Yeremia 14 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 14:1-22

Ukame, Njaa Na Upanga

1Hili ndilo neno la Bwana kwa Yeremia kuhusu ukame:

214:2 Isa 3:26; Yer 8:21; Mit 21:13“Yuda anaomboleza,

miji yake inayodhoofika;

wanaomboleza kwa ajili ya nchi,

nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.

314:3 Kum 28:48; 2Fal 18:31; 2Sam 15:30; Es 6:12; Ay 6:19-20Wakuu wanawatuma watumishi wao maji;

wanakwenda visimani

lakini humo hakuna maji.

Wanarudi na vyombo bila maji;

wakiwa na hofu na kukata tamaa,

wanafunika vichwa vyao.

414:4 Amo 4:8; Zek 14:17; Yer 3:3; 12:11Ardhi imepasuka nyufa

kwa sababu hakuna mvua katika nchi;

wakulima wana hofu

na wanafunika vichwa vyao.

514:5 Isa 15:6Hata kulungu mashambani

anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo

kwa sababu hakuna majani.

614:6 Ay 39:5-6; Yer 2:24; Za 104:11; Mwa 47:4Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kame

na kutweta kama mbweha;

macho yao yanakosa nguvu za kuona

kwa ajili ya kukosa malisho.”

714:7 Isa 3:9; Hos 5:5; Yer 2:19; 8:14; Za 25:11; 79:9; 1Sam 12:22Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu,

Ee Bwana, tenda jambo kwa ajili ya jina lako.

Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa,

nasi tumetenda dhambi dhidi yako.

814:8 Za 9:18; Mdo 28:20; Yer 17:13; 50:7; Za 18:46; Isa 25:9Ee Tumaini la Israeli,

Mwokozi wake wakati wa taabu,

kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi,

kama msafiri anayekaa kwa usiku mmoja tu?

914:9 Isa 50:2; Mwa 17:7; Yer 8:19; 15:16; Kut 29:45; Isa 63:19; Za 27:9Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa,

kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa?

Wewe uko katikati yetu, Ee Bwana,

nasi tunaitwa kwa jina lako;

usituache!

1014:10 Yer 2:25; Za 119:101; Yer 6:20; Hes 8:13; Ebr 8:12; Amo 5:22; Hos 7:2; 9:9; Yer 44:21Hili ndilo Bwana asemalo kuhusu watu hawa:

“Wanapenda sana kutangatanga,

hawaizuii miguu yao.

Hivyo Bwana hawakubali;

sasa ataukumbuka uovu wao

na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.”

1114:11 Kut 32:10; 1Sam 2:25Kisha Bwana akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa. 1214:12 Kum 1:45; 1Sam 8:18; Yer 7:21; Law 1:1-17; Yer 11:11; Amo 5:22; Isa 51:19; Yer 9:16Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”

13Lakini nikasema, “Aa, Bwana Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’ ”

1414:14 Yer 23:25; 2The 2:9-11; Eze 13:2-6; Yer 23:16; Mao 2:9; Eze 12:24; Yer 27:14Ndipo Bwana akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe. 1514:15 Yer 20:6; Eze 14:9; Yer 16:4; Mao 1:19; Yer 23:15; 5:12-13Kwa hiyo, hili ndilo Bwana asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa. 1614:16 Yer 17:10; Mit 1:31; Yer 7:33; Za 79:3; Mt 15:14Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili.

1714:17 Za 119:136; Yer 8:21; Mao 1:16; 2Fal 19:21; Yer 23:12“Nena nao neno hili:

“ ‘Macho yangu na yatiririkwe na machozi

usiku na mchana bila kukoma;

kwa kuwa binti yangu aliye bikira, yaani watu wangu,

amepata jeraha baya,

pigo la kuangamiza.

1814:18 Eze 7:14-15; 2Nya 36:10; Yer 13:17Kama nikienda mashambani,

ninaona wale waliouawa kwa upanga;

kama nikienda mjini,

ninaona maangamizi ya njaa.

Nabii na kuhani kwa pamoja

wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ”

1914:19 Yer 7:29; 30:12-13; 8:15; Isa 1:6Je, umemkataa Yuda kabisa?

Umemchukia Sayuni kabisa?

Kwa nini umetuumiza

hata hatuwezi kuponyeka?

Tulitarajia amani,

lakini hakuna jema lililotujia;

tulitarajia wakati wa kupona

lakini kuna hofu kuu tu.

2014:20 Amu 10:10; Dan 9:7-8; Yer 3:13; Law 26:40; 1Fal 8:47; Ezr 9:6Ee Bwana, tunatambua uovu wetu

na kosa la baba zetu;

kweli tumetenda dhambi dhidi yako.

2114:21 Yer 17:12; Yos 7:9; Isa 62:7; Yer 3:17; Kut 2:24Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa;

usikidharau kiti chako cha enzi kilichotukuka.

Kumbuka agano lako nasi

na usilivunje.

2214:22 1Fal 8:36; Isa 30:23; Za 135:7; Isa 41:24; 44:10; Yer 10:15Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifa

iwezayo kuleta mvua?

Je, anga peke yake zaweza kutoa mvua?

La hasha, ni wewe peke yako,

Ee Bwana, Mungu wetu.

Kwa hiyo tumaini letu liko kwako,

kwa kuwa wewe ndiwe ufanyaye haya yote.

La Bible du Semeur

Jérémie 14:1-22

Sécheresse et famine

1Voici ce que dit l’Eternel à Jérémie concernant la sécheresse :

2Juda est dans le deuil,

ses villes dépérissent,

leurs habitants sont affligés, ╵au sujet du pays14.2 Autre traduction : abattus à même le sol.,

et le cri plaintif de Jérusalem ╵se fait entendre.

3Les notables envoient ╵les gens de basse condition ╵chercher de l’eau.

Arrivés aux citernes, ╵ils ne trouvent pas d’eau,

et ils reviennent ╵avec des cruches vides ;

tout honteux et penauds,

ils se voilent la face14.3 En signe de confusion ou de deuil..

4Le sol est crevassé

car la pluie a manqué ╵dans le pays,

et les cultivateurs, ╵déçus dans leurs espoirs,

se voilent le visage.

5La biche, dans les champs,

abandonne son faon ╵après l’avoir mis bas,

car il n’y a plus de verdure.

6Les onagres se tiennent ╵sur les hauteurs,

et ils flairent le vent ╵comme font les chacals ;

mais leurs yeux se fatiguent

car il n’y a plus d’herbe.

7Même si nos péchés ╵témoignent contre nous,

ô Eternel, agis ╵pour l’honneur de ton nom !

Nos infidélités ╵se sont multipliées,

nous avons péché contre toi.

8Toi, l’espérance d’Israël,

toi qui le sauves ╵au temps de la détresse,

pourquoi te conduis-tu ╵comme un simple étranger ╵dans le pays,

ou comme un voyageur ╵qui se détourne de sa route ╵pour passer la nuit quelque part ?

9Pourquoi te conduis-tu ╵comme un homme éperdu,

comme un guerrier ╵qui ne peut délivrer ?

Et pourtant, tu es parmi nous, ╵ô Eternel,

et nous portons ton nom :

ne nous délaisse pas !

10Voici ce que déclare ╵l’Eternel à ce peuple :

« Ils trouvent leur plaisir ╵à vagabonder çà et là

sans retenir leurs pas.

L’Eternel ne les agrée pas.

Il va se souvenir ╵maintenant de leurs crimes,

il va châtier leurs fautes. »

11Et l’Eternel me dit : Ne prie pas pour le bien-être de ce peuple ! 12Ils auront beau jeûner, je n’écouterai pas leurs supplications, et s’ils m’offrent des holocaustes et des offrandes, je ne les agréerai pas, je m’en vais les exterminer : par l’épée, par la famine et par la peste.

13Et je lui répondis : Ah ! Seigneur, Eternel, les prophètes leur disent : « Vous ne connaîtrez pas la guerre et vous ne subirez pas la famine, car je vous donnerai en ce lieu-ci une paix véritable. »

14Et l’Eternel me dit : En mon nom, ces prophètes profèrent des mensonges. Je ne les ai pas mandatés, je ne leur ai rien ordonné et je ne leur ai pas parlé : toutes leurs prophéties sont visions mensongères, oracles sans valeur, des inventions venant d’eux-mêmes. 15C’est pourquoi voici ce que déclare l’Eternel au sujet des prophètes qui prophétisent en son nom sans avoir été envoyés, ces prophètes qui disent : « La guerre et la famine ne viendront pas dans ce pays ». C’est par la guerre et la famine que ces prophètes périront, 16et les gens du peuple auxquels ils prophétisent seront jetés à terre dans les rues de Jérusalem par la famine et par l’épée, sans qu’il y ait personne pour les mettre au tombeau, ni eux, ni leurs femmes, ni leurs fils, ni leurs filles ; je ferai retomber sur eux le mal qu’ils ont commis.

17Et toi, dis-leur ceci :

« Sans cesse, nuit et jour, ╵mes yeux versent des larmes, ╵ils ne tarissent pas !

Car un malheur terrible va atteindre

la communauté de mon peuple :

c’est une plaie très douloureuse.

18Si je sors dans les champs,

je vois des morts, ╵victimes de l’épée ;

si j’entre dans la ville,

je vois des gens, ╵affaiblis par la faim !

Le prophète et le prêtre ╵parcourent le pays

sans rien comprendre. »

19As-tu donc vraiment rejeté Juda ?

As-tu pris Sion en dégoût ?

Pourquoi nous as-tu infligé ╵de telles plaies

sans qu’il y ait ╵de guérison pour nous ?

Nous espérions la paix,

et rien de bon n’arrive,

un temps de guérison,

en fait, c’est l’épouvante.

20Eternel, nous reconnaissons ╵notre méchanceté,

les fautes de nos pères.

Car nous avons ╵commis des péchés contre toi.

21Pour l’honneur de ton nom, ╵ne nous méprise pas,

ne laisse pas déshonorer ╵le trône de ta gloire14.21 C’est-à-dire le coffre de l’alliance et, par extension, le temple qui le contient, la ville où il se trouve (voir 3.16-17). ;

et n’oublie pas l’alliance ╵que tu as conclue avec nous, ╵ne la révoque pas !

22Qui, parmi les faux dieux ╵des autres peuples,

peut donner de la pluie ?

Ou bien est-ce le ciel ╵qui pourrait, par lui-même, ╵déclencher les averses ?

N’est-ce pas toi, ╵Eternel, notre Dieu,

toi sur qui nous comptons ?

Car c’est toi seul, ╵qui fais toutes ces choses.