18:1 Mit 9:2; Wim 3:4Laiti ungelikuwa kwangu kama ndugu wa kiume,
ambaye aliyanyonya matiti ya mama yangu!
Kisha, kama ningekukuta huko nje,
ningelikubusu,
wala hakuna mtu yeyote angelinidharau.
2Ningelikuongoza na kukuleta
katika nyumba ya mama yangu,
yeye ambaye amenifundisha.
Ningelikupa divai iliyokolezwa unywe,
asali ya maua ya mikomamanga yangu.
38:3 Wim 2:6Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,
na mkono wake wa kuume unanikumbatia.
48:4 Wim 2:7; 3:5Binti za Yerusalemu, ninawaagiza:
msichochee wala kuamsha mapenzi
hata yatakapotaka yenyewe.
Shairi La Sita
Marafiki
58:5 Wim 3:4-6; Yn 17:14Ni nani huyu anayekuja kutoka nyikani
akimwegemea mpenzi wake?
Mpendwa
Nilikuamsha chini ya mtofaa,
huko mama yako alipotunga mimba yako,
huko yeye alipata utungu akakuzaa.
68:6 Wim 1:2; Hes 5:14; Hag 2:23; Isa 49:16Nitie kama muhuri moyoni mwako,
kama muhuri kwenye mkono wako;
kwa maana upendo una nguvu kama mauti,
wivu wake ni mkatili kama kuzimu.
Unachoma kama mwali wa moto,
kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa.
78:7 Mit 6:35Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo,
mito haiwezi kuugharikisha.
Kama mtu angelitoa mali yote ya nyumbani mwake
kwa ajili ya upendo,
angelidharauliwa kabisa.
Marafiki
8Tunaye dada mdogo,
matiti yake hayajakua bado.
Tutafanya nini kwa ajili ya dada yetu
wakati atakapokuja kuposwa?
9Kama yeye ni ukuta,
tutajenga minara ya fedha juu yake.
Na kama yeye ni mlango,
tutamzungushia mbao za mierezi.
Mpendwa
108:10 Kol 2:7; Eze 16:7Mimi ni ukuta,
nayo matiti yangu ni kama minara.
Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake
kama yule anayeleta utoshelevu.
118:11 Mhu 2:4; Mt 21:33; Isa 7:23Solomoni alikuwa na shamba la mizabibu huko Baal-Hamoni;
alikodisha shamba lake la mizabibu kwa wapangaji.
Kila mmoja angeleta kwa ajili ya matunda yake
shekeli 1,0008:11 Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5. za fedha.
12Lakini shamba langu la mizabibu
ambalo ni langu mwenyewe
ni langu kutoa;
hizo shekeli 1,000 ni kwa ajili yako, ee Solomoni,
na shekeli mia mbili8:12 Shekeli 200 ni kama kilo 2.3. ni kwa ajili
ya wale wanaotunza matunda yake.
Mpenzi
138:13 Wim 2:14Wewe ukaaye bustanini
pamoja na marafiki mliohudhuria,
hebu nisikie sauti yako!
Mpendwa
148:14 Mit 5:19; Wim 2:8-17Njoo, mpenzi wangu,
uwe kama swala
au kama ayala kijana
juu ya milima iliyojaa vikolezo.
1If only you were to me like a brother,
who was nursed at my mother’s breasts!
Then, if I found you outside,
I would kiss you,
and no one would despise me.
2I would lead you
and bring you to my mother’s house—
she who has taught me.
I would give you spiced wine to drink,
the nectar of my pomegranates.
3His left arm is under my head
and his right arm embraces me.
4Daughters of Jerusalem, I charge you:
Do not arouse or awaken love
until it so desires.
Friends
5Who is this coming up from the wilderness
leaning on her beloved?
She
Under the apple tree I roused you;
there your mother conceived you,
there she who was in labor gave you birth.
6Place me like a seal over your heart,
like a seal on your arm;
for love is as strong as death,
its jealousy8:6 Or ardor unyielding as the grave.
It burns like blazing fire,
like a mighty flame.8:6 Or fire, / like the very flame of the Lord
7Many waters cannot quench love;
rivers cannot sweep it away.
If one were to give
all the wealth of one’s house for love,
it8:7 Or he would be utterly scorned.
Friends
8We have a little sister,
and her breasts are not yet grown.
What shall we do for our sister
on the day she is spoken for?
9If she is a wall,
we will build towers of silver on her.
If she is a door,
we will enclose her with panels of cedar.
She
10I am a wall,
and my breasts are like towers.
Thus I have become in his eyes
like one bringing contentment.
11Solomon had a vineyard in Baal Hamon;
he let out his vineyard to tenants.
Each was to bring for its fruit
a thousand shekels8:11 That is, about 25 pounds or about 12 kilograms; also in verse 12 of silver.
12But my own vineyard is mine to give;
the thousand shekels are for you, Solomon,
and two hundred8:12 That is, about 5 pounds or about 2.3 kilograms are for those who tend its fruit.
He
13You who dwell in the gardens
with friends in attendance,
let me hear your voice!
She
14Come away, my beloved,
and be like a gazelle
or like a young stag
on the spice-laden mountains.