Wimbo 7 – NEN & AKCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wimbo 7:1-13

17:1 Za 45:13Ee binti wa mwana wa mfalme,

tazama jinsi inavyopendeza miguu yako katika viatu!

Miguu yako yenye madaha ni kama vito vya thamani,

kazi ya mikono ya fundi stadi.

2Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo

ambayo kamwe haikosi divai iliyochanganywa.

Kiuno chako ni kichuguu cha ngano

kilichozungukwa kwa yungiyungi.

37:3 Wim 4:5Matiti yako ni kama wana-paa wawili,

mapacha wa paa.

47:4 Hes 21:26; Wim 4:4; 5:15; Za 144:12Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya ndovu.

Macho yako ni vidimbwi vya Heshboni

karibu na lango la Beth-Rabi.

Pua lako ni kama mnara wa Lebanoni

ukitazama kuelekea Dameski.

57:5 Isa 35:2Kichwa chako kinakuvika taji kama mlima Karmeli.

Nywele zako ni kama zulia la urujuani;

mfalme ametekwa na mashungi yake.

67:6 Wim 1:15; 4:10Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,

ee pendo, kwa uzuri wako!

77:7 Wim 4:5Umbo lako ni kama la mtende,

nayo matiti yako kama vishada vya matunda.

87:8 Wim 2:5Nilisema, “Nitakwea mtende,

nami nitayashika matunda yake.”

Matiti yako na yawe kama vishada vya mzabibu,

harufu nzuri ya pumzi yako kama matofaa,

97:9 Wim 5:16na kinywa chako kama divai

bora kuliko zote.

Mpendwa

Divai na iende moja kwa moja hadi kwa mpenzi wangu,

ikitiririka polepole juu ya midomo na meno.

107:10 Wim 2:16; 6:3; Za 45:11; Gal 2:20Mimi ni mali ya mpenzi wangu,

nayo shauku yake ni juu yangu.

11Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani,

twende tukalale huko vijijini.

127:12 Za 63:3-8; Wim 6:11; 4:13; 2:13-15Hebu na twende mapema

katika mashamba ya mizabibu

tuone kama mizabibu imechipua,

kama maua yake yamefunguka,

na kama mikomamanga imetoa maua:

huko nitakupa penzi langu.

137:13 Gal 5:227:13 Mwa 30:14; Wim 4:16Mitunguja hutoa harufu zake nzuri,

kwenye milango yetu kuna matunda mazuri,

mapya na ya zamani,

ambayo nimekuhifadhia wewe,

mpenzi wangu.

Akuapem Twi Contemporary Bible

Nnwom Mu Dwom 7:1-13

1Wo nan ne mpaboa yɛ fɛ,

Ɔdehye babea!

Wʼanantu a wugyina so te sɛ abohemaa,

odwumfo nsa ano adwuma.

2Wo funuma yɛ kuruwa a enni nsa

a nsa pa wɔ mu bere biara.

Wo sisi yɛ atoko a wɔaboa ano

na sukooko atwa ho ahyia.

3Wo nufu te sɛ atwemma abien,

atwemma nta.

4Wo kɔn te sɛ asonse abantenten.

Wʼaniwa aba te sɛ Hesbon ntade

a ɛwɔ Bat Rabim pon nkyɛn.

Wo hwene te sɛ Lebanon abantenten

a ɛkyerɛ Damasko no.

5Wo ti si so sɛ Karmel Bepɔw.

Wo tinwi te sɛ adehyetam a wɔadi mu adwinni;

wo tinwi atenten no kyere ɔhene dommum.

6Wo ho yɛ fɛ, ɔdɔ,

wo ho yɛ anigye na ɛma ahomeka ara!

7Wo sibea te sɛ abɛ dua,

na wo nufu te sɛ aduaba kasiaw.

8Mekae se, “Mɛforo abɛ dua no;

na maso nʼaba mu.”

Wo nufu nyɛ sɛ bobe kasiaw,

na wo home mu hua nyɛ sɛ aprɛ.

9Na wʼanom hua nyɛ sɛ bobesa papa.

Ababaa:

Ma bobesa no nkɔ me dɔfo hɔ tee,

ɛnsen mfa nʼanofafa ne ne se no so brɛoo.

10Meyɛ me dɔfo de,

na nʼapɛde ne me.

11Bra, me dɔfo; ma yɛnkɔ akuraa,

ma yɛnkɔda akuraa anadwo baako.

12Ma yɛnkɔ bobeturo mu ntɛm

nkɔhwɛ sɛ bobe no agu nhwiren,

sɛ nhwiren no apaapae,

anaasɛ ntunkum no ayɛ frɔmfrɔm.

Ɛhɔ na mede me dɔ bɛma wo.

13Adesaa yi ne hua,

na akɔnnɔduan nyinaa begu yɛn pon ano,

foforo ne dedaw,

a mede asie ama wo, me dɔfo.