Walawi 6 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 6:1-30

Kurudisha Kilichochukuliwa

1Bwana akamwambia Mose: 26:2 Hes 5:6; Za 73:27; Mdo 5:4; Kol 3:9; Law 19:11; Yer 9:4-5; Kut 22:7; Mwa 31:7; Mit 24:28“Kama mtu yeyote akitenda dhambi, naye si mwaminifu kwa Bwana kwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa, au kimeachwa chini ya utunzaji wake, au kimeibwa, au kama akimdanganya, 36:3 Kut 23:4; 22:11; Kum 22:1-3; Law 19:12; Yer 7:9; Zek 5:4au akiokota mali iliyopotea na akadanganya, au kuapa kwa uongo, au kama akitenda dhambi yoyote ambayo watu waweza kuitenda; 46:4 Law 5:16; Eze 33:15; Lk 19:8wakati akitenda dhambi hizo na kuwa mwenye hatia, ni lazima arudishe kile alichokuwa amekiiba au amekichukua kwa dhuluma, au alichokuwa amekabidhiwa, au mali iliyokuwa imepotea akaipata, 56:5 Hes 5:7; Law 5:15; 2Sam 12:6; Lk 19:8au chochote alichokuwa amekiapia kwa uongo. Lazima akirudishe kikamilifu, na aongeze sehemu ya tano ya thamani yake, vyote ampe mwenye mali siku ile anapeleka sadaka yake ya hatia. 66:6 Law 5:15; Hes 5:8; Kut 12:5; Kum 15:21; Efe 5:27; Ebr 9:14; 10:1-17Kisha kama adhabu lazima amletee kuhani, yaani kwa Bwana, kama sadaka yake ya hatia, kondoo dume asiye na dosari na mwenye thamani kamili kutoka kundi lake. 76:7 Kut 32:30; Law 4:26Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana, naye atasamehewa kwa kosa lolote katika mambo hayo aliyoyatenda yaliyomfanya kuwa na hatia.”

Sadaka Ya Kuteketezwa

8Bwana akamwambia Mose: 96:9 Law 7:37“Mpe Aroni na wanawe agizo hili: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa itabaki kwenye moto juu ya madhabahu usiku kucha, mpaka asubuhi, nao moto lazima uwe unaendelea kuwaka juu ya madhabahu. 106:10 Kut 39:27, 28; 28:39-43; Law 1:16; Eze 44:17Kisha kuhani atavaa mavazi yake ya kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani mwilini wake, na aondoe majivu ya sadaka ya kuteketezwa ambayo moto umeteketeza juu ya madhabahu, na kuyaweka kando ya madhabahu. 116:11 Law 4:12Kisha atayavua mavazi haya na kuvaa mengine, naye achukue yale majivu nje ya kambi na kuyapeleka mahali palipo safi kwa kawaida ya ibada. 126:12 Law 1:7; Kut 29:13; 32:6Moto ulio juu ya madhabahu lazima uwe unaendelea kuwaka, kamwe usizimike. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni na kupanga sadaka ya kuteketezwa juu ya moto, na kuteketeza mafuta ya sadaka za amani juu yake. 136:13 Isa 33:14; Dan 7:10; Mt 25:41Moto lazima uendelee kuwaka juu ya madhabahu mfululizo, kamwe usizimike.

Sadaka Ya Nafaka

146:14 Law 2:1; Hes 6:15; 15:4; 28:13“ ‘Haya ndiyo masharti ya sadaka ya nafaka: Wana wa Aroni wataileta mbele za Bwana, mbele za madhabahu. 156:15 Law 2:1, 9Kuhani atachukua konzi ya unga laini na mafuta, pamoja na uvumba wote ulioko juu ya sadaka ya nafaka, ateketeze sehemu ya kumbukumbu juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. 166:16 Law 2:2-3, 11; 8:31; 10:13; 16:24; 24:9; Eze 44:29; Kut 27:9; 29:11, 31; Hes 18:10Aroni na wanawe watakula sehemu iliyobaki, lakini italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu, nao wataila kwenye ua wa Hema la Kukutania. 176:17 Hes 5:9; 18:9-10; Kut 29:28; 40:10; Law 7:7; 10:12; 21:22Kamwe haitaokwa na chachu; nimewapa kama fungu lao la sadaka iliyotolewa kwangu kwa moto. Ni takatifu sana, kama vile ilivyo sadaka ya dhambi na ya hatia. 186:18 Law 2:3; 7:6; Hes 18:9-10; 5:9; Mwa 9:12; Kut 30:29Kila mwanaume mzao wa Aroni aweza kuila. Ni fungu lake la kawaida la sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto kwa vizazi vijavyo. Chochote kinachozigusa kitakuwa kitakatifu.’ ”

19Tena Bwana akamwambia Mose, 206:20 Kut 28:41; 16:36; 29:2; Hes 4:16; 5:15; 28:5; Law 23:13“Hii ni sadaka ambayo Aroni na wanawe wanapaswa kuleta kwa Bwana siku atakapotiwa mafuta: sehemu ya kumi ya efa6:20 Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja. ya unga laini kama sadaka ya kawaida ya nafaka. Nusu yake ataitoa asubuhi na nusu nyingine jioni. 216:21 Law 2:5; 6:22; Kut 28:41; 29:30; Law 1:9; Isa 53:10; Mt 20:28; Dan 9:26Iandae kwa mafuta kwenye kikaango; ilete ikiwa imechanganywa vizuri, na utoe hiyo sadaka ya nafaka ikiwa imevunjwa vipande vipande kuwa harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. 22Mwanawe atakayeingia mahali pake kama kuhani aliyetiwa mafuta ndiye atakayeiandaa. Ni fungu la kawaida la Bwana, nalo litateketezwa kabisa. 23Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itateketezwa kabisa; kamwe haitaliwa.”

Sadaka Ya Dhambi

24Bwana akamwambia Mose, 256:25 Kut 29:11; 30:10; Law 4:24; 1:3; Za 93:5“Mwambie Aroni na wanawe: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi itachinjiwa mbele za Bwana mahali sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, ni takatifu sana. 266:26 Kut 27:9, 21; 40:2; Hes 18:9; Eze 44:27-28Kuhani anayeitoa ndiye atakayeikula; itakuliwa katika mahali patakatifu, katika ua wa Hema la Kukutania. 276:27 Kut 29:37; Law 10:10; Eze 44:19; 46:20; Hag 2:12Chochote kitakachogusa nyama yoyote ya hiyo sadaka kitakuwa kitakatifu, na kama hiyo damu itadondokea juu ya vazi, lazima uifulie mahali patakatifu. 286:28 Law 11:33; 15:12; Hes 19:15Chungu cha udongo kitakachopikiwa nyama lazima kivunjwe, lakini kama imepikiwa kwenye chombo cha shaba, chombo hicho kitasuguliwa na kusuuzwa kwa maji. 296:29 Eze 42:13Kila mwanaume katika familia ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana. 306:30 Eze 45:15; Law 4:12, 18; 16:27; Ebr 13:11Lakini kila sadaka ya dhambi ambayo damu yake imeletwa ndani ya Hema la Kukutania kufanya upatanisho katika Mahali Patakatifu kamwe haitaliwa; lazima iteketezwe.

La Bible du Semeur

Lévitique 6:1-23

Les lois complémentaires destinées aux prêtres

1L’Eternel parla à Moïse en ces termes :

Sur l’holocauste

2Transmets ces commandements à Aaron et à ses fils : Voici la loi concernant l’holocauste6.2 Il s’agit de l’holocauste public offert tous les matins et tous les soirs pour le peuple. : l’holocauste restera sur le foyer de l’autel toute la nuit jusqu’au matin et le feu y restera allumé. 3Le matin, le prêtre mettra ses caleçons de lin et sa tunique de lin, il enlèvera les cendres grasses provenant de la combustion de l’holocauste sur l’autel et les déposera à côté de l’autel. 4Puis il changera de vêtements6.4 Les vêtements des prêtres étaient réservés au sanctuaire (voir Ez 44.17-19). et emportera les cendres hors du camp dans un endroit rituellement pur. 5Le feu devra rester allumé sur l’autel et ne jamais s’éteindre6.5 Parce qu’il symbolisait le culte perpétuel que le peuple devait rendre à son Dieu.. Le prêtre l’alimentera en bois tous les matins, il disposera l’holocauste dessus et y brûlera les graisses des sacrifices de communion. 6Le feu sera perpétuellement allumé sur l’autel, il ne devra jamais s’éteindre.

Sur l’offrande

7Voici la loi concernant l’offrande : les fils d’Aaron l’apporteront devant l’Eternel, devant l’autel. 8L’un des prêtres prélèvera une poignée de fleur de farine de l’offrande, avec de l’huile et tout l’encens qui se trouve sur l’offrande, et il les brûlera sur l’autel pour produire une odeur apaisante et que ce soit un mémorial pour l’Eternel. 9Ce qui restera de l’offrande sera mangé par Aaron et ses fils ; ils le mangeront sans levain dans un lieu saint, dans le parvis de la tente de la Rencontre. 10On ne le fera pas cuire avec du levain. C’est la part que je leur ai donnée de mes offrandes consumées par le feu. C’est une chose très sainte, comme le sacrifice pour le péché et le sacrifice de réparation. 11Tous les hommes descendants d’Aaron6.11 Ces parties énumérées étaient réservées aux hommes (comparer 6.22 ; 7.6), d’autres pouvaient être aussi consommées par les membres féminins de la famille sacerdotale (10.14 ; 22.12-13). pourront en manger. C’est la part qui leur revient pour toujours, de génération en génération, sur les offrandes consumées par le feu qui appartiennent à l’Eternel. Tous ceux qui y toucheront seront sacrés.

12L’Eternel parla à Moïse en ces termes : 13Voici ce qu’Aaron et ses fils offriront à l’Eternel le jour où ils recevront l’onction : trois kilogrammes de fleur de farine, à titre d’offrande permanente, la moitié le matin et l’autre moitié le soir. 14Cette farine sera pétrie avec de l’huile et la pâte obtenue sera cuite à la poêle. Tu offriras cette galette en morceaux, produisant ainsi une odeur apaisante pour l’Eternel6.14 Le prêtre faisait six galettes avec chaque moitié de la farine. Il offrait donc douze galettes chaque jour, selon le nombre des tribus d’Israël présentées ainsi symboliquement en hommage à l’Eternel. En morceaux: terme hébreu de sens incertain..

15Le fils d’Aaron qui aura reçu l’onction pour lui succéder comme prêtre fera aussi cette offrande : c’est la part qui revient pour toujours à l’Eternel ; elle sera entièrement brûlée6.15 Puisqu’il offrait ce sacrifice pour lui-même.. 16Toute offrande faite par un prêtre sera entièrement brûlée : on n’en mangera rien.

Sur le sacrifice pour le péché

17L’Eternel parla à Moïse en ces termes : 18Dis à Aaron et à ses fils : Voici la loi concernant le sacrifice pour le péché : la victime pour ce sacrifice sera égorgée devant l’Eternel au même endroit que l’holocauste. C’est une chose très sainte.

19Le prêtre qui officie pour ce sacrifice la mangera ; il le fera dans un lieu saint, dans le parvis de la tente de la Rencontre. 20Quiconque entrera en contact avec la viande de ce sacrifice sera sacré. Si du sang gicle sur un vêtement, tu laveras ce qui a été taché dans un lieu saint. 21Si on a fait cuire la viande du sacrifice dans un récipient de terre, on le brisera, si c’est dans une marmite en bronze qu’on l’a fait cuire, on la nettoiera, puis on la rincera à grande eau. 22Tous les hommes de la famille du prêtre pourront manger de cette viande ; c’est une chose très sainte. 23Toutefois, on ne mangera aucune viande d’un sacrifice pour le péché dont on doit porter du sang dans la tente de la Rencontre pour accomplir le rite d’expiation dans le sanctuaire. Elle sera brûlée au feu6.23 Voir Lv 4.3-21..