Wimbo 5 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wimbo 5:1-16

Mpenzi

15:1 Yoe 3:18; Wim 4:12; 4:16; Isa 55:1Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,

bibi arusi wangu;

nimekusanya manemane yangu pamoja

na kikolezo changu.

Nimekula sega langu la asali na asali yangu;

nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.

Marafiki

Kuleni, enyi marafiki, mnywe;

kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.

Shairi La Nne

Mpendwa

25:2 Efe 5:275:2 Mit 8:4; Wim 6:9; 4:7; 1:15Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho.

Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha:

“Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu,

hua wangu, asiye na hitilafu.

Kichwa changu kimeloa umande,

na nywele zangu manyunyu ya usiku.”

3Nimevua joho langu:

je, ni lazima nivae tena?

Nimenawa miguu yangu:

je, ni lazima niichafue tena?

4Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo;

moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.

5Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu,

mikono yangu ikidondosha manemane,

vidole vyangu vikitiririka manemane,

penye vipini vya komeo.

65:6 Wim 6:1-2; 3:15:6 Hos 5:15; Mao 3:8Nilimfungulia mpenzi wangu,

lakini mpenzi wangu alishaondoka;

alikuwa amekwenda zake.

Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake.

Nilimtafuta lakini sikumpata.

Nilimwita lakini hakunijibu.

75:7 Wim 3:3Walinzi walinikuta

walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini.

Walinipiga, wakanijeruhi,

wakaninyangʼanya joho langu,

hao walinzi wa kuta!

85:8 Wim 2:7; 1:14; 2:5Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza:

kama mkimpata mpenzi wangu,

mtamwambia nini?

Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.

Marafiki

9Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani,

wewe uliye mzuri kupita wanawake wote?

Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani,

hata unatuagiza hivyo?

Mpendwa

105:10 Za 45:2Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu,

wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.

11Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote,

nywele zake ni za mawimbi

na ni nyeusi kama kunguru.

125:12 Mwa 49:12; Wim 1:15Macho yake ni kama ya hua

kandokando ya vijito vya maji,

aliyeogeshwa kwenye maziwa,

yaliyopangwa kama vito vya thamani.

13Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo

yakitoa manukato.

Midomo yake ni kama yungiyungi

inayodondosha manemane.

145:14 Ay 28:6Mikono yake ni fimbo za dhahabu

iliyopambwa kwa krisolitho.

Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa

iliyopambwa na yakuti samawi.

155:15 1Fal 4:33; Wim 7:4Miguu yake ni nguzo za marmar

zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi.

Sura yake ni kama Lebanoni,

bora kama miti yake ya mierezi.

165:16 Wim 4:3; 7:9; Yer 31:3; Rum 8:35Kinywa chake chenyewe ni utamu,

kwa ujumla yeye ni wa kupendeza.

Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu,

ee binti za Yerusalemu.

O Livro

Cântico de Salomão 5:1-16

Ele

1Cá estou eu no meu jardim, minha querida esposa!

Colhi a minha mirra e as minhas especiarias.

Comi o meu favo com o mel.

Bebi o meu vinho e o meu leite.

As filhas de Jerusalém:

Oh! Querido e amado, come e bebe!

Sim, bebe abundantemente!

Ela

2Uma noite, estava eu a dormir,

o meu coração acordou, num sonho.

É que ouvi a voz do meu amor,

que estava a bater à porta do meu quarto:

“Abre, minha querida, minha amada!

Minha pomba sem defeito!

Passei a noite toda fora

e estou coberto de orvalho.”

3Mas eu respondi-lhe:

“Já me despi, iria vestir-me de novo?

Já lavei os pés, iria tornar a sujá-los?”

4O meu amor tentou abrir, ele próprio, o fecho da porta

e as minhas entranhas estremeceram por amor dele.

5Saltei, por fim, da cama para lhe abrir.

As minhas mãos destilavam mirra,

quando puxei a fechadura da porta.

6Abri, então, ao meu amado,

mas ele já se tinha ido embora.

O meu coração parou de bater.

Busquei-o por toda a parte, sem o encontrar.

Chamei por ele, mas não obtive resposta.

7Os guardas, que faziam a ronda na cidade,

viram-me e espancaram-me, deixando-me ferida;

a sentinela da muralha rasgou-me o manto.

8Conjuro-vos, ó filhas de Jerusalém,

que se encontrarem o meu amor

lhe digam que estou doente de amor.

As filhas de Jerusalém:

9Ó mulher de rara beleza,

que tem o teu amado mais do que qualquer outro,

para que nos peças tal coisa?

Ela

10O meu querido tem uma pele de cor saudável;

é elegante e melhor do que dez mil outros mais!

11A sua cabeça é como ouro puríssimo;

tem os cabelos ondulados e pretos retintos.

12Os seus olhos são duas pombas,

junto a uma corrente de águas límpidas e calmas.

13As suas faces são um canteiro de especiarias;

os seus lábios, perfumados,

são como lírios que gotejassem mirra!

14Os seus braços parecem argolas de ouro engastadas de topázios;

o seu corpo é como esplêndido marfim,

escrustado de safiras.

15As sua pernas, é como se fossem pilares de mármore,

assentes em bases de ouro puro,

parecem-se com os maravilhosos cedros do Líbano;

não têm rival!

16O seu falar é doce!

Sim, é todo desejável!

Tal é o meu amado, o meu amigo,

ó filhas de Jerusalém!