Yeremia 19 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 19:1-15

Gudulia La Udongo Lililovunjika

119:1 Hes 11:17; Yer 18:2Hili ndilo asemalo Bwana: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani 219:2 Yos 15:8; 2Fal 23:10na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia, 319:3 Yer 17:20; 6:19; 1Sam 3:11nawe useme, ‘Sikieni neno la Bwana, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe. 419:4 Kum 28:20; 31:16; Law 18:21; 2Fal 21:16; Isa 65:11; Kut 20:3; Yer 1:16Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia. 519:5 2Fal 3:27; Za 106:37-38; Yer 32:35; Eze 16:36; Yer 7:31Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu. 619:6 Yos 15:8; Yer 7:32; 2Fal 23:10Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema Bwana, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.

719:7 Law 26:17; Kum 28:25-26; Yer 16:4; Za 79:2; 33:10-11; Yer 34:20“ ‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi. 819:8 Kum 28:37; Yer 25:9; Mao 2:15-16; Sef 2:15; Yer 18:16; Law 26:32Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote. 919:9 Law 26:29; Mao 4:10; Isa 9:20; Kum 28:49-57; Yer 21:7Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’

1019:10 Yer 13:14; 51:63; Za 2:9“Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia, 1119:11 Yer 7:32; Za 2:9; Isa 30:14uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi. 12Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema Bwana. Nitaufanya mji huu kama Tofethi. 1319:13 Yer 52:13; Eze 16:41; Ay 38:32; Mdo 7:42; Eze 20:28; Yer 7:18; 32:29; Eze 20:28Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’ ”

1419:14 2Nya 20:5; Yer 7:2; 26:2Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo Bwana alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la Bwana na kuwaambia watu wote, 1519:15 Zek 7:11-14; Mdo 7:51-52; Neh 9:16; Yer 11:11; 22:21“Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’ ”

Korean Living Bible

예레미야 19:1-15

깨어진 질그릇

1여호와께서 나에게 말씀하셨다. “너는 가서 토기장이에게 질그릇 하나 를 사고 백성 가운데 나이 많은 어른들과 제사장 몇 사람을 데리고

219:2 또는 ‘하시드문 어귀 곁에 있는 힌놈의 아들의 골짜기’‘질그릇 조각의 문’ 이란 이름을 가진 동문 입구 곁의 힌놈 골짜기로 가서 이렇게 선포하라:

3유다의 왕들과 예루살렘 주민들아, 여호와의 말씀을 들어라. 전능하신 여호와 이스라엘의 하나님이 이렇게 말씀하셨다. ‘보라, 내가 듣는 자들의 귀가 멍멍할 정도로 이 곳에 무서운 재앙을 내리겠다.

4이것은 그들이 나를 버리고 이 곳을 우상으로 더럽히며 그들과 그 조상들과 유다 왕들이 알지 못하던 다른 신들에게 분향하고 이 곳을 죄 없는 사람들의 피로 물들였으며

5또 그들이 산언덕에 바알의 단을 세우고 자기들의 아들을 제물로 불에 태워 바쳤기 때문이다. 이것은 내가 명령한 것도 아니며 내가 마음속으로 생각한 것도 아니다.

6그러므로 다시는 이 곳을 도벳이나 힌놈 골짜기라고 부르지 않고 ‘살육의 골짜기’ 라고 부를 날이 올 것이다.

7내가 이 곳에서 유다와 예루살렘의 계획을 좌절시키고 그들을 원수의 칼날에 엎드러지게 하여 그 시체를 공중의 새와 들짐승의 밥이 되게 하겠다.

8내가 또 이 성을 황폐하게 하여 조소의 대상이 되게 할 것이니 지나가는 사람마다 그들이 당한 재앙을 보고 놀라며 비웃을 것이다.

9적들이 그 성을 포위하고 있을 때 성 안에 갇혀 있는 사람들은 식량이 떨어져 먹을 것이 없으므로 자기 친구들과 자식들까지 잡아먹을 것이다.’

10“그러고서 너는 함께 가는 자들이 지켜 보는 가운데서 그 질그릇을 깨뜨리고

11그들에게 이렇게 말하라: 이것은 전능하신 여호와의 말씀이오. ‘사람이 한번 깨뜨리면 다시 주워 붙일 수 없는 토기장이의 이 질그릇처럼 내가 이 백성과 이 성을 박살내겠다. 시체가 너무 많아 묻을 곳이 없으므로 이 곳 도벳 골짜기에 갖다 쌓을 것이다.

12나 여호와가 말한다. 내가 이 성과 이 백성을 도벳처럼 되게 하겠다.

13예루살렘의 집들과 유다 왕들의 궁전과 그리고 지붕 위에서 별에게 분향하고 다른 신들에게 술을 따라 부은 모든 집들이 도벳처럼 더러워질 것이다.’ ”

14그런 다음 나는 여호와께서 나를 보내 예언하게 하신 그 곳 도벳에서 돌아와 여호와의 성전 뜰에 서서 모든 백성들에게 말하였다.

15“전능하신 여호와 이스라엘의 하나님이 이렇게 말씀하셨습니다. ‘보라, 내가 이 성과 모든 인근 부락에 이미 선언한 재앙을 내리겠다. 이것은 그들이 고집을 피우며 내 말을 들으려 하지 않았기 때문이다.’ ”