Yeremia 22 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 22:1-30

Hukumu Dhidi Ya Wafalme Waovu

1Hili ndilo asemalo Bwana: “Shuka kwenye jumba la kifalme la mfalme wa Yuda, utangaze ujumbe huu huko: 222:2 Lk 1:32; Amo 7:16‘Sikia neno la Bwana, ee mfalme wa Yuda, wewe uketiye kwenye kiti cha enzi cha Daudi: wewe, maafisa wako na watu wako mnaopitia malango haya. 322:3 Law 25:17; Hos 12:6; Yer 21:12; Za 72:4; Isa 1:17; Amo 5:24; Eze 33:14; Mik 6:8Hili ndilo Bwana asemalo: Tenda haki na adili. Mwokoe mkononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara. Usimtendee mabaya wala ukatili mgeni, yatima au mjane, wala usimwage damu isiyo na hatia mahali hapa. 422:4 Yer 17:25Kwa kuwa ukiwa mwangalifu kushika maagizo haya, ndipo wafalme watakaokalia kiti cha enzi cha Daudi watakapoingia kupitia malango ya jumba hili la kifalme, wakiwa wamepanda magari na farasi, huku wakifuatana na maafisa wao na watu wao. 522:5 Yer 17:25; Mwa 22:16; Ebr 6:13Lakini kama hutayatii maagizo haya, asema Bwana, ninaapa kwa nafsi yangu kwamba jumba hili litakuwa gofu.’ ”

622:6 Mik 3:12; Mwa 31:21; Wim 4:1; Isa 33:9; 1Fal 7:2Kwa kuwa hili ndilo Bwana asemalo kuhusu jumba la kifalme la mfalme wa Yuda:

“Ingawa uko kama Gileadi kwangu,

kama kilele cha Lebanoni,

hakika nitakufanya uwe kama jangwa,

kama miji ambayo haijakaliwa na watu.

722:7 Yer 6:4; Isa 10:34; Za 74:5; Isa 21:14; Yer 4:7; Zek 11:1; 2Nya 36:16Nitawatuma waharabu dhidi yako,

kila mtu akiwa na silaha zake,

nao watazikata boriti zako nzuri za mierezi

na kuzitupa motoni.

822:8 Kum 29:24-26; 1Fal 9:8-9; Yer 16:10-11“Watu kutoka mataifa mengi watapitia karibu na mji huu na kuulizana, ‘Kwa nini Bwana amefanya jambo la namna hii juu ya mji huu mkubwa?’ 922:9 2Fal 22:17; Yer 16:11; Eze 39:23; 1Fal 9:9Nalo jibu litakuwa: ‘Kwa sababu wameliacha agano la Bwana, Mungu wao, na wameabudu na kuitumikia miungu mingine.’ ”

1022:10 Mhu 4:2; Eze 24; 16; Yer 24:9; 29:18; 42:18Usimlilie yeye aliyekufa, wala usimwombolezee;

badala yake, afadhali umlilie kwa uchungu

yule aliyepelekwa uhamishoni,

kwa sababu kamwe hatairudia

wala kuiona tena nchi yake alikozaliwa.

1122:11 2Fal 23:30-31; 1Nya 3:15Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Shalumu22:11 Shalumu ndiye pia anaitwa Yehoahazi. mwana wa Yosia, aliyeingia mahali pa baba yake kuwa mfalme wa Yuda, lakini ameondoka mahali hapa: “Yeye kamwe hatarudi tena. 1222:12 2Fal 23:34Atafia huko mahali walipompeleka kuwa mateka; hataiona tena nchi hii.”

1322:13 Mik 3:10; Hab 2:9; Law 19:13; Yak 5:4; Isa 5:8“Ole wake yeye ajengaye jumba lake la kifalme kwa njia ya dhuluma,

vyumba vyake vya juu kwa udhalimu,

akiwatumikisha watu wa nchi yake pasipo malipo,

bila kuwalipa kwa utumishi wao.

1422:14 Isa 5:8-9; 2Sam 7:2; Eze 23:14Asema, ‘Nitajijengea jumba kuu la kifalme,

na vyumba vya juu vyenye nafasi kubwa.’

Hivyo anaweka ndani yake madirisha makubwa,

huweka kuta za mbao za mierezi,

na kuipamba kwa rangi nyekundu.

1522:15 2Fal 23:25; Za 22:21; Kum 9:7; Yer 3:13; Sef 3:2; Isa 3:10; Za 128:2“Je, inakufanya kuwa mfalme

huko kuongeza idadi ya mierezi?

Je, baba yako hakuwa na chakula na kinywaji?

Alifanya yaliyo sawa na haki,

hivyo yeye akafanikiwa katika yote.

1622:16 Za 72:1-4, 12-13; Yn 8:19; Tit 1:16; Yak 1:22; Za 82:3; Mit 24:23Aliwatetea maskini na wahitaji,

hivyo yeye akafanikiwa katika yote.

Je, hiyo si ndiyo maana ya kunijua mimi?”

asema Bwana.

1722:17 Eze 19:6; 2Fal 24:4; Isa 56:11; Eze 18:12; Mik 2:2; Kum 28:33“Lakini macho yako na moyo wako vimeelekezwa tu

katika mapato ya udhalimu,

kwa kumwaga damu isiyo na hatia,

kwa uonevu na ukatili.”

18Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:

“Hawatamwombolezea wakisema:

‘Ole, ndugu yangu! Ole, umbu langu!’

Hawatamwombolezea wakisema:

‘Ole, bwana wangu! Ole, fahari yake!’

1922:19 2Fal 24:6; Yer 36:30Atazikwa maziko ya punda:

ataburutwa na kutupwa

nje ya malango ya Yerusalemu.”

2022:20 Hes 27:12; Isa 57:13; Za 68:15; Yer 30:14; Eze 16:33-34; Hos 8:9“Panda Lebanoni ukapige kelele,

sauti yako na isikike huko Bashani,

piga kelele toka Abarimu,

kwa kuwa wote waliojiunga nawe wameangamizwa.

2122:21 Yer 3:25; 3:13; Sef 3:2; Za 25:7; Zek 7:7; Kum 9:7; Isa 54:4; Yer 7:23-28Nilikuonya wakati ulipojisikia kwamba uko salama,

lakini ulisema, ‘Mimi sitasikiliza!’

Hii imekuwa kawaida yako tangu ujana wako;

hujanitii mimi.

2222:22 Yer 7:19; 10:21; Ay 27:21Upepo utawaondoa wachungaji wako wote,

na wale ulioungana nao wataenda uhamishoni.

Kisha utaaibika na kufedheheka

kwa sababu ya uovu wako wote.

23Wewe uishiye Lebanoni,

wewe uliyetulia kwenye majengo ya mierezi,

tazama jinsi utakavyoomboleza

maumivu makali yatakapokupata,

maumivu kama yale ya mwanamke

mwenye utungu wa kuzaa!

2422:24 2Fal 24:6-8; Yer 37:1; Hag 2:23; Mwa 38:18“Hakika kama niishivyo,” asema Bwana, “hata kama wewe, Yekonia22:24 Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini. mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ungekuwa pete yangu ya muhuri katika mkono wangu wa kuume, bado ningekungʼoa hapo. 2522:25 2Fal 24:16; 2Nya 36:10; Yer 34:20Nitakutia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wako, wale unaowaogopa, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na kwa Wakaldayo. 2622:26 1Sam 25:29; Isa 22:17; Eze 19:9-14; 1Fal 2:19; 2Fal 24:8; 2Nya 36:10Nitakutupa mbali wewe na mama aliyekuzaa mwende katika nchi nyingine, ambayo hakuna hata mmoja wenu aliyezaliwa huko, nanyi mtafia huko. 27Kamwe hamtarudi katika nchi mliyotamani kuirudia.”

2822:28 Za 31:12; Hos 8:8; Yer 17:4; 48:38; 2Fal 24:6; Yer 19:10Je, huyu mtu Yekonia ni chungu kilichodharauliwa,

chungu kilichovunjika,

chombo kisichotakiwa na mtu yeyote?

Kwa nini yeye na watoto wake watupwe nje kwa nguvu,

na kutupwa kwenye nchi wasioijua?

2922:29 Yer 6:19Ee nchi, nchi, nchi,

sikia neno la Bwana!

3022:30 1Nya 3:16-18; Mt 1:12; Yer 10:21; 38:23; 52:10; Ay 18:19; Za 94:20Hili ndilo Bwana asemalo:

“Mwandike huyu mtu kama asiye na mtoto,

mtu ambaye hatafanikiwa maisha yake yote,

kwa maana hakuna mtoto wake atakayefanikiwa,

wala kukaa kwenye kiti cha enzi cha Daudi

wala kuendelea kutawala katika Yuda.”

La Bible du Semeur

Jérémie 22:1-30

La dernière chance

1L’Eternel me dit : Rends-toi au palais du roi de Juda, et là tu prononceras ces paroles : 2Ecoute ce que dit l’Eternel, roi de Juda, toi qui sièges sur le trône de David ! Ecoutez, toi, tes fonctionnaires et ton peuple qui passez par ces portes.

3Voici ce que dit l’Eternel : Exercez le droit et la justice ; délivrez celui que l’on exploite de l’oppresseur ! Ne maltraitez pas l’étranger, l’orphelin et la veuve ; ne commettez pas de violences envers eux ; ne tuez pas des innocents dans ce lieu.

4Car, si vous agissez vraiment selon ce que je vous dis, alors, des rois siégeant sur le trône de David continueront à passer par les portes de ce palais, montés sur des chars et des chevaux, avec leurs fonctionnaires et leurs sujets.

5Mais si vous ne tenez pas compte de ces paroles, je le jure par moi-même – l’Eternel le déclare – ce palais ne sera plus que ruines22.5 Voir Mt 23.38 ; Lc 13.35..

6Car voici ce que déclare l’Eternel concernant le palais du roi de Juda :

Bien que tu sois pour moi ╵semblable à Galaad,

aux cimes du Liban22.6 C’est-à-dire : bien que le palais du roi soit aussi beau, aussi élevé que les montagnes citées, bien qu’il paraisse aussi solide qu’elles, il sera dévasté par les envahisseurs (voir 2 R 10.32).,

oui, je l’affirme, ╵je ferai de toi un désert,

une cité inhabitée :

7je vais faire appel contre toi ╵à des démolisseurs

armés de leurs outils ;

ils abattront tes plus beaux cèdres

et ils les jetteront au feu.

8Des gens de nombreux peuples passeront près de cette ville et se demanderont les uns aux autres : « Pourquoi donc l’Eternel a-t-il traité ainsi cette grande cité ? » 9Et l’on répondra : « C’est parce qu’ils ont abandonné l’alliance conclue avec eux par l’Eternel leur Dieu, que, devant d’autres dieux, ils se sont prosternés et qu’ils leur ont rendu un culte. »

Sur Shalloum (Yoahaz)

10Ne pleurez pas ╵sur le roi qui est mort22.10 Il s’agit du roi Josias tué à Meguiddo en 609 av. J.-C. (2 R 23.29, 30 ; 2 Ch 35.24-25).,

ne vous lamentez pas sur lui !

Pleurez, pleurez plutôt ╵sur celui qui s’en va

parce qu’il ne reviendra pas :

il ne reverra plus ╵la terre où il est né22.10 Il s’agit de Yoahaz ou Shalloum qui n’a régné que trois mois (609 av. J.-C.). Il a été déporté par le pharaon Néko en Egypte où il est mort (2 R 23.31-34)..

11Car voici ce que dit l’Eternel au sujet de Shalloum, fils de Josias, roi de Juda, qui a succédé sur le trône à son père Josias et qui vient de quitter ce lieu : Il n’y reviendra plus. 12Il mourra à l’endroit où on l’a déporté, et ne verra plus ce pays.

Sur Yehoyaqim

13Malheur à l’homme ╵qui bâtit sa maison ╵au détriment de la justice

et qui ajoute ╵des pièces à l’étage ╵en violant l’équité,

qui fait travailler son prochain pour rien,

sans lui donner ╵ce que vaut son travail22.13 Il s’agit de Yehoyaqim (609 à 598 av. J.-C. ; voir 2 R 24.1-7 ; 2 Ch 36.5-8). Jérémie le décrit d’abord (v. 13-14), puis l’apostrophe (v. 15-17), puis le nomme (v. 18)..

14Et qui dit en lui-même : ╵Je vais bâtir pour moi ╵un palais imposant

avec de larges pièces à l’étage.

J’y ménagerai des fenêtres,

je le lambrisserai ╵avec du bois de cèdre,

je l’enduirai de rouge !

15Penses-tu qu’exercer la royauté ╵consiste à surpasser les autres ╵par les palais de cèdre ?

Souviens-toi de ton père22.15 Josias, père de Yehoyaqim, roi fidèle à l’Eternel (voir 2 R 22.1 à 23.28). : ╵il a mangé et bu,

mais il a exercé ╵le droit et la justice

et s’en est bien trouvé.

16Il faisait droit aux pauvres, ╵aux défavorisés,

et s’en est bien trouvé.

C’est par là que quelqu’un ╵montre qu’il me connaît,

l’Eternel le déclare.

17Mais toi, tu n’as d’yeux, de pensées,

que pour t’assurer des profits

et pour tuer des innocents,

pour opprimer les gens ╵et les traiter ╵avec brutalité.

18Voilà pourquoi l’Eternel déclare ceci au sujet de Yehoyaqim, fils de Josias, roi de Juda :

Personne ne le pleurera ╵en disant : « Quel malheur, mon frère ! » ╵et « Quel malheur, ma sœur ! »

On ne mènera pas le deuil pour lui ╵en disant : « Hélas ! mon seigneur ! ╵Hélas sa majesté ! »

19Il sera enterré ╵comme on enterre un âne,

on traînera son corps ╵et on le jettera ╵à l’extérieur ╵des portes de Jérusalem.

Sur Jérusalem

20Monte au Liban et crie !

Fais retentir ta voix ╵sur les monts du Basan !

Va, pousse des clameurs ╵des plateaux d’Abarim22.20 Région située au nord de Moab.,

parce que tes amants22.20 C’est-à-dire : tes alliés (voir 4.30 et note ; 30.14). ╵sont tous brisés.

21Je t’avais avertie ╵au temps de ta prospérité

mais tu as déclaré : ╵« Je n’écouterai pas. »

C’est ainsi que tu t’es conduite ╵dès ta prime jeunesse :

et tu ne m’as pas écouté !

22Le vent emportera ╵tes dirigeants,

et tes amants22.22 Voir v. 20 et note. ╵s’en iront en exil ;

et tu seras, alors, ╵dans la honte et l’ignominie

pour toute ta méchanceté !

23Toi, qui habites le Liban,

qui as placé ton nid ╵au sein des cèdres,

comme tu vas gémir ╵lorsque tu seras prise ╵de douleurs, de souffrances

comme une femme en couches22.23 Voir 21.14 et note. !

Message à Konia (Yehoyakîn)

24Aussi vrai que je vis, déclare l’Eternel, même si Konia, fils de Yehoyaqim, roi de Juda22.24 Konia: autre nom du roi Yehoyakîn, fils de Yehoyaqim. Après 3 mois de règne (598 à 597 av. J.-C.), il a été déporté à Babylone par Nabuchodonosor (voir 2 R 24.8-16 ; 2 Ch 36.8-10)., était comme l’anneau à ma main droite, qui sert de sceau, je l’en arracherais. 25Oui, je te livrerai à ceux qui veulent te tuer, à ceux devant lesquels tu trembles, à Nabuchodonosor, le roi de Babylone, ainsi qu’aux Chaldéens. 26Et je t’expédierai, toi ainsi que ta mère qui t’a donné le jour, dans un autre pays, où vous n’êtes pas nés. C’est là que vous mourrez. 27Quant au pays où ils voudraient tant revenir, ils n’y reviendront pas.

28Cet homme, Konia, ╵est-il donc un pantin ╵méprisé et brisé,

un objet de rebut,

pour qu’on les ait jetés, ╵lui et sa descendance,

et expédiés dans un pays ╵qu’ils ne connaissaient pas ?

29O pays, pays, oui pays,

écoute la parole ╵que l’Eternel t’adresse !

30Voici ce que déclare l’Eternel :

« Inscrivez que cet homme ╵sera privé d’enfants

et qu’il ne réussira rien, ╵pendant toute sa vie.

Parmi ses descendants, ╵aucun n’accédera

au trône de David

pour régner sur Juda. »