:14-15Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika.”

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

耶利米書 23:1-40

將來的盼望

1耶和華說:「那些本應像牧人照顧羊群一樣統治我子民的人有禍了!因為他們殘害、驅散我的子民。」 2以色列的上帝耶和華這樣斥責那些統治祂子民的首領:「你們驅散我的子民,沒有照顧他們。看啊,我必因你們的惡行而懲罰你們。這是耶和華說的。 3我要把我倖存的子民從我流放他們去的各地召集起來,領他們回到故土,使他們子孫興旺。 4我要派首領照顧他們,使他們不再擔驚受怕,也不再有一人迷失。這是耶和華說的。」

5耶和華說:「看啊,時候將到,我要為大衛選立一個公義的苗裔,使他執掌王權。他必秉公行義,治國有方。 6在他掌權的日子,猶大必得拯救,以色列必國泰民安。他將被稱為『耶和華是我們的公義』。」

7耶和華說:「看啊,時候將到,那時人不再憑把以色列人帶出埃及的耶和華起誓, 8而是憑把他們從流放之地——北方和列國領回來的永活耶和華起誓。他們必在自己的國土上安居樂業。」

9論到那些先知,

我的心都碎了,

我的骨頭都顫抖。

因為耶和華和祂聖言的緣故,

我好像不勝酒力的醉漢。

10這裡到處是拜偶像的人,

他們行為邪惡,濫用權力。

大地因受咒詛而悲哀,

曠野的草場都枯乾了。

11耶和華說:「先知和祭司都不敬虔,

我甚至看見他們在我的聖殿裡行惡。

12因此,他們必被趕到黑暗中,

在濕滑的路上跌倒,

因為我必在報應的日子降災禍給他們。

這是耶和華說的。

13我看見撒瑪利亞的先知行為可憎,

他們靠巴力說預言,

引誘我的子民走入歧途。

14我也看見耶路撒冷的先知行為可惡,

他們通姦,謊話連篇,

慫恿惡人,

以致無人悔過自新。

在我眼中,耶路撒冷人就像 所多瑪人和蛾摩拉人一樣敗壞。

15因此,論到這些先知,

萬軍之耶和華說,

『看啊,我要使他們吃苦艾,

喝毒藥,因為褻瀆之風從耶路撒冷的先知那裡蔓延,

遍及全境。』」

16萬軍之耶和華對祂的子民說:「你們不要聽信這些先知的預言,他們使你們充滿虛假的盼望,他們的預言是自己編的,不是耶和華說的。 17他們不斷對藐視我的人說,『耶和華說你們必安享太平。』他們對那些執迷不悟的人說,『災禍不會降到你們身上。』

18「然而,他們誰曾站在耶和華面前看見並聽見祂說話呢?

他們誰曾留心聽祂的話呢?

19看啊,耶和華的怒氣像暴風一樣襲來,

像旋風一樣吹到惡人頭上。

20耶和華不完成祂心中的計劃決不息怒。

將來你們會清楚地明白這一切。

21「我沒有差遣這些先知,

他們卻妄自行動;

我沒有對他們說話,

他們卻亂發預言。

22他們若曾站在我面前聽我說話,

早就向我的子民宣告我的話,

使他們改邪歸正了。」

23耶和華說:「我是無處不在的上帝。」 24耶和華說:「難道人藏起來我就看不見了嗎?我豈不是充滿天地之間嗎?這是耶和華說的。 25我聽見假先知奉我的名說,『上帝託夢給我了!上帝託夢給我了!』 26這些先知謊話連篇,憑空預言要到何時呢? 27他們彼此傳講所做的夢,想藉此使我的子民忘記我,正如他們的祖先因祭拜巴力而忘記了我。 28讓做夢的先知儘管宣揚他們的夢吧,但得到我話語的先知要忠心地傳達我的話。糠秕怎能與麥子相比呢!這是耶和華說的。」 29耶和華說:「難道我的話不像火嗎?不像擊碎岩石的鐵錘嗎?」 30耶和華說:「看啊,我要對付那些假先知,他們盜用同夥的話,卻妄稱是我的話。」 31耶和華說:「看啊,我要對付那些假先知,他們妄自說預言,卻謊稱是耶和華的話。」 32耶和華說:「看啊,我要對付那些假先知,他們謊稱我託夢給他們,四處宣揚,用彌天大謊把我的子民引入歧途。其實我並沒有差遣他們,也沒有委派他們,他們對我的子民毫無益處。這是耶和華說的。」

33耶和華說:「耶利米啊,如果有百姓、先知或祭司問你,『耶和華有什麼啟示?』你要對他們說,『你們就是耶和華的重擔23·33 重擔」希伯來文也有「啟示」的意思。,耶和華說要丟棄你們。』 34如果有先知、祭司或百姓宣稱有耶和華的啟示,我必懲罰他和他全家。 35你們各人要問自己的親友,『耶和華有什麼答覆?』或『耶和華說了什麼?』 36你們不可再說有耶和華的啟示,因為你們把自己的話當成祂的啟示,曲解你們永活的上帝——萬軍之耶和華的話。 37耶利米啊,你要這樣問先知,『耶和華有什麼答覆?耶和華說了什麼?』 38如果他們說,『這是耶和華的啟示。』你就說,『耶和華說,你們無視我的警告,宣稱有我的啟示, 39我必徹底忘記你們,把你們和我賜給你們及你們祖先的城邑拋棄。 40我要使你們永遠蒙羞受辱、遺臭萬年。』」